Kura elfu 1 zimeesabiwa kwa masaaa mangapi watu awajalala siku nzima ndio Uchaguzi wa haki!!
Watu wote waliopiga kura wamebaki macho usiku mzima hiii ndio haki
tuje Uchaguzi Serikali za mitaa chini ya mkurugenzi wa Jiji mitaa + vijiji vituo vimefugwa saa 11 jioni kufika saa mbili au seem nyengine saa3 usiku matokeo tayali
nyie CHADEMA kura buku watu wamekesha macho!!!! Alafu nyie eti ndio muifundishe Serikali namna ya kusimamia Uchaguzi Mkija kusimamia uchaguzi wa jimbo tu
tutegemee Matokea baada ya siku ngapi!!!!!!