CHADEMA hatutaki mjisifie kujaza watu mikutanoni, bali kuwatoa Kimkakati CCM Madarakani

CHADEMA hatutaki mjisifie kujaza watu mikutanoni, bali kuwatoa Kimkakati CCM Madarakani

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kila nikimsikia mwana CHADEMA simsikii akinipa mikakati yenu ya kuitoa (kuing'oa) CCM madarakani bali nasikia tu wakijisifia kujaza watu (nyomi) katika mikutano yao huko mkoani/mikoani.

Nilishawahi kuwashaurini huko nyuma kuwa jiimarisheni sana katika kujijenga ngazi za chini ila nasikitika hili hamjalifanyia kazi na mnambwelambwela tu huku mkitafuta umaarufu na uungwaji mkono na Watanzania walioko mijini na wale wa mitandaoni wakati tafiti zinasema 85% ya wapiga kura wako vijijini.

Kwa Upuuzi wenu huu wa kila mwana CHADEMA kujisifia kujaza watu badala ya kuja na mikakati kabambe kupambana na kuitoa CCM,niwahakikishieni CCM iliyosheheni mafundi wa siasa na mikakati itaendelea kuitawala/kutawala Tanzania hata kwa miaka milioni 100 ijayo.
 
Ccm imejaa mafundi gani wa kimikakati na kisiasa zaidi ya kutegemea vyombo vya dola ambavyo ni corrupt ili washinde chaguzi feki,umesahau policcm,tissccm,necccm,mahakamaccm hizo ndio mbeleko za ccm ila kisiasa na kimikakati na kiushawishi ccm hawana kitu,hicho chama kimebaki kuwa genge la mafisadi na walaghai.

Ingawa pia chadema wanakazi kubwa ya kufanya hasa kwenye kuwafikia wananchi wote hasa mitaani na vijijini,all in all cdm inakubalika.
 
Kijiji gani Chadema haijafika? Kwani kazi ya uongozi wa Kanda ni upi? Chadema ni msingi unajua kazi yake? Huku napoishi wamesajili wanachama mpka ngazi ya kitongoji na uongozi kamili upo. Na vikao ni Kila jumatatu jioni so chama kipo active muda wote.

Msikariri, hii Sio 2005 Chadema ishasambaa sana ndio maana uliona kampeni za Lissu licha ya kutokua na bajeti kubwa ya kampeni ila aliweza fanya mikutano maeneo mengi sana ya vijijini na kukuta Wana Chadema wa kutosha waliosimamia kampeni zake kwa level ya Kanda.

2. Umesema hakuna mkakati? Kwa level yetu ya kata wagombea wa udiwani, vijiji/mitaa n.k wamekua identified na ndio wanafanyiwa publicity Ili mpaka wachukue fomu tayari Wana social capital.

Pia tunajenga ofisi almost Kila Kanda Hadi ngazi ya wilaya Ili kuratibu shughuli kwa ukaribu.

Pia Kuna Chadema digital Ili kusajili wanachama nchi nzima wawepo kwenye database Ili kurahisisha coordination ya mambo.

Pia chama ime identify majimbo ya kimkakati ambayo 2025 lazima yaingie upinzani. Huku nilipo Jimbo hili ni la kimkakati maana ni kubwa sana ila halijawahi kuwa chini ya Chadema. Chama kimetoa gari na pikipiki za kutosha na Kuna Nyumba wamekodi imejaa wanachadema kutoka makao makuu na mikoa mbalimbali yaani kazi Yao ni kuzunguka asbuhi mpaka jioni kueneza chama.

kwa hiyo mipango ya ndani ipo mingi tu Wala sio nyomi ila mengi hufanyika kwenye vikao vya ndani.
 
Kila nikimsikia mwana CHADEMA simsikii akinipa mikakati yenu ya kuitoa (kuing'oa) CCM madarakani bali nasikia tu wakijisifia kujaza watu (nyomi) katika mikutano yao huko mkoani/mikoani.

Nilishawahi kuwashaurini huko nyuma kuwa jiimarisheni sana katika kujijenga ngazi za chini ila nasikitika hili hamjalifanyia kazi na mnambwelambwela tu huku mkitafuta umaarufu na uungwaji mkono na Watanzania walioko mijini na wale wa mitandaoni wakati tafiti zinasema 85% ya wapiga kura wako vijijini.

Kwa Upuuzi wenu huu wa kila mwana CHADEMA kujisifia kujaza watu badala ya kuja na mikakati kabambe kupambana na kuitoa CCM,niwahakikishieni CCM iliyosheheni mafundi wa siasa na mikakati itaendelea kuitawala/kutawala Tanzania hata kwa miaka milioni 100 ijayo.
oh upo na huku kule kwa sports umepote?
 
Kinachonishangaza Wana chadema wengi ni wabishi balaa ,ajabu wapo dar .

Mnapoambiwa ukweli ufanyieni kazi.

Chadema ni Chama kinachodeal na nyomi la watu kwenye mikutano yao na wanaridhika balaa .

Labda nitoe mfano hai .Mimi naishi mjini na vijijini ,Kuna muda nakua mjini muda nakua vijijini ,ni nusu kwa nusu.

Ukweli usemwe kwa upande wa vijijini chadema bado haijakubalika kabisa na wananchi ,wengi wameaminishwa Kama ni Chama Cha wamwaga damu ,hizi ni propaganda za ccm huko kijijin na zimezaa matunda sabab wapo karibu na hao wanakijiji bega kwa bega.

Ukiona Kuna Kijiji chadema ime take over Basi jua hicho kijiji walau kina wasomi wengi na kina maendeleo ya kutosha na watu wa hicho kijiji wameelimika vyema .

Lakin kwa vijiji ambavyo elimu bado huko ndiko ccm imekamata haswa.

Sasa swali la kujiuliza ni vijiji vingap kwenye hii nchi vina wasomi wengi na kustarabika na kuijua dunia ya leo?
Jibu ni vijiji vichache Kati ya vilivyo vingi.

So chadema mnaposhauriwa kubalin ukweli ,kura zipo vijijini ,huko mjin Kuna mashabik wa siasa tu na siku ya kura hawatokei kabisa .

So nyomi kwenye mikutano haiwez kuitoa ccm kamwe km hamtabadirika na kukubal ukweli.

Wekezen vijijini ,nguvu iwe vijijini ,tembea Kijiji kwa Kijiji ,au kata kwa kata ili watu waelimishwe .

Bahat mbaya hatuwez kueleweka hapa Ila km hamtabadirika hamuwez kuitoa ccm madarakan ,kisingizio kitabak mnaibiwa kura Mara polisi .

Povu ruksa.
 
Kila nikimsikia mwana CHADEMA simsikii akinipa mikakati yenu ya kuitoa (kuing'oa) CCM madarakani bali nasikia tu wakijisifia kujaza watu (nyomi) katika mikutano yao huko mkoani/mikoani.

Nilishawahi kuwashaurini huko nyuma kuwa jiimarisheni sana katika kujijenga ngazi za chini ila nasikitika hili hamjalifanyia kazi na mnambwelambwela tu huku mkitafuta umaarufu na uungwaji mkono na Watanzania walioko mijini na wale wa mitandaoni wakati tafiti zinasema 85% ya wapiga kura wako vijijini.

Kwa Upuuzi wenu huu wa kila mwana CHADEMA kujisifia kujaza watu badala ya kuja na mikakati kabambe kupambana na kuitoa CCM,niwahakikishieni CCM iliyosheheni mafundi wa siasa na mikakati itaendelea kuitawala/kutawala Tanzania hata kwa miaka milioni 100 ijayo.
Yaan wee jamaa bana 😂😂!! Nadhan conception yako hapo si sahihi cz hao CDM nadhan kila mmoja anajua hoja zao na mikakat yao kitambo. Kwa upande wang nadhan ni kwasababu ya kua kifungoni miaka kadhaa iliyopita bila kufanya mikutano ya hadhara au harakati zao, ukiangalia ni kama wanataka kudhihirisha kwa umma bado wapo na wanasapotiwa na wananchi. Hivyo sidhan kama hao CDM miaka yote walikua wanajisifia kujaza mauwanja!!!
 
Kila nikimsikia mwana CHADEMA simsikii akinipa mikakati yenu ya kuitoa (kuing'oa) CCM madarakani bali nasikia tu wakijisifia kujaza watu (nyomi) katika mikutano yao huko mkoani/mikoani.

Nilishawahi kuwashaurini huko nyuma kuwa jiimarisheni sana katika kujijenga ngazi za chini ila nasikitika hili hamjalifanyia kazi na mnambwelambwela tu huku mkitafuta umaarufu na uungwaji mkono na Watanzania walioko mijini na wale wa mitandaoni wakati tafiti zinasema 85% ya wapiga kura wako vijijini.

Kwa Upuuzi wenu huu wa kila mwana CHADEMA kujisifia kujaza watu badala ya kuja na mikakati kabambe kupambana na kuitoa CCM,niwahakikishieni CCM iliyosheheni mafundi wa siasa na mikakati itaendelea kuitawala/kutawala Tanzania hata kwa miaka milioni 100 ijayo.
Usijali Genta,ila kwa pamoja wewe na mimi,tutafanikisha mkakati huo.
 
Kila nikimsikia mwana CHADEMA simsikii akinipa mikakati yenu ya kuitoa (kuing'oa) CCM madarakani bali nasikia tu wakijisifia kujaza watu (nyomi) katika mikutano yao huko mkoani/mikoani.

Nilishawahi kuwashaurini huko nyuma kuwa jiimarisheni sana katika kujijenga ngazi za chini ila nasikitika hili hamjalifanyia kazi na mnambwelambwela tu huku mkitafuta umaarufu na uungwaji mkono na Watanzania walioko mijini na wale wa mitandaoni wakati tafiti zinasema 85% ya wapiga kura wako vijijini.

Kwa Upuuzi wenu huu wa kila mwana CHADEMA kujisifia kujaza watu badala ya kuja na mikakati kabambe kupambana na kuitoa CCM,niwahakikishieni CCM iliyosheheni mafundi wa siasa na mikakati itaendelea kuitawala/kutawala Tanzania hata kwa miaka milioni 100 ijayo.
Popoma umerudi? Ukue sasa uache u-popoma unaokufanya uchapwe ma ban kila siku.
 
Yaan wee jamaa bana 😂😂!! Nadhan conception yako hapo si sahihi cz hao CDM nadhan kila mmoja anajua hoja zao na mikakat yao kitambo. Kwa upande wang nadhan ni kwasababu ya kua kifungoni miaka kadhaa iliyopita bila kufanya mikutano ya hadhara au harakati zao, ukiangalia ni kama wanataka kudhihirisha kwa umma bado wapo na wanasapotiwa na wananchi. Hivyo sidhan kama hao CDM miaka yote walikua wanajisifia kujaza mauwanja!!!
Huo ni utoto acha wanachukua chako mapema wajisifie , kwa kuchukua mapema na kupata mashabiki wa kuchukua chao,ila sisi tunawa saidia kujua kuwa wanachukua mapema ndio sababu ya dhiki zao zisizopungua wala kuwa na ahueni🤔
 
Achana na JPM. Kazana kuandikisha wanachama kwa kadi na picha Sio kujaza uwanja. Kwa Vijijini hapo ni mahali pa watu kukutana, kuonyeshana nguo mpya, mabinti wa geti kali kupata ruhusa kwa wazazi wanoko, nk. So usidanganyike sana. Kuweni na wanachama na picha zao na wekeni kwenye website yenu.

Mfano mnasema mna watu wengi then mtakuwa na wanachama wenye kadi ( mfano 15 million) , hawa wote wanapewa Elimu ya uraia na umuhimu wa kupiga kura. Na siku ya kupiga kura mnaenda wote.

Shida kwenu ni cheap popularity. Mnajikusanya hapa, mnaanzisha uzi na kujifariji kwa comments zenu wenyewe na matusi na kutokupenda kuelewa maana na maelezo tofauti na ya kwenu hata kama ndo Ukweli wenyewe.
Sasa ndo umeandika nini pimbi wewe? Kuna ubaya gani chadema kuposti mikutano yao ya hadhara? Yaani mtu aposti kitu chake ila cha ajabu ateseke mwingine? Sio kweli
 
Yaan wee jamaa bana 😂😂!! Nadhan conception yako hapo si sahihi cz hao CDM nadhan kila mmoja anajua hoja zao na mikakat yao kitambo. Kwa upande wang nadhan ni kwasababu ya kua kifungoni miaka kadhaa iliyopita bila kufanya mikutano ya hadhara au harakati zao, ukiangalia ni kama wanataka kudhihirisha kwa umma bado wapo na wanasapotiwa na wananchi. Hivyo sidhan kama hao CDM miaka yote walikua wanajisifia kujaza mauwanja!!!
Kampeni za uchaguzi 2020 walikuwa wanashindana na Magufuli kujaza uwanja.
 
Sasa ndo umeandika nini pimbi wewe? Kuna ubaya gani chadema kuposti mikutano yao ya hadhara? Yaani mtu aposti kitu chake ila cha ajabu ateseke mwingine? Sio kweli
Walikaririshwa imekufa, wanatambua Ii buheri wa afya tele,nguvu na hamasa😂
 
Kila nikimsikia mwana CHADEMA simsikii akinipa mikakati yenu ya kuitoa (kuing'oa) CCM madarakani bali nasikia tu wakijisifia kujaza watu (nyomi) katika mikutano yao huko mkoani/mikoani.

Nilishawahi kuwashaurini huko nyuma kuwa jiimarisheni sana katika kujijenga ngazi za chini ila nasikitika hili hamjalifanyia kazi na mnambwelambwela tu huku mkitafuta umaarufu na uungwaji mkono na Watanzania walioko mijini na wale wa mitandaoni wakati tafiti zinasema 85% ya wapiga kura wako vijijini.

Kwa Upuuzi wenu huu wa kila mwana CHADEMA kujisifia kujaza watu badala ya kuja na mikakati kabambe kupambana na kuitoa CCM,niwahakikishieni CCM iliyosheheni mafundi wa siasa na mikakati itaendelea kuitawala/kutawala Tanzania hata kwa miaka milioni 100 ijayo.

Labda useme CDM waingie msituni, maana kwa sasa hawapambani na CCM bali vyombo vya dola. Wanachokosa CDM ni silaha ili wapambane na vyombo vya dola ambavyo ndio mbeleko pekee inayowaweka CCM madarakani. Kwenye mikutano ya CDM kuna mengi sana yanaongelewa, ila ww umejikita kwenye sifa za kuhusu kuwa na nyomi. Sasa hilo sio tatizo la CDM bali ni udhaifu wako.
 
Kampeni za uchaguzi 2020 walikuwa wanashindana na Magufuli kujaza uwanja.

Ni kweli, maana Magufuli aliwaaminisha CCM wenzake kuwa ameiua CDM kwa utendaji wake. Alichokiona kwenye kampeni zile kulimpelekea kupata msongo wa mawazo, ikawa kila mara anaenda gereji kwa afya kuanza kudorora. Hali ile ilimpelekea aagize uchaguzi unajisiwe maana alijua matokeo ya kweli yakitangazwa itakuwa aibu na fedheha kwake binafsi na chama chake.

Toka kampeni zile, afya yake ilianza kuzorota, na hakuwahi kurudi kwenye afya yake ya awali, hadi alivyoelekea motoni 17 March.
 
Kila nikimsikia mwana CHADEMA simsikii akinipa mikakati yenu ya kuitoa (kuing'oa) CCM madarakani bali nasikia tu wakijisifia kujaza watu (nyomi) katika mikutano yao huko mkoani/mikoani.

Nilishawahi kuwashaurini huko nyuma kuwa jiimarisheni sana katika kujijenga ngazi za chini ila nasikitika hili hamjalifanyia kazi na mnambwelambwela tu huku mkitafuta umaarufu na uungwaji mkono na Watanzania walioko mijini na wale wa mitandaoni wakati tafiti zinasema 85% ya wapiga kura wako vijijini.

Kwa Upuuzi wenu huu wa kila mwana CHADEMA kujisifia kujaza watu badala ya kuja na mikakati kabambe kupambana na kuitoa CCM,niwahakikishieni CCM iliyosheheni mafundi wa siasa na mikakati itaendelea kuitawala/kutawala Tanzania hata kwa miaka milioni 100 ijayo.
Hii sasa ni miruzi mingi inatuchanganya kwani wanaccm wanasema mikutano imesuswa na wananchi huku wewe unasema inajaza watu! Tushike lipi?
 
Back
Top Bottom