CHADEMA haya mnayoyafanya ndio yalipelekea tukaletewa Hayati Magufuli

CHADEMA haya mnayoyafanya ndio yalipelekea tukaletewa Hayati Magufuli

Wacha chadema wafanye kazi yao ya kuchochea mapinduzi ya fikra kwa waliowengi.huwezi kumkomboa kifikra mtu mwenye mawazo yakikondoo kwa lugha laini na nyepesi.Watu wakiwa na mawazo chanya,kujitambua na kujua haki zao zakiraia nfipo tutakapoweza kutengeneza taifa lenye wananchi wenye uwezo wakujiamini,kuthubutu,kupambana na kushindana.Nchi bado ina safari ndefu na Jpm ni sehemu tu ya aina ya viongozi waliopata kuhudumu kama rais na kila rais atakuja na aina yake ya uongozi kwahiyo hakuna aliyekomolewa.Cha msingi chadema wasivunje sheria za nchi mengine ni yakawaida sana.
 
Duh masikini ya Mungu..hamjitambui kabisa
Umeandika kama Magufuli bado yupo hai..
Mtaji wa kumpinga Magufuli haupo..
Lissu umaarufu wake kwa kumpinga Magufuli umeshashuka...

Watu wanamsikiliza Samia kuliko Lissu

The sands has shifted beneath...eleweni
Still ur on it again and agai showing ur lack of experience, kipi kina-kuthibitishia umaarufu wake umeshuka?
 
Duh masikini ya Mungu..hamjitambui kabisa
Umeandika kama Magufuli bado yupo hai..
Mtaji wa kumpinga Magufuli haupo..
Lissu umaarufu wake kwa kumpinga Magufuli umeshashuka...

Watu wanamsikiliza Samia kuliko Lissu

The sands has shifted beneath...eleweni
Kila mtu ana wafuasi wake.na ni ujinga kumlinganisha raia wa kawaida tundu lissu na rais wa nchi.Wakati unajua rais ana coverage kubwa kuanzia vyombo vya habari hadi shughuli za chama na serikali.Hao wachache wanaomsikiliza lissu wacha wabaki hivyo hivyo lakini kupitia hao wachache ujumbe wa lissu kwa jamii utaendelea kuwafikia wananchi.
 
Jiwe alikuwa na shida zake binafsi ila kwa maza Pini watapigwa na maisha yatasonga.Jiwe alikuwa anapora pesa,anabambikia kesi,anatosa watu baharini,anateka nk nk.

Maza atafanya kama Rwanda,Uganda,China nk yaani ugomvi uwe kwenye siasa sio kwenye uchumi
 
Tokea nizaliwe sijawahi kusapoti CCM na Kura miaka yote nawapigia chadema Ila Kwa kitendo chao cha kishamba eti tuingie barabaran kudai katiba mpya ni UJINGA mtupu!!
mbinu za kizamani Sana hizi za kuhamasisha Fujo angalia maneno ya mdude juzi hayana hata adabu ameshindwa kukumbuka kuwa raisi Samia kamtoa jela(shukrani ya punda kabisa hii).

sijawahi kuponda chama changu hata siku moja Ila Kwa hili tukio la mbowe nimeanza kuwachoka wapinzani na nahisi huu ndiyo mwanzo wangu wa kukataa mambo ya vyama
Ni wapi maandamano yametajwa kua ni fujo kwenye sheria za nchi hii.Au ni uelewa wako mdogo kwenye sheria za nchi.Kama wewe umeumbwa kukaa nakusubiri wengine wakufanyie kalisha makalio chini wenye uwezo wakufanya wafanye.Fanya yako nawao watafanya yao maana hakuna mwenye hati miliki na hii nchi.
 
Chadema ni outdated.!!!! Sio kweli

Chama ambacho kimenyang'anywa viti vyake kibao kwenye rigged élections u all know that!!!

Wajibrand kwa lipi? Chadema is grow since kimeanzishwa.

Walisema upinzani utakufa? Umekufa ?
Malisa bado kijana mdogo hana uthubutu wa kuongoza chama,bwana mkuu umekua mnafiki sana speech za Mbowe unalinganisha na articles za Malisa ur naive

Sio kweli bado wananchi wanahamu na mabadiliko check numbers during lissu's campaign ur liar, magufuli alizomewa Mbeya na haohao wananchi.

Namaliza kwa kusema umeandika sana lakini huna hoja ya msingi simply because ur naive.....!

Chadema ni chama kinacho move wamedemand vitu vingi sana na vimekua cleared now wako na #Katibampyamovement........!
Malisa ni Mzee yule ujana unaishia miaka 35 tu acheni ujinga hafu 2025 hamtapata hata hao wabunge wa viti maalumu yaani mtaambulia kapa kabisa
 
Amani iwe nanyi nyote..

Naomba niwakumbushe udugu wangu chadema, awamu ya nne mlipiga sana kelele kuwa kuna ufisadi, nchi haikuwa na rais tunahitaji rais dikteta...naomba niseme ukweli niliungana na chadema, na katika uchaguzi niliisaidia kweli kweli kwa mapenzi ya kutoka moyoni

.Mungu si Athumani tukaletewa jiwe, mwamba kweli kweli, ghafla tukashuhudia hakuna uhuru wa habari! utekaji kila kona, watumishi wakapauka....na nataka niseme ukweli kura nilimpa Lisu na nilimpambania hadi kwa ndugu zangu.

Ila Mungu si mzee Hassan katikati ya giza katuletea mama, msikivu ndani ya miezi mitatu nyoyo zimetua, matumaini yamefufuka.
Mama msema kweli katwambia uchumi wetu umeyumba tupige kazi tuukuze, leo mnataka kuleta ngebe, ndani ya miezi mitatu mnataka katiba....hii ni sawa na kuoa mke kisha ndani ya mwezi unamdai mtoto...hata mimba huchukua miezi 9 kuzaliwa.

hayo mnayoyafanya ndo yalisababisha tuletewe jiwe, safari hii hatukubali...tutaenda taratibu na mama.
Tatizo tunaamini kuwa huru ni HISANI ya Mtawala
 
Kwa kweli wamenifikirisha hawa ndugu zangu si kwa haraka hii walonayo huku wakitishia uvunjifu wa amani.
Wananchi tuna majeraha kutokana na utawala wa kiimla tulokuwa tukiuelekea...wao wangeanzia chini wangekuja na sera mbadala za kuwapa matumaini watu. wangewaelewesha wananchi sheria zote kandamizi zilizopelekea majeraha haya...hapo wananchi wenyewe wangedai katiba, sio kukurupuka ndani ya miezi mitatu kuanza kudai katiba...hatuwaelewi
Hao wananchi watatumia njia gani kuidai hiyo katiba?.Ni nani atakayeanzisha hoja ya kukusanya hayo mawazo ya wananchi ili hilo hitaji la katiba lionekane lipo?.Hii ni nchi sio darasa.kwahiyo lazima kuwe na kundi au taasisi mahususi itakayokua chanzo cha hilo vuguvugu.Mabadiliko yoyote yale ndani ya nchi yanategemea makundi kama hayo kwasababu kupitia wao ndo inakua rahisi kueleza hitaji lililopo.na kuna mabadiliko ili yafanyike lazima kuwe na msukumo mkubwa.Kwahiyo kinachofanyika ni kitu sahihi.
 
Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe..


Huoni tatizo lilipo???

Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant

Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..

Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..

Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..

Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Ulimsikia lini Samia akisema anamsikiliza MALISA kuliko MBOWE acheni huu ujinga wakuwaza teuzi
 
Kwa kweli wamenifikirisha hawa ndugu zangu si kwa haraka hii walonayo huku wakitishia uvunjifu wa amani.
Wananchi tuna majeraha kutokana na utawala wa kiimla tulokuwa tukiuelekea...wao wangeanzia chini wangekuja na sera mbadala za kuwapa matumaini watu. wangewaelewesha wananchi sheria zote kandamizi zilizopelekea majeraha haya...hapo wananchi wenyewe wangedai katiba, sio kukurupuka ndani ya miezi mitatu kuanza kudai katiba...hatuwaelewi
Swala la Katiba Kila mtu anaejielewa anatakiwa aidai Chadema wameanzisha mwendo tu sasa mkikaa nakudhani Chadema ndio wenye shid na Katiba mmekwama
 
Duh masikini ya Mungu..hamjitambui kabisa
Umeandika kama Magufuli bado yupo hai..
Mtaji wa kumpinga Magufuli haupo..
Lissu umaarufu wake kwa kumpinga Magufuli umeshashuka...

Watu wanamsikiliza Samia kuliko Lissu

The sands has shifted beneath...eleweni
Tathmini hii uliifanya lini?
 
Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe..


Huoni tatizo lilipo???

Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant

Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..

Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..

Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..

Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Unataka mbinu gani? Mama alisema msilalamike tu kupayuka, toeni suluhu.....
 
Naunganmkono hoja. Chadrma ni kikundi cha wahuni. Yaan hata jiwe hajapasuka tumbo tayar nchi washaleta fujo.
Kwa kweli kwa hili tuko na mama.

Kwanza katiba si hitaji la wananchi ni hitaji la chadema washinde uchaguzi waende ikulu.

Hatukubali.
 
Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe..


Huoni tatizo lilipo???

Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant

Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..

Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..

Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..

Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Mwangwi wa kilio cha uoga wa CCM wazidi kuchekesha, MWE.
 
CDM wenyewe hii agenda ya katiba wanaitaka iwape favor kwa uchaguzi kwanini wasije na agenda zinazogusa wananchi ka umaskini, uchumi na swala la ajira kwa vijana ambalo ni tatizo kubwa Hapo wangepata support kubwa kutoka kwa wananchi. Samia kaanza vizuri kabisa na ana support ya wananchi kwa sasa
 
Back
Top Bottom