CHADEMA haya mnayoyafanya ndio yalipelekea tukaletewa Hayati Magufuli

CHADEMA haya mnayoyafanya ndio yalipelekea tukaletewa Hayati Magufuli

kuambiwa kwamba utakata moto ndo ndo kupotoshwa? yaaani wewe tafauti yako ya yule aliefukiwa na wewe ni uzi wa mda! infact according to theory of relativity, wewe tayar ushakufa, uko kwenye illusion ya nyuma ya mda! if all factors of space time zkiwa in place anyone who travels to the future anakukuta umeshakufa, sasa kiburi unatoa wap?

Kwamba nishafukiwa tufanye hivi, nimekubali kuna jingine?
 
Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe.

Huoni tatizo lilipo?

Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant

Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..

Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..

Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..

Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
The best comment nimewahi kuiona jf! Salute the Boss
 
Sina tatizo kabisa na msimamo ama mapendekezo yako, tuchukulie kuwa cdm wamewahi sana kudai hiyo katiba mpya, je unafikiri wanapaswa kusubiri kwa muda gani? Je ni kwanini rais hakutoa muda maalum wa jambo hilo? Je ameweka viashiria vyovyote vya huo uchumi kukua, hivyo watu wakiviona ndio wadai hiyo katiba mpya?
Katiba iliyopo inaeleweka kwa wananchi? Katiba ya chama chako si ndiyo hiyo mkiti wako ameichakachua aendelee kuongoza milele na milele, umeshawahi kulalamika humu jinsi katiba yako ilivyochakachuliwa?
 
Naunganmkono hoja. Chadrma ni kikundi cha wahuni. Yaan hata jiwe hajapasuka tumbo tayar nchi washaleta fujo.
Kwa kweli kwa hili tuko na mama.

Kwanza katiba si hitaji la wananchi ni hitaji la chadema washinde uchaguzi waende ikulu.

Hatukubali.
Matusi waliyotoa kwenye hilo kongamano lao hawahitajiki kuungwa mkono na mtanzania yeyote! I used to be on their side, now noooo
 
Kufananisha madai katiba na mke sijui mimba ni insanity think big, Mwendazake alitumia udhaifu wa katiba tulionayo kutaka kutaka kuuwa upinzani nchini, kutesa watu na kuuwa, sasa wenye akili lazima wadeal na katiba kwanza.

Pili lazima ujue matakwa ya katiba sio isani ya Mama ni takwa la wananchi.

Tafuta clip ya Prof Rweitama alzungumzia vizuri sana kwenye kongamano la katiba pale Baracuda
Mnataka Samia aanzishe mchakato wa katiba now? The world is fkd up, mnadhani katiba ni muhimu kuliko chochote now? Fk you guys
 
Ni haki yake kufanya hivyo. Anaweza kuwaomba ushari wakina Cecil Mwambe. Na kabla hajahama CCM aombe ushauri wale wote waliowahi kugombea uenyekiti dhidi ya incumbent Mwenyekiti wa taifa.

Amandla...
Your head is fkd up, nafikiri jpm mwingine inabidi aje kuirudisha hii nchi kwenye misingi yake, stupid guys like you should be put out of your misery
 
Your head is fkd up, nafikiri jpm mwingine inabidi aje kuirudisha hii nchi kwenye misingi yake, stupid guys like you should be put out of your misery
Misingi yake ipi? Hiyo ya kutaka watu wajinga kama mimi wauawe?

Amandla...
 
Rais Mkapa ..Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rasi Kikwete Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Magufuli Chadema Mwenyekiti Mbowe
Rais Samia Chadema Mwenyekiti Mbowe.

Huoni tatizo lilipo?

Mwenyekiti kachoka Hana mbinu mpya
Anajaribu old stunts kubaki relevant

Wakati wananchi baada ya miaka 5 ya Jiwe
Hawana interest kabisa na 'confrontational politics'..

Chadema ni outdated ...labda wamlete Malisa
Aje kuwa Mwenyekiti ataweza zungumza kitu
Watu wakamuelewa..hata Samia anamheshimu Malisa kuliko Mbowe..

Wanatakiwa kuji brand upya
Nusu ya watanzania ni under 25 years old..
Wao bado wanafikiri huu ni ni mwaka 1995..

Nikeshangaa hata muanzisha thread huna kawaida ya kuanzisha thread hapa but still wale misukule ya Mbowe itakuja kukushambulia bila ku tafakari
Majitu majinga utayajua tu. Kazi kujadili watu na majina yao badala ya kujadili core issues!
 
Sina tatizo kabisa na msimamo ama mapendekezo yako, tuchukulie kuwa cdm wamewahi sana kudai hiyo katiba mpya, je unafikiri wanapaswa kusubiri kwa muda gani? Je ni kwanini rais hakutoa muda maalum wa jambo hilo? Je ameweka viashiria vyovyote vya huo uchumi kukua, hivyo watu wakiviona ndio wadai hiyo katiba mpya?
Hao watoto wa juzi juzi wasikubabaishe. Harakati za kudai Katiba Mpya zipo tangu enzi za Mwl. Nyerere tena ndani ya chama kimoja!!______
 
Wanachokidai sasa ni ilitakiwa wadai miaka 10 au 20 nyuma.
 
Katiba mpya itakuja siku serikali ikiamua, not you mfs
Usitukane punguza hisia kali na mihemko.!

Katiba mpya ni takwa la wananchi serikali ni kwa ajili ya wananchi na imeundwa na wananchi. Kwaio wananchi tunademand katiba mpya.
 
Back
Top Bottom