CHADEMA Dodoma: Mbowe asipoachiwa, tutaitisha maandamano bila kikomo

CHADEMA Dodoma: Mbowe asipoachiwa, tutaitisha maandamano bila kikomo

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.

#MillardAyoUPDATES
Ni kweli kwenye WhatsApp, tweeter, Instagram, etc yatakuwepo maandamano
 
Wewe na akili yako timamu unaweza kwenda kuandamana kisa ujinga wa Mbowe? Shubaamit . Zuma yuko ndani ndio atakuwa Mbowe? Maandamano ya wafuasi wa Zuma hayajamsaidia
 
Hayo maneno yenu tumeyazoea sana kenge nyie.
Wewe ni mpumbavu,japo neno upumbavu ,ni upeo mdogo wa kupambanua Mambo hata yale mepesi,sio tusi.

Hasira ya nini, KWAMBA mteke,,mjeruhi, mpandikize kesi kwa watu, n.k, then wajiona sawa,

Sasa nakwambia utakua kenge Mara 47 kuliko ulio waita kenge , na tazama anzia leo Mambo yako yatakua ya kikenge kenge, mpaka utako tubu, unatubu kwa njia gani ,utajua mwenyewe, ili Hali laana kenge ipo juu yako, sikipi code na Mungu amejua,shetani akubariki Sana,na imekua
 
Wewe ni mpumbavu,japo neno upumbavu ,ni upeo mdogo wa kupambanua Mambo hata yale mepesi,sio tusi.

Hasira ya nini, KWAMBA mteke,,mjeruhi, mpandikize kesi kwa watu, n.k, then wajiona sawa,

Sasa nakwambia utakua kenge Mara 47 kuliko ulio waita kenge , na tazama anzia leo Mambo yako yatakua ya kikenge kenge, mpaka utako tubu, unatubu kwa njia gani ,utajua mwenyewe, ili Hali laana kenge ipo juu yako, sikipi code na Mungu amejua,shetani akubariki Sana,na imekua
Acha vitisho vya kike wewe kenge chotala. Kama laana mlani mkeo ambae anasumbuliwa na marathi ya HIV. Mna matamko ambayo hayatimiliki nyambafu.
 
Wewe ni mpumbavu,japo neno upumbavu ,ni upeo mdogo wa kupambanua Mambo hata yale mepesi,sio tusi.

Hasira ya nini, KWAMBA mteke,,mjeruhi, mpandikize kesi kwa watu, n.k, then wajiona sawa,

Sasa nakwambia utakua kenge Mara 47 kuliko ulio waita kenge , na tazama anzia leo Mambo yako yatakua ya kikenge kenge, mpaka utako tubu, unatubu kwa njia gani ,utajua mwenyewe, ili Hali laana kenge ipo juu yako, sikipi code na Mungu amejua,shetani akubariki Sana,na imekua
Pole Sana Dada.vipi upo kwenye periods
Kamkumvatie Basi mbowe kwa maandamano Kama kweli unampenda
 
Pole Sana Dada.vipi upo kwenye periods
Kamkumvatie Basi mbowe kwa maandamano Kama kweli unampenda
Thanks ,mie dada, na Niko period, KWA leo nimebadilisha ped Mara 15, sio shida Maana ndivyo Mungu alivyowaumba, Mungu akashughulike na wewe, mfu wakati watembea
 
In some cases, if you don't want people to demonstrate, give them access,and if possible, free access to internet and social networks, then each and everything will end on internet and you may call it digital demonstration.
 
In some cases, if you don't want people to demonstrate, give them access,and if possible, free access to internet and social networks, then each and everything will end on internet and you may call it digital demonstration.
So all these times you were doing "digital demonstrations"!? But I don't think if Tundu Lissu knows about this! Ahahahahahahah!!!
 
Back
Top Bottom