ROBERT HERIEL, tangu nimeanza kukusoma post zako nimegundua kuwa wewe ni mweupe sana kichwani. Nyuzi zako zote zinahusu Chadema.
Tushakuambia mara milioni, kwamba ccm ilishajifia kitambo. Haipo tena, Chadema inafanya shughuli zake katika mazingira magumu ya kisiasa. Na wewe unajua.
Mizani ya ushindani kati ya the so called ccm na Chadema si sawa. Ccm wanatumia njia zote ovu, wanavunja sheria na hakuna mtu wa kuwawajibisha. Unatakaje hawa washinde kwenye mazingira kama haya?
Siasa ni majukwaani na mabarabarani hii ni kauli ya mwalimu nyerere. Chadema wamekatazwa majukwaani na mabarabarani pia. Unapataje wanachama wapya? Unafikishaje sera za chama kwa watu?
Jiangalie mdogo wangu. Usipokuwa makini nitakutukana.