Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Kuimba kupokezana😅😅😅aliyekupa pole na yeye kachezea ban mambo ni kupokezana hahahaaa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuimba kupokezana😅😅😅aliyekupa pole na yeye kachezea ban mambo ni kupokezana hahahaaa..
hahahahaa itakuwa hairuhusiwi kupeana pole baada ya ban kupita..Kuimba kupokezana😅😅😅
Jamaa ameweka dp hio tu sio kwamba kawa banned kweli! 😅😅😅hahahahaa itakuwa hairuhusiwi kupeana pole baada ya ban kupita..
Ngoja nisubir nione😂😂😂Niliandika nia yangu ya kuiburuza serikali mahakamani kufikia 19/7/2021 juu ya swala la kodi ya miamala ya simu ambapo ilipelekea watu wengi wa system kunipigia simu na kuomba nisifanye hivyo maana ule ulikuwa mchezo tu na watarekebisha soon.
Nilikataa kuamini hadi pale kigogo moja toka wizara ya fedha aliponipigia saa 2:30 asubuhi ya 19/7/2021 nilipokuwa najiandaa kuingia Mahakamani.
Niliahirisha kwa mda nione utekelezaji wake.
Nashukuru kwa hilo
Leo ninalo jipya nalo ni hili la kukamata kamata watu hasa wapinzani hovyo. Hili sitasema nini nafanya ila kutakuwa na surprise kubwa kwa wale wa kaazi wa mbeya ikifika saa 6 kesho mwamba hajatoka njooni muone surprise mafiati kwenye mataa na pakage ndogo pale kabwe sokoni
Wale wa Dodoma njooni Nyerere square
Wale wa DSM tukutane Posta
Nimeandaa package kwa wanaoihujumu hii nchi
Ila najua sikio la kufaa halisikiiagi dawa
dah kwahyo nimeingizwa mjini...Jamaa ameweka dp hio tu sio kwamba kawa banned kweli! 😅😅😅
Hehehehdah kwahyo nimeingizwa mjini...
Makamanda mbuzi mkowapi Jamani?View attachment 1864218
Uonevu sijui utaisha lini
Usinitafutie Ban sikujui hunijuiMakamanda mbuzi mkowapi Jamani?
So tulielewana Leo tuandamane DJ wasipomtoa mpk 12 jioni Jana.?
Nipo hapa ofisi za ABC nawasubiria,au bado mnakunywa chai kwanza.
Vijana wa ufipa ni maboga kabisa😃😃
Huyo hakufuata ijaluoni kafuata huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Chadema bhana yule jaruo amefanya mkutano kwenye mtandao wa space watu 6000 wamejoin leo Mbowe yupo Kwenye kanyampasira hakuna hata Kamanda mmoja aliyejitokeza wamebaki kubweka mitandaoni na Fake ID
Narudia tena hakuna Mtanganyika yeyote anaeweza kujitokeza kuandamana hakuna bakini kubweka mitandaoni huku mmewasha VPN [emoji23][emoji23]
Bora watu wapambane lakini wewe upo huku JF tuliiiii. HahahaahahahahahaahahahBora watu wapambane hakuna namna
Hatari sanaAnaupiga mwingi .
Tulia mama akomeshe Sukuma Gang.
Wameshaanza maandamano?Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Dodoma kimesema kuwa endapo Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa Freeman Mbowe asipoachiwa ifikapo saa kumi kamili jioni leo July 22, 2021, kesho wataitisha maandamano bila kikomo mpaka pale Mwenyekiti atakapoachiwa.
#MillardAyoUPDATES