Pre GE2025 CHADEMA hawajajipanga na uchaguzi, njia pekee ya kukwepa aibu ni kugomea uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwahiyo wewe wizi fursa kwako?
Kama lengo lako kwenda kusaidia jamiii unaogopa nn kuiba japo kura tu na sio pesa
Ujasikia Siasa mchezo mchafu Nani atumii mbinu iliashinde ujaona Lisu akimnanga mwenzie na pesa za Abdur!!!

ndio Siasa iyo uchaguzi wa CHADEMA kura buku tu kwanini watu wamekesha macho mpaka asubui unaweza kutoa Sababu? Siasa na Wizi ni ndugu wa Baba m'moja!!!!
 
Mjinga tuu ndio anafikiri kuwa na chama kimoja na wizi wa kura ndio maendeleo, Pumbąf sana
 
Kama lengo lako kwenda kusaidia jamiii unaogopa nn kuiba japo kura tu na sio pesa
Kwahiyo unaweza kutoa msaada kwa kuiba kura, hao wananchi unaotaka kuwasaidia si utaishia kuwaibia fedha zao tu?
Ujasikia Siasa mchezo mchafu Nani atumii mbinu iliashinde ujaona Lisu akimnanga mwenzie na pesa za Abdur!!!
Siasa mchezo mchafu ni msemo wa majukwaa, kwani Abdul hakutoa pesa hivyo Lissu kukemea pesa za rushwa ndio uchafu je angeacha ingekuwa usafi?
ndio Siasa iyo uchaguzi wa CHADEMA kura buku tu kwanini watu wamekesha macho mpaka asubui unaweza kutoa Sababu? Siasa na Wizi ni ndugu wa Baba m'moja!!!!
Basi kama wewe kwako wizi ni fursa mimi siungi mkono unachokisema.

Kura hizo zilipigwa na kuhesabiwa kwa uwazi ndio maana hujasikia irregularities zozote aliyeshindwa alikubali tu baada ya zoezi la kuhesabu kura kukamilika.

CCM lini wamefanya zoezi kama hilo kwa uwazi?
 
Kwa taarifa yako matokeo yako kwenye vituo vya kura na sio majumuisho ya tume. Uchaguzi ww kuhuni huanzia huko huko kwenye vituo vya kura. Hakuna anayepima uchaguzi wa haki kwa matokeo kutangazwa haraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…