UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Sasa hivi yuko serengeti anashughulika na wale wa 'great migration' kwenda masai mara ๐๐๐๐๐๐๐๐kabisa matanga wanashughulikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hivi yuko serengeti anashughulika na wale wa 'great migration' kwenda masai mara ๐๐๐๐๐๐๐๐kabisa matanga wanashughulikiwa
Kama kweli wao Ni makamanda!Chadema bwana kwa mkwala.. watangulize wake zao na watoto wao
Tena saaaaanaaaa.HATUTAKAGI UJINGA SISI ! WANA DODOMA TUNAJITAMBUA.AMANI YA MKOA WETU NDO MALI YETU.Kwa dodomia! Watapata tabu sanaaaa
ITOKE WAPIIDodoma Kuna CHADEMA?
Hata huko south walijalibu lakini zuma bado ymo magereza.UJUMBE kwa Jeshi la Polisi
Tusije kulaumiana kesho tukijaza watu mitaani. Yani ni maandamano bila kikomo nchi nzima kuanzia mitaani, kata, tarafa, wilaya, mkoa hadi taifa; maandamano hayatasimama hadi Mwenyekiti aachiwe!
Ngoja tusubiri tuone battle la.makamanda wa Bavicha na Polisi.
Pro-Chadema JF najua nyie siku zote maandamano yenu mnafanyia humu humu.
Pia kule Twitter wao watafanya kwa njia ya Space.
Maandamano yasaidie nini? Katika nchi masikini hii.Sijaona kizazi Cha kufanya maandamano nchi hii!
AlishastaafuWamejiandaaje na Kamanda Muroto ๐๐๐
Akiondoka huyu Mama anachukua Mipango, huyo sasa ni nafuu hata ya JPM, kauzu kweli kweliSasa tunaye dictator katika maumbile ya kike ngoja tumlilie Mungu wetu manake aishatenda muujiza mkubwa juzi kati tuu.
mbowe nisukuma gangAnaupiga mwingi .
Tulia mama akomeshe Sukuma Gang.
hahahaaaaaa ...Bahati yao hao bavicha ๐ maana mzee wa โKijana mzuri, mnene lakini unafanya vurugu mtaaniโ๐๐๐
aliyekupa pole na yeye kachezea ban mambo ni kupokezana hahahaaa..Asante mkuu