CHADEMA hawawezi kumuelewa Paskali Mayalla. Ruzuku kwao ni baishara kuendesha maisha yao

Mayalla angesema tu MBOWE ASIPEWE RUZUKU kwasababu ruzuku ya CHADEMA huwa ni yake binafsi.

Ruzuku ikitolewa CCM itakufa kesho yake. Maana wanapokea Bilioni moja na millioni mia nne kwa siku, Sasa ikifutwa nani atalia Sana Kama sio CCM.
 
si chini ya asilimia 80% ya hizo ruzuku inaliwa na CCM. Hapo sio Chadema wala Zitto CCM ndio hawawezi kukuelewa kabisa kwenye hilo suala.

Ila kikweli kutoa hela ya umma kwa vyama vya siasa ni kutuumiza wananchi, nchi hata barabara za shida lakini CCM inapewa ma bilioni kila mwezi
 
Pascal Mayalla anza kukiambia chama chako cha Ccm maneno haya, maana wao ndio wanufaika wakubwa wa ruzuku.
 
Acha kujidanganya.
 
Pamoja na kupora miradi na uwekezaji kadhaa wa Umma. Pamoja na kutumia magari na fedha za serikali kuendeshea siasa za chama chao, bado CCM kila mwezi inachukua mabilioni ya fedha toka hazina kama ruzuku na kufuja fedha hizo.
Inachefua sn hiz Mambo
Nayaonaga km mashetan
 
Haka kajamaa kana roho mbaya tu hii yote ni kuwaharibia chadema wasistawi, Mungu alivyo na maanabi utafuta ruxuku na ccm itashindwa uchaguzi je itaishi bila ruxuku?
 
Kwakuwa huna akili maana aliondoka nazo Jiwe
 
Pamoja na kupora miradi na uwekezaji kadhaa wa Umma. Pamoja na kutumia magari na fedha za serikali kuendeshea siasa za chama chao, bado CCM kila mwezi inachukua mabilioni ya fedha toka hazina kama ruzuku na kufuja fedha hizo.
Lkn bado utakuta jitu linapanua mdomo kuinanga cdm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…