CHADEMA haya mnayoyafanya ndio yalipelekea tukaletewa Hayati Magufuli

CHADEMA haya mnayoyafanya ndio yalipelekea tukaletewa Hayati Magufuli

Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe..


Huoni tatizo lilipo???

Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant

Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..

Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..

Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..

Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Mwangwi wa kilio cha uoga cha CCM wazidi kuchekesha, MWE.
 
CDM wenyewe hii agenda ya katiba wanaitaka iwape favor kwa uchaguzi kwanini wasije na agenda zinazogusa wananchi ka umaskini, uchumi na swala la ajira kwa vijana ambalo ni tatizo kubwa Hapo wangepata support kubwa kutoka kwa wananchi. Samia kaanza vizuri kabisa na ana support ya wananchi kwa sasa
Kweli kaanza vizuri, tatizo Kuna wanaccm wanamuundia zengwe
 
Amani iwe nanyi nyote..

Naomba niwakumbushe udugu wangu chadema, awamu ya nne mlipiga sana kelele kuwa kuna ufisadi, nchi haikuwa na rais tunahitaji rais dikteta...naomba niseme ukweli niliungana na chadema, na katika uchaguzi niliisaidia kweli kweli kwa mapenzi ya kutoka moyoni

.Mungu si Athumani tukaletewa jiwe, mwamba kweli kweli, ghafla tukashuhudia hakuna uhuru wa habari! utekaji kila kona, watumishi wakapauka....na nataka niseme ukweli kura nilimpa Lisu na nilimpambania hadi kwa ndugu zangu.

Ila Mungu si mzee Hassan katikati ya giza katuletea mama, msikivu ndani ya miezi mitatu nyoyo zimetua, matumaini yamefufuka.
Mama msema kweli katwambia uchumi wetu umeyumba tupige kazi tuukuze, leo mnataka kuleta ngebe, ndani ya miezi mitatu mnataka katiba....hii ni sawa na kuoa mke kisha ndani ya mwezi unamdai mtoto...hata mimba huchukua miezi 9 kuzaliwa.

hayo mnayoyafanya ndo yalisababisha tuletewe jiwe, safari hii hatukubali...tutaenda taratibu na mama.
Nani alikudangaja baada ya chadema kusema kuna ufisadi magufuli alikuja kumaliza ufisadi? Unajua zilipokwenda trilion 1.3 kwenye ripoti ya CAG (prof Assad enzi zile)? unajua ni ma trillion mangapi yamepigwa kwenye idara mbali mbali katika ripoti ile? Unajua kwanini madini hayakaguliwi na CAG? Actually uliongezeka mara 10 ya kipindi cha mtangulizi wake.

Kwanini unatumia neno TUKALETEWA inamaana sisi kama nchi hatuko huru kuamua nani awe raisi na nani asiwe raisi bali watu wachache wa ccm ndo wanaamua nchi hii nani awe raisi.
 
Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe..


Huoni tatizo lilipo???

Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant

Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..

Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..

Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..

Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Mbowe anawatesa sana, Kwanini hamjifunzi waliojaribu kupambana nae karibu wote wameshakata ringi mwingine kakata moto

Makonda hoi
Sabaya mali ya nyampala huko jera
Mwendazake kakata moto
Mambo sasa hata hajulikani kama bado yupo kazini au amestaafu

Na wengine wengi,...
 
Tokea nizaliwe sijawahi kusapoti CCM na Kura miaka yote nawapigia chadema Ila Kwa kitendo chao cha kishamba eti tuingie barabaran kudai katiba mpya ni UJINGA mtupu!!
mbinu za kizamani Sana hizi za kuhamasisha Fujo angalia maneno ya mdude juzi hayana hata adabu ameshindwa kukumbuka kuwa raisi Samia kamtoa jela(shukrani ya punda kabisa hii).

sijawahi kuponda chama changu hata siku moja Ila Kwa hili tukio la mbowe nimeanza kuwachoka wapinzani na nahisi huu ndiyo mwanzo wangu wa kukataa mambo ya vyama
Vitu hivi haviji kwa hisani. Hupiganiwa na hata baadhi hupoteza maisha na mali.

Mama ni diplomat na democrat . Hatataka achafuliwa kama wafuasi wa Ccm wanavyotamani atumie nguvu.
 
Huyu mnaemuita jiwe si ndiye mlikuwa mnamsifia pamoja na "confrontational" politics zake? Hamjawahi kuipenda Chadema ndio mnataka mtuaminishe kuwa mlikuwa nao wakati wa utawala uliopita na sasa mnataka kum support Rais wa sasa?

Acheni Chadema ifanye inachoona ina tija kwake na taifa hili ni nyie endeleeni kukiunga mkono chama chenu pendwa. Uongozi wa Chadema hauwahusu.

Amandla...
Chadema ni chama cha umma sio cha mwenyekiti. Mkikosea spana ziko pale pale.
 
CDM wenyewe hii agenda ya katiba wanaitaka iwape favor kwa uchaguzi kwanini wasije na agenda zinazogusa wananchi ka umaskini, uchumi na swala la ajira kwa vijana ambalo ni tatizo kubwa Hapo wangepata support kubwa kutoka kwa wananchi. Samia kaanza vizuri kabisa na ana support ya wananchi kwa sasa
Kwa hii comment Nchi bado mko wajinga wengi sana kwahiyo huamini kwamba umaskini pia unachangiwa kwa mi VYEO ya hovyo hovyo unajua wanatumia kiasi Gani duh
 
Duh masikini ya Mungu..hamjitambui kabisa
Umeandika kama Magufuli bado yupo hai..
Mtaji wa kumpinga Magufuli haupo..
Lissu umaarufu wake kwa kumpinga Magufuli umeshashuka...

Watu wanamsikiliza Samia kuliko Lissu

The sands has shifted beneath...eleweni

Tuchukulie uko sahihi haya unayosema, kwa sasa Cdm/Lisu hawasikilizwi, je wasidai katiba mpya kwa sababu anayesikilizwa ni mama tu? Mbona wakati wa Magufuli pia tuliambiwa anasikilizwa kuliko wapinzani, hapo tushike lipi? Mkuu mbona umeumia cdm kudai katiba mpya bila hata kutoa mapendekezo wafanyeje, zaidi ya kutaka wampe mama muda bila hata time frame? Ww kwa mtazamo wako, ni lini mama atakuwa tayari ndio katiba ianze kudaiwa?
 
Hao wananchi watatumia njia gani kuidai hiyo katiba?.Ni nani atakayeanzisha hoja ya kukusanya hayo mawazo ya wananchi ili hilo hitaji la katiba lionekane lipo?.Hii ni nchi sio darasa.kwahiyo lazima kuwe na kundi au taasisi mahususi itakayokua chanzo cha hilo vuguvugu.Mabadiliko yoyote yale ndani ya nchi yanategemea makundi kama hayo kwasababu kupitia wao ndo inakua rahisi kueleza hitaji lililopo.na kuna mabadiliko ili yafanyike lazima kuwe na msukumo mkubwa.Kwahiyo kinachofanyika ni kitu sahihi.
Tukiachana na mahaba ya chama hivi kwa hali ya nchi sasa ukizingatia tulipotoka dai la kwanza ilifaa kuwa katiba mpya? tena kwa kuweka rehani amani yetu?
Jamani tuna majeraha muacheni mama atuponye....wakati vijana wanakosa ajira, wakati tunawekewa VRF za kiuonevu na watumishi kunyimwa nyongeza wengine walikimbilia dubei, hawajui tulopitia sisi tusioweza hata kukimbilia malawi. Tumeanza vizuri na mama wasimtibue.
 
Jitu kama Mdude katolewa jela Tu kaanza matusi hapo hapo kwa waliomtoa..
Bangi tupu
Halafu ni kiongozi eti chadema

Hebu punguza munkari, mdude sio kiongozi, alipewa nafasi ya kuongea kama muhamasishaji, na lengo ni kujua watu wa aina zote wanaiongeleaje katiba. Au ulitaka wapewe nafasi wasomi tu, wachungaji tu bila kuchanganya na wahuni? Unapozungumza jambo la kijamii utakutana na watu wa aina zote, hivyo uvumilivu ni jambo la msingi. Sasa ww hata uvumilivu umekushinda kisha unawapangia cdm wafanye ili kuwafurahisha ccm?
 
m
Tatizo tunaamini kuwa huru ni HISANI ya Mtawala
Mngeyaongea na kuyaishi haya wakati wa Magufuli ningewaona wanaume kweli. mbona mlikimbia kama uhuru sio hisani?
 
Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe..


Huoni tatizo lilipo???

Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant

Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..

Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..

Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..

Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Mkuu umezungumza point ambayo nimekuwa nikiisema sana hapa jukwaani Chadema hawataweza kwenda mbele kwa kutumia mawazo yaleyale ya Mwenyekiti wa kudumu, waruhusu mtu mwingine alete changamoto zingine.
 
Huyu mnaemuita jiwe si ndiye mlikuwa mnamsifia pamoja na "confrontational" politics zake? Hamjawahi kuipenda Chadema ndio mnataka mtuaminishe kuwa mlikuwa nao wakati wa utawala uliopita na sasa mnataka kum support Rais wa sasa?

Acheni Chadema ifanye inachoona ina tija kwake na taifa hili ni nyie endeleeni kukiunga mkono chama chenu pendwa. Uongozi wa Chadema hauwahusu.

Amandla...
Eti tija ya Taifa hebu badilisheni Mwenyekiti wa tokea enzi za Pontio Pilato.
 
Agenda ya Katiba mpya ni ya muhumu sana,lakini anayedai Katiba Mpya hana nia njema yaani anataka kutumia hiyo Katiba mpya kupata madaraka. Na anayeyekataa Katiba hana nia njema anataka kutumia Katiba iliyopo kubaki madarakani. Tatizo hili ndiyo lilivuruga mchakato wa Katiba mpya wakati wa JK.

Yule mzee JK alikuwa na nia njema kabisa akitoka madarakani awe ametuachia Katiba iliyobora lakini wanasiasa wa CCM na Upinzani(UKAWA) wakavuruga ule mchakato kwa sababu ya kupigania maslahi yao badala ya maslahi ya nchi.

Mama tokea mwanzo akiongea tu unaona nia yake ya kutuachia Katiba iliyobora kabisa lakini CCM na Upinzani (CHADEMA) watamvuraga kama walivyomvuruga JK na hakuna Katiba itakayopatika sana sana tutaiingiza nchi kwenye vurugu za kisiasa kwa maslahi ya wanasiasa.

Wanasiasa wa CCM na Upinzani acheni upumbavu wenu,wenye akili tunawachora lakini wapumbavu akina Mdude Nyagali na Sabaya watatumika kutuletea vurugu zisizo na msingi.
 
Amani iwe nanyi nyote..

Naomba niwakumbushe udugu wangu chadema, awamu ya nne mlipiga sana kelele kuwa kuna ufisadi, nchi haikuwa na Rais tunahitaji Rais Dikteta...naomba niseme ukweli niliungana na CHADEMA, na katika uchaguzi niliisaidia kweli kweli kwa mapenzi ya kutoka moyoni

Mungu si Athumani tukaletewa jiwe, mwamba kweli kweli, ghafla tukashuhudia hakuna uhuru wa habari! utekaji kila kona, watumishi wakapauka na nataka niseme ukweli kura nilimpa Lissu na nilimpambania hadi kwa ndugu zangu.

Ila Mungu si mzee Hassan katikati ya giza katuletea mama, msikivu ndani ya miezi mitatu nyoyo zimetua, matumaini yamefufuka.
Mama msema kweli katwambia uchumi wetu umeyumba tupige kazi tuukuze, leo mnataka kuleta ngebe, ndani ya miezi mitatu mnataka katiba, hii ni sawa na kuoa mke kisha ndani ya mwezi unamdai mtoto hata mimba huchukua miezi 9 kuzaliwa.

Hayo mnayoyafanya ndo yalisababisha tuletewe jiwe, safari hii hatukubali, tutaenda taratibu na mama.
Hawa chadema wanatuvunja moyo 2015 niliwapigia kura 2020 pia lkn kwa hya mazingaombwe yao itawagharimu
 
Naunganmkono hoja. Chadrma ni kikundi cha wahuni. Yaan hata jiwe hajapasuka tumbo tayar nchi washaleta fujo.
Kwa kweli kwa hili tuko na mama.

Kwanza katiba si hitaji la wananchi ni hitaji la chadema washinde uchaguzi waende ikulu.

Hatukubali.
Wabinafsi sana hawa, yani mama asikamilishe miradi, asiboreshe maslahi ya watumishi, asiboreshe maisha ya wananchi...pesa awape wao wakatuandikie makorokocho huko in the name of katiba mpya. Na ukizingatia mama hajakataa kasema tumpe tu muda.
Kama wamemiss posho wavumilie tu, mbona sisi tumevumilia hali ngumu.
 
Back
Top Bottom