CHADEMA haiji kupata tena nguvu ya ushawishi kama iliyokuwa nayo kabla ya Uchaguzi wa 2015

Nyinyi mlionaushawishi bado hamjaweza kujiamini kwenye sanduku lá kura.
B
 
Vipi kwani hamjui kunakili picha za nembo halafu mkaziweka kwenye word document halafu mkachapisha kwa mshikaji mwenye pinter na kujaza pumba ndani mnavyojisikisia, au wote tunaishi vijijini?
What a FCK ??? I hardly understand u
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…