GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kila nikimsikia mwana CHADEMA simsikii akinipa mikakati yenu ya kuitoa (kuing'oa) CCM madarakani bali nasikia tu wakijisifia kujaza watu (nyomi) katika mikutano yao huko mkoani/mikoani.
Nilishawahi kuwashaurini huko nyuma kuwa jiimarisheni sana katika kujijenga ngazi za chini ila nasikitika hili hamjalifanyia kazi na mnambwelambwela tu huku mkitafuta umaarufu na uungwaji mkono na Watanzania walioko mijini na wale wa mitandaoni wakati tafiti zinasema 85% ya wapiga kura wako vijijini.
Kwa Upuuzi wenu huu wa kila mwana CHADEMA kujisifia kujaza watu badala ya kuja na mikakati kabambe kupambana na kuitoa CCM,niwahakikishieni CCM iliyosheheni mafundi wa siasa na mikakati itaendelea kuitawala/kutawala Tanzania hata kwa miaka milioni 100 ijayo.
Nilishawahi kuwashaurini huko nyuma kuwa jiimarisheni sana katika kujijenga ngazi za chini ila nasikitika hili hamjalifanyia kazi na mnambwelambwela tu huku mkitafuta umaarufu na uungwaji mkono na Watanzania walioko mijini na wale wa mitandaoni wakati tafiti zinasema 85% ya wapiga kura wako vijijini.
Kwa Upuuzi wenu huu wa kila mwana CHADEMA kujisifia kujaza watu badala ya kuja na mikakati kabambe kupambana na kuitoa CCM,niwahakikishieni CCM iliyosheheni mafundi wa siasa na mikakati itaendelea kuitawala/kutawala Tanzania hata kwa miaka milioni 100 ijayo.