Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameanza kuwapaishia Sasa [emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji3][emoji3] we jamaa dah
Nipo hata kuhasisha ni mapambanoWewe unajitoa kwenye mapambano mkuu?
Ataishia pabaya sn muda siyo mrefuKaharibu vipi ulitaka akae kimya kina Mbowe waendelee kumpiga.mikwara.
SawaTulia mama akomeshe MATAGA
Watapoteana muda siyo mrefuJanja ya nyani, hakuna marefu yasiyo na ncha.
Acha mikwara mbuzi wewe...Niliandika nia yangu ya kuiburuza serikali mahakamani kufikia 19/7/2021 juu ya swala la kodi ya miamala ya simu ambapo ilipelekea watu wengi wa system kunipigia simu na kuomba nisifanye hivyo maana ule ulikuwa mchezo tu na watarekebisha soon.
Nilikataa kuamini hadi pale kigogo moja toka wizara ya fedha aliponipigia saa 2:30 asubuhi ya 19/7/2021 nilipokuwa najiandaa kuingia Mahakamani.
Niliahirisha kwa mda nione utekelezaji wake.
Nashukuru kwa hilo
Leo ninalo jipya nalo ni hili la kukamata kamata watu hasa wapinzani hovyo.
Hili sitasema nini nafanya ila kutakuwa na surprise kubwa kwa wale wa kaazi wa mbeya ikifika saa 6 kesho mwamba hajatoka njooni muone surprise mafiati kwenye mataa na pakage ndogo pale kabwe sokoni
Wale wa dodoma njooni Nyerere square
Wale wa dsm tukutane Posta
Nimeandaa package kwa wanaoihujumu hii nchi
Ila najua sikio la kufaa halisikiiagi dawa
Amestaafu huyo mjingaWamejiandaaje na Kamanda Muroto [emoji23][emoji23][emoji23]