kuambiwa kwamba utakata moto ndo ndo kupotoshwa? yaaani wewe tafauti yako ya yule aliefukiwa na wewe ni uzi wa mda! infact according to theory of relativity, wewe tayar ushakufa, uko kwenye illusion ya nyuma ya mda! if all factors of space time zkiwa in place anyone who travels to the future anakukuta umeshakufa, sasa kiburi unatoa wap?
Mama yako yuko wapi?Huyo jiwe aliyeikomoa chadema yuko wapi kwanza?
Tuanzie hapo
The best comment nimewahi kuiona jf! Salute the BossRais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe.
Huoni tatizo lilipo?
Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant
Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..
Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..
Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..
Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
CDM mmekuwa wapuuzi, mnaamini kila asemacho MboweHuyo jiwe aliyeikomoa chadema yuko wapi kwanza?
Tuanzie hapo
Katiba iliyopo inaeleweka kwa wananchi? Katiba ya chama chako si ndiyo hiyo mkiti wako ameichakachua aendelee kuongoza milele na milele, umeshawahi kulalamika humu jinsi katiba yako ilivyochakachuliwa?Sina tatizo kabisa na msimamo ama mapendekezo yako, tuchukulie kuwa cdm wamewahi sana kudai hiyo katiba mpya, je unafikiri wanapaswa kusubiri kwa muda gani? Je ni kwanini rais hakutoa muda maalum wa jambo hilo? Je ameweka viashiria vyovyote vya huo uchumi kukua, hivyo watu wakiviona ndio wadai hiyo katiba mpya?
Katiba mpya itakuja siku serikali ikiamua, not you mfsUna andika kwa mihemko sana....
Sasa tuko na #katibampyamovement
Matusi waliyotoa kwenye hilo kongamano lao hawahitajiki kuungwa mkono na mtanzania yeyote! I used to be on their side, now nooooNaunganmkono hoja. Chadrma ni kikundi cha wahuni. Yaan hata jiwe hajapasuka tumbo tayar nchi washaleta fujo.
Kwa kweli kwa hili tuko na mama.
Kwanza katiba si hitaji la wananchi ni hitaji la chadema washinde uchaguzi waende ikulu.
Hatukubali.
He is a fckn thief, and hawa vibaraka wake hawawezi kukuelewa, wengine wamekimbia jukwaa, akina YerickoMbowe , Mbowe. , Mbowe , Mbowe , Mbowe aaaaah jaribuni figure ingine tumechoka
Mnataka Samia aanzishe mchakato wa katiba now? The world is fkd up, mnadhani katiba ni muhimu kuliko chochote now? Fk you guysKufananisha madai katiba na mke sijui mimba ni insanity think big, Mwendazake alitumia udhaifu wa katiba tulionayo kutaka kutaka kuuwa upinzani nchini, kutesa watu na kuuwa, sasa wenye akili lazima wadeal na katiba kwanza.
Pili lazima ujue matakwa ya katiba sio isani ya Mama ni takwa la wananchi.
Tafuta clip ya Prof Rweitama alzungumzia vizuri sana kwenye kongamano la katiba pale Baracuda
Your head is fkd up, nafikiri jpm mwingine inabidi aje kuirudisha hii nchi kwenye misingi yake, stupid guys like you should be put out of your miseryNi haki yake kufanya hivyo. Anaweza kuwaomba ushari wakina Cecil Mwambe. Na kabla hajahama CCM aombe ushauri wale wote waliowahi kugombea uenyekiti dhidi ya incumbent Mwenyekiti wa taifa.
Amandla...
Misingi yake ipi? Hiyo ya kutaka watu wajinga kama mimi wauawe?Your head is fkd up, nafikiri jpm mwingine inabidi aje kuirudisha hii nchi kwenye misingi yake, stupid guys like you should be put out of your misery
I think soMisingi yake ipi? Hiyo ya kutaka watu wajinga kama mimi wauawe?
Amandla...
You think so? Hauna uhakika na unachokisema halafu unaniita mimi stupid? Kweli stupid as stupid does.I think so
Majitu majinga utayajua tu. Kazi kujadili watu na majina yao badala ya kujadili core issues!Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe.
Huoni tatizo lilipo?
Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant
Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..
Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..
Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..
Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Hao watoto wa juzi juzi wasikubabaishe. Harakati za kudai Katiba Mpya zipo tangu enzi za Mwl. Nyerere tena ndani ya chama kimoja!!______Sina tatizo kabisa na msimamo ama mapendekezo yako, tuchukulie kuwa cdm wamewahi sana kudai hiyo katiba mpya, je unafikiri wanapaswa kusubiri kwa muda gani? Je ni kwanini rais hakutoa muda maalum wa jambo hilo? Je ameweka viashiria vyovyote vya huo uchumi kukua, hivyo watu wakiviona ndio wadai hiyo katiba mpya?
Sorry Mkuu, but kuna mahali cdm wanakoseaYou think so? Hauna uhakika na unachokisema halafu unaniita mimi stupid? Kweli stupid as stupid does.
Amandla...
Mimi sijasema CDM ni perfect. Hakuna chama perfect.Sorry Mkuu, but kuna mahali cdm wanakosea
Usitukane punguza hisia kali na mihemko.!Katiba mpya itakuja siku serikali ikiamua, not you mfs