UHURU JR
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 16,543
- 7,880
Mimi sijakuuliza kuhusu chadema bali nakuhabarisha kuwa chadema hadi sasa hakina mbadala wa Mbowe.Sasa mimi sio msemaji wa CDM, ni wazi ukiniuliza mimi nitakupa maoni yangu sio ya CDM. Sina popote nakubaliana na kiongozi yoyote kukaa madarakani zaidi ya miaka 10, ikiwemo huyo Mbowe. Hao wanaoamini kwa Mbowe nenda ukawaulize wao.
Onyesha popote tunapokubaliana na wizi, 2020 haukuwa wizi bali uporaji wa mchakato.
Nguvu kubwa inatumika kuusema uchaguzi wa 2020 kiasi kwamba kwa mtu mgeni anaweza kufikiri chaguzi za nyuma zilikuwa shwari ndio maana unasema haukuwa wizi(ambao mlishauzoea) bali ni uporaji wa mchakato.