SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Na wewe huna mandate ya kuwaambia Chadema nini wasifanye na nini wafanye. Mbona idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi kubwa sana huko CCM?Lack of wisdom
"Bavicha tunamtaka Mh. Rais @SuluhuSamia kupitia siku ya miaka 30 ya maadhimisho ya vyama vya siasa, afute zuio batili la vyama vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara, asipofuta sisi kuanzia tar 30.7.2022 tutaanza kufanya mikutano ya hadhara kama noma acha iwe noma. Pambalu
https://t.co/AMIYAHpOuDView attachment 2276499