"Bavicha tunamtaka Mh. Rais @SuluhuSamia kupitia siku ya miaka 30 ya maadhimisho ya vyama vya siasa, afute zuio batili la vyama vya upinzani kufanya mikutano ya hadhara, asipofuta sisi kuanzia tar 30.7.2022 tutaanza kufanya mikutano ya hadhara kama noma acha iwe noma. Pambalu
Jiulize, wanao wakataza wanasiasa wa upinzani kufanya mikutanoeg polisi na wakuu wa mikoa, wanatumia sheria ipi? Na kama wanavunja sheria, mbona hawachukuliwi hatua?
Kuna watu humu Mancini mchana kutwa bila kutaja Chadema wanaweza kufa.
Mikutano ya kisiasa imekatazwa kwa sheria gani ? Mbona ccm wanafanya? Wao ni kina nani? Tuache unafiki tukiwa wadogo kama huyu mpandisha uzi