Pre GE2025 CHADEMA hawajajipanga na uchaguzi, njia pekee ya kukwepa aibu ni kugomea uchaguzi

Pre GE2025 CHADEMA hawajajipanga na uchaguzi, njia pekee ya kukwepa aibu ni kugomea uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ni wazi kuwa Chadema, hawawezi kujipanga na uchaguzi kwa muda uliobakia kwa sababu nyingi sana zikiwemo za kuwa ombaomba na kukosa fedha za kuendesha zoezi la uchaguzi.
Juzi juzi tumeshuhudia wanazimiwa taa kwa kukosa 50m TZS kulipia ukumbi kuendelea na mkutano pale Mlimanu City na tulielezwa kuwa hata mkutano wao ulifadhiliwa na watu binafsi kwa kuwa chama hakina hela za kufanya hivyo.

Ni kichekesho sana na mwanzo wa kufeli eti uongozi wa Lissu, unahimiza sasa watu wanunue kadi za uanachama! Hivi wapi duniani kuna chama cha siasa kinaweza kujiendesha kwa kutegemea ada za wanachama? Yaani Mtanzania gani anayeweza kujitoa ufahamu na kununua kadi ya uanachama kwa 500,000/= TZS . Huu ni ujinga wa hali ya juu sana. Huna hela huwezi kufanya siasa wala kuongoza na kuendesha chana na kukiigiza kwenye uchaguzi.

Kauli ya Lissu kuwa " No Reform No Election" ni kauli ya kijinga na ya mwanasiasa ambaye hajitambui Kwa ambao ni wavivu kusoma mambo ni kuwa sheria za uchaguzi zilishabadilishwa na bunge likajadili kwa kina sana na zikapitishwa na sasa ni sheria ndiyo maana hata tume ya uchaguzi ilibadilishwa muundo wake na kadhalika. kwa hiyo mtu anaposema sijui sheria mpya itungwe ni mlevi tu na mjinga.

Mwisho kabisa ni kuwa Tanzania ina vyama vya siasa vingi kufikia 18 na hivyo wengine wakisusa basi kuna vyama vitashiriki na uchaguzi utafanyika na viongozi watapatikana. Kwani 2019 Chadema si walisusia uchaguzi wa serikali za mitaa kwani kulitokea nini? Mambo si yaliendelea kama kawaida au? kwa hiyo wakisusa uchaguzi wa mwaka huu itaturahisishia sana kazi ya kumalizana nao kwenye uwanja wa kisiasa.
 
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ni wazi kuwa Chadema, hawawezi kujipanga na uchaguzi kwa muda uliobakia kwa sababu nyingi sana zikiwemo za kuwa ombaomba na kukosa fedha za kuendesha zoezi la uchaguzi.
Juzi juzi tumeshuhudia wanazimiwa taa kwa kukosa 50m TZS kulipia ukumbi kuendelea na mkutano pale Mlimanu City na tulielezwa kuwa hata mkutano wao ulifadhiliwa na watu binafsi kwa kuwa chama hakina hela za kufanya hivyo.

Ni kichekesho sana na mwanzo wa kufeli eti uongozi wa Lissu, unahimiza sasa watu wanunue kadi za uanachama! Hivi wapi duniani kuna chama cha siasa kinaweza kujiendesha kwa kutegemea ada za wanachama? Yaani Mtanzania gani anayeweza kujitoa ufahamu na kununua kadi ya uanachama kwa 500,000/= TZS . Huu ni ujinga wa hali ya juu sana. Huna hela huwezi kufanya siasa wala kuongoza na kuendesha chana na kukiigiza kwenye uchaguzi.

Kauli ya Lissu kuwa " No Reform No Election" ni kauli ya kijinga na ya mwanasiasa ambaye hajitambui Kwa ambao ni wavivu kusoma mambo ni kuwa sheria za uchaguzi zilishabadilishwa na bunge likajadili kwa kina sana na zikapitishwa na sasa ni sheria ndiyo maana hata tume ya uchaguzi ilibadilishwa muundo wake na kadhalika. kwa hiyo mtu anaposema sijui sheria mpya itungwe ni mlevi tu na mjinga.

Mwisho kabisa ni kuwa Tanzania ina vyama vya siasa vingi kufikia 18 na hivyo wengine wakisusa basi kuna vyama vitashiriki na uchaguzi utafanyika na viongozi watapatikana. Kwani 2019 Chadema si walisusia uchaguzi wa serikali za mitaa kwani kulitokea nini? Mambo si yaliendelea kama kawaida au? kwa hiyo wakisusa uchaguzi wa mwaka huu itaturahisishia sana kazi ya kumalizana nao kwenye uwanja wa kisiasa.
Lissu badala ya kupeleka mapesa CDM kapeleka tumbo lake tu.
 
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ni wazi kuwa Chadema, hawawezi kujipanga na uchaguzi kwa muda uliobakia kwa sababu nyingi sana zikiwemo za kuwa ombaomba na kukosa fedha za kuendesha zoezi la uchaguzi.
Juzi juzi tumeshuhudia wanazimiwa taa kwa kukosa 50m TZS kulipia ukumbi kuendelea na mkutano pale Mlimanu City na tulielezwa kuwa hata mkutano wao ulifadhiliwa na watu binafsi kwa kuwa chama hakina hela za kufanya hivyo.

Ni kichekesho sana na mwanzo wa kufeli eti uongozi wa Lissu, unahimiza sasa watu wanunue kadi za uanachama! Hivi wapi duniani kuna chama cha siasa kinaweza kujiendesha kwa kutegemea ada za wanachama? Yaani Mtanzania gani anayeweza kujitoa ufahamu na kununua kadi ya uanachama kwa 500,000/= TZS . Huu ni ujinga wa hali ya juu sana. Huna hela huwezi kufanya siasa wala kuongoza na kuendesha chana na kukiigiza kwenye uchaguzi.

Kauli ya Lissu kuwa " No Reform No Election" ni kauli ya kijinga na ya mwanasiasa ambaye hajitambui Kwa ambao ni wavivu kusoma mambo ni kuwa sheria za uchaguzi zilishabadilishwa na bunge likajadili kwa kina sana na zikapitishwa na sasa ni sheria ndiyo maana hata tume ya uchaguzi ilibadilishwa muundo wake na kadhalika. kwa hiyo mtu anaposema sijui sheria mpya itungwe ni mlevi tu na mjinga.

Mwisho kabisa ni kuwa Tanzania ina vyama vya siasa vingi kufikia 18 na hivyo wengine wakisusa basi kuna vyama vitashiriki na uchaguzi utafanyika na viongozi watapatikana. Kwani 2019 Chadema si walisusia uchaguzi wa serikali za mitaa kwani kulitokea nini? Mambo si yaliendelea kama kawaida au? kwa hiyo wakisusa uchaguzi wa mwaka huu itaturahisishia sana kazi ya kumalizana nao kwenye uwanja wa kisiasa.
Mshaanza maneno yenu sasa baada ya kuja na ajenda za msingi za uchaguzi ulio huru na haki, mara hii ata mutie pamba za masikio kwa kiwango gani hamtampelekesha mtu, no reform no election usiandikie mate
 
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ni wazi kuwa Chadema, hawawezi kujipanga na uchaguzi kwa muda uliobakia kwa sababu nyingi sana zikiwemo za kuwa ombaomba na kukosa fedha za kuendesha zoezi la uchaguzi.
Juzi juzi tumeshuhudia wanazimiwa taa kwa kukosa 50m TZS kulipia ukumbi kuendelea na mkutano pale Mlimanu City na tulielezwa kuwa hata mkutano wao ulifadhiliwa na watu binafsi kwa kuwa chama hakina hela za kufanya hivyo.

Ni kichekesho sana na mwanzo wa kufeli eti uongozi wa Lissu, unahimiza sasa watu wanunue kadi za uanachama! Hivi wapi duniani kuna chama cha siasa kinaweza kujiendesha kwa kutegemea ada za wanachama? Yaani Mtanzania gani anayeweza kujitoa ufahamu na kununua kadi ya uanachama kwa 500,000/= TZS . Huu ni ujinga wa hali ya juu sana. Huna hela huwezi kufanya siasa wala kuongoza na kuendesha chana na kukiigiza kwenye uchaguzi.

Kauli ya Lissu kuwa " No Reform No Election" ni kauli ya kijinga na ya mwanasiasa ambaye hajitambui Kwa ambao ni wavivu kusoma mambo ni kuwa sheria za uchaguzi zilishabadilishwa na bunge likajadili kwa kina sana na zikapitishwa na sasa ni sheria ndiyo maana hata tume ya uchaguzi ilibadilishwa muundo wake na kadhalika. kwa hiyo mtu anaposema sijui sheria mpya itungwe ni mlevi tu na mjinga.

Mwisho kabisa ni kuwa Tanzania ina vyama vya siasa vingi kufikia 18 na hivyo wengine wakisusa basi kuna vyama vitashiriki na uchaguzi utafanyika na viongozi watapatikana. Kwani 2019 Chadema si walisusia uchaguzi wa serikali za mitaa kwani kulitokea nini? Mambo si yaliendelea kama kawaida au? kwa hiyo wakisusa uchaguzi wa mwaka huu itaturahisishia sana kazi ya kumalizana nao kwenye uwanja wa kisiasa.
Hii propaganda ya hela utawakamata wazee wenzako na vijana mazombie. Hakuna mwenye muda wa kushiriki uchaguzi wa kishenzi.
 
Mshaanza maneno yenu sasa baada ya kuja na ajenda za msingi za uchaguzi ulio huru na haki, mara hii ata mutie pamba za masikio kwa kiwango gani hamtampelekesha mtu, no reform no election usiandikie mate
Utadhani CCM yao inaishi kwa kutegemea uhai CHADEMA.

CCM ni waoga Sana wa uchaguzi na kila wakiwaza CHADEMA ipo, wanatetemeka kama wana degedege.
 
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ni wazi kuwa Chadema, hawawezi kujipanga na uchaguzi kwa muda uliobakia kwa sababu nyingi sana zikiwemo za kuwa ombaomba na kukosa fedha za kuendesha zoezi la uchaguzi.
Juzi juzi tumeshuhudia wanazimiwa taa kwa kukosa 50m TZS kulipia ukumbi kuendelea na mkutano pale Mlimanu City na tulielezwa kuwa hata mkutano wao ulifadhiliwa na watu binafsi kwa kuwa chama hakina hela za kufanya hivyo.

Ni kichekesho sana na mwanzo wa kufeli eti uongozi wa Lissu, unahimiza sasa watu wanunue kadi za uanachama! Hivi wapi duniani kuna chama cha siasa kinaweza kujiendesha kwa kutegemea ada za wanachama? Yaani Mtanzania gani anayeweza kujitoa ufahamu na kununua kadi ya uanachama kwa 500,000/= TZS . Huu ni ujinga wa hali ya juu sana. Huna hela huwezi kufanya siasa wala kuongoza na kuendesha chana na kukiigiza kwenye uchaguzi.

Kauli ya Lissu kuwa " No Reform No Election" ni kauli ya kijinga na ya mwanasiasa ambaye hajitambui Kwa ambao ni wavivu kusoma mambo ni kuwa sheria za uchaguzi zilishabadilishwa na bunge likajadili kwa kina sana na zikapitishwa na sasa ni sheria ndiyo maana hata tume ya uchaguzi ilibadilishwa muundo wake na kadhalika. kwa hiyo mtu anaposema sijui sheria mpya itungwe ni mlevi tu na mjinga.

Mwisho kabisa ni kuwa Tanzania ina vyama vya siasa vingi kufikia 18 na hivyo wengine wakisusa basi kuna vyama vitashiriki na uchaguzi utafanyika na viongozi watapatikana. Kwani 2019 Chadema si walisusia uchaguzi wa serikali za mitaa kwani kulitokea nini? Mambo si yaliendelea kama kawaida au? kwa hiyo wakisusa uchaguzi wa mwaka huu itaturahisishia sana kazi ya kumalizana nao kwenye uwanja wa kisiasa.
Machawa wa ccm mtakufa na sonona mwaka huu, yakwenu yanawashinda ,upo na Chadema
 
Machawa wa ccm mtakufa na sonona mwaka huu, yakwenu yanawashinda ,upo na Chadema
Kauli ya Lissu kuwa " No Reform No Election" ni kauli ya kijinga na ya mwanasiasa mpumbavu tu. Mwanasiasa anayeamini kwenye vurugu ndiyo mzuri sana kwa kuwa ni rahisi kumshughulikia na Lissu.
 
Kauli ya Lissu kuwa " No Reform No Election" ni kauli ya kijinga na ya mwanasiasa mpumbavu tu. Mwanasiasa anayeamini kwenye vurugu ndiyo mzuri sana kwa kuwa ni rahisi kumshughulikia na Lissu.
No Reform No Election, period, ndo msimamo, ccm mmezoea vya kunyonga ,kuchinja hamuwezi, that's mmebaki kutapatapa,
 
Wanaukumbi.

Kwa hali ilivyo ni wazi kuwa Chadema, hawawezi kujipanga na uchaguzi kwa muda uliobakia kwa sababu nyingi sana zikiwemo za kuwa ombaomba na kukosa fedha za kuendesha zoezi la uchaguzi.
Juzi juzi tumeshuhudia wanazimiwa taa kwa kukosa 50m TZS kulipia ukumbi kuendelea na mkutano pale Mlimanu City na tulielezwa kuwa hata mkutano wao ulifadhiliwa na watu binafsi kwa kuwa chama hakina hela za kufanya hivyo.

Ni kichekesho sana na mwanzo wa kufeli eti uongozi wa Lissu, unahimiza sasa watu wanunue kadi za uanachama! Hivi wapi duniani kuna chama cha siasa kinaweza kujiendesha kwa kutegemea ada za wanachama? Yaani Mtanzania gani anayeweza kujitoa ufahamu na kununua kadi ya uanachama kwa 500,000/= TZS . Huu ni ujinga wa hali ya juu sana. Huna hela huwezi kufanya siasa wala kuongoza na kuendesha chana na kukiigiza kwenye uchaguzi.

Kauli ya Lissu kuwa " No Reform No Election" ni kauli ya kijinga na ya mwanasiasa ambaye hajitambui Kwa ambao ni wavivu kusoma mambo ni kuwa sheria za uchaguzi zilishabadilishwa na bunge likajadili kwa kina sana na zikapitishwa na sasa ni sheria ndiyo maana hata tume ya uchaguzi ilibadilishwa muundo wake na kadhalika. kwa hiyo mtu anaposema sijui sheria mpya itungwe ni mlevi tu na mjinga.

Mwisho kabisa ni kuwa Tanzania ina vyama vya siasa vingi kufikia 18 na hivyo wengine wakisusa basi kuna vyama vitashiriki na uchaguzi utafanyika na viongozi watapatikana. Kwani 2019 Chadema si walisusia uchaguzi wa serikali za mitaa kwani kulitokea nini? Mambo si yaliendelea kama kawaida au? kwa hiyo wakisusa uchaguzi wa mwaka huu itaturahisishia sana kazi ya kumalizana nao kwenye uwanja wa kisiasa.
Wagome tuu Ili ccm wapate ushindi wa mezani
 
No Reform No Election, period, ndo msimamo, ccm mmezoea vya kunyonga ,kuchinja hamuwezi, that's mmebaki kutapatapa,
Liasu hawezi kuingiza watoto wa watu kwenye matatizo na vurugu huku kaficha watoto wake akina Edward Marekani wanakaa na kusoma huko na wamepewa uraia wa huko. Kama ana uchungu sana na nchi hii si angeleta familia yake hapa ili ishiriki hayo anayoita ni mpambano ya kukomboa nchi?
 
Wananchi wote tunataka tume huru ya uchaguzi. Mambo ya kutuchagulia viongozi tumechoka.
Lissu, na wafuasi wake wanaongelea mambo ya "No Reforms No Elections" inawezekana hajui kuwa mabadiliko ya sheria za uchaguzi yalishafanywa na wao walisusia kila kitu mpaka wakaandamana lakini wengi wakashinda kwa kura kule bungeni na sheria ikapitishwa pamoja na kususa kwao!.
 
Back
Top Bottom