CHADEMA hakuna mpasuko wala mgawanyiko ni weweseko la CCM na mwisho wa siku CHADEMA itaibuka imara zaidi ya jana

CHADEMA hakuna mpasuko wala mgawanyiko ni weweseko la CCM na mwisho wa siku CHADEMA itaibuka imara zaidi ya jana

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ukiona adui Yako anafwatilia mambo Yako ya ndani jua anakuogopa na pia ukiona anachochea migogoro dhidi Yako ujue uko IMARA kuliko yeye. CHADEMA hakuna MPASUKO kama wengi wanavyodhani hizo ni siasa za ndani na ni kawaida. Hivyo ccm kuchochea moto ionekane CHADEMA Kuna migogoro LISSU VS MBOWE ni kujilisha upepo na maombi ya fisi kuomba mkono wa binadamu udondoke. Erythrocyte hebu waeleze Hawa ccm wenye makomamanga kichwani badala ya akili.
 
Kabisa hakuna mpasuko, ni uzushi tu,
Ila ukweli usemwe kuna kila sababu ya wakaloni kurudi, hata siasa tu tumeshindwa!
Screenshot_2024-12-16-10-46-39-305_com.twitter.android~2.jpg
 
Nashangaa sana wale maccm waliokuwa wanamlaumu Mbowe kukaa muda mrefu madarakani leo wamegeuka kuwa watetezi wa Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti na kumnanga vibaya Lissu kwa kutangaza nia. Wale chawa wooote wa Samia humu JF na wapambe wa Mbowe wameungana kumshambulia Lissu kwa maneno makali sana. Huu ushirika wa chawa wa Samia na cha wa Mbowe unatia shaka sana.
 
Ukiona adui Yako anafwatilia mambo Yako ya ndani jua anakuogopa na pia ukiona anachochea migogoro dhidi Yako ujue uko IMARA kuliko yeye. CHADEMA hakuna MPASUKO kama wengi wanavyodhani hizo ni siasa za ndani na ni kawaida. Hivyo ccm kuchochea moto ionekane CHADEMA Kuna migogoro LISSU VS MBOWE ni kujilisha upepo na maombi ya fisi kuomba mkono wa binadamu udondoke. Erythrocyte hebu waeleze Hawa ccm wenye makomamanga kichwani badala ya akili.
Chadema walitengeneza mgogoro ili anagalau wawe kwenye vyombo vya habari. Na waandishi wakajaaa kila siku ni wao na chadema hadi habari zimekosa radha. Kiukweli wiki hizi mbili wamepata airtime na matangazo ya bure ya kutosha kabisa. Miaka yote huwa sijui chadema kama wanafanya uchaguzi ila mwaka huu nimejua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ukiona adui Yako anafwatilia mambo Yako ya ndani jua anakuogopa na pia ukiona anachochea migogoro dhidi Yako ujue uko IMARA kuliko yeye. CHADEMA hakuna MPASUKO kama wengi wanavyodhani hizo ni siasa za ndani na ni kawaida. Hivyo ccm kuchochea moto ionekane CHADEMA Kuna migogoro LISSU VS MBOWE ni kujilisha upepo na maombi ya fisi kuomba mkono wa binadamu udondoke. Erythrocyte hebu waeleze Hawa ccm wenye makomamanga kichwani badala ya akili.
Ila kuna mwanya na nyufa miongoni mwa viongozi wake waandamizi wa kitaifa, right?

mawenge ni kitu mbaya sana gentleman, alisema haya makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa, akihojiwa na chombo kimoja cha habari huko Nairobi Kenya 🐒
 
Nashangaa sana wale maccm waliokuwa wanamlaumu Mbowe kukaa muda mrefu madarakani leo wamegeuka kuwa watetezi wa Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti na kumnanga vibaya Lissu kwa kutangaza nia. Wale chawa wooote wa Samia humu JF na wapambe wa Mbowe wameungana kumshambulia Lissu kwa maneno makali sana. Huu ushirika wa chawa wa Samia na cha wa Mbowe unatia shaka sana.
hao ni waumini wa ule umoja wa 4r
 
Chadema walitengeneza mgogoro ili anagalau wawe kwenye vyombo vya habari. Na waandishi wakajaaa kila siku ni wao na chadema hadi habari zimekosa radha. Kiukweli wiki hizi mbili wamepata airtime na matangazo ya bure ya kutosha kabisa. Miaka yote huwa sijui chadema kama wanafanya uchaguzi ila mwaka huu nimejua 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kumbe kuna watu mnaaakili humu eeeh hilo nalijua tangu mwanzo mbona
 
Upepoo unapitaaaa --- mpira siasa --siasa mpiraaaa -- mwaka unayoyoma
 
Ukiona adui Yako anafwatilia mambo Yako ya ndani jua anakuogopa na pia ukiona anachochea migogoro dhidi Yako ujue uko IMARA kuliko yeye. CHADEMA hakuna MPASUKO kama wengi wanavyodhani hizo ni siasa za ndani na ni kawaida. Hivyo ccm kuchochea moto ionekane CHADEMA Kuna migogoro LISSU VS MBOWE ni kujilisha upepo na maombi ya fisi kuomba mkono wa binadamu udondoke. Erythrocyte hebu waeleze Hawa ccm wenye makomamanga kichwani badala ya akili.
Mgogoro upo na ni mkubwa unaweza kukigawa Chama kwasababu kuna kundi Maslai na kundi linalo kipigania Chama wakati kundi maslai limehodhi michakato yote ya ndani msijidanye kunawalaji hapo ndani wanatafuna kama mchwa. Hao ndiyo watakipasua chama wala siyo swala la Lisu na Mbowe. I
 
Kabisa hakuna mpasuko, ni uzushi tu,
Ila ukweli usemwe kuna kila sababu ya wakaloni kurudi, hata siasa tu tumeshindwa!
View attachment 3177918
Huu kwa kweli ni uzezeta. Sasa walivyokuwa wakimpigia kelele Magufuli kwamba anataka kubadili katiba ili abakie ikulu milele?? Kama huu ndiyo mtazamo wa viongozi wa chadema (chama mbadala) hakika bado tuna safari ndefu.
 
Ukiona adui Yako anafwatilia mambo Yako ya ndani jua anakuogopa na pia ukiona anachochea migogoro dhidi Yako ujue uko IMARA kuliko yeye. CHADEMA hakuna MPASUKO kama wengi wanavyodhani hizo ni siasa za ndani na ni kawaida. Hivyo ccm kuchochea moto ionekane CHADEMA Kuna migogoro LISSU VS MBOWE ni kujilisha upepo na maombi ya fisi kuomba mkono wa binadamu udondoke. Erythrocyte hebu waeleze Hawa ccm wenye makomamanga kichwani badala ya akili.
Vyovyote itakavyokuwa kamwe siwezi kuipenda CCM never ni watu wabaya sana
 
Huu kwa kweli ni uzezeta. Sasa walivyokuwa wakimpigia kelele Magufuli kwamba anataka kubadili katiba ili abakie ikulu milele?? Kama huu ndiyo mtazamo wa viongozi wa chadema (chama mbadala) hakika bado tuna safari ndefu.
Kuna safari ndefu bro...baadhi yetu wameshaanza kulamba matapishi yao.
 
Ukomo wa Uongozi, na Fedha za Chama kuingizwa kwenue Akaunti ya Mtu binafsi, hizi Issue mbili zinafanya mtu "ang'ang'anie" Uongozi, Reforms zinahitajika CHADEMA.
 
Ukomo wa Uongozi, na Fedha za Chama kuingizwa kwenue Akaunti ya Mtu binafsi, hizi Issue mbili zinafanya mtu "ang'ang'anie" Uongozi, Reforms zinahitajika CHADEMA.
Sina uhakiki na unachosema kwa habari ya account binafsi ila tusipotaka mabadiliko sisi tusiyatarajie kwingine.....
 
Back
Top Bottom