kuambiwa kwamba utakata moto ndo ndo kupotoshwa? yaaani wewe tafauti yako ya yule aliefukiwa na wewe ni uzi wa mda! infact according to theory of relativity, wewe tayar ushakufa, uko kwenye illusion ya nyuma ya mda! if all factors of space time zkiwa in place anyone who travels to the future anakukuta umeshakufa, sasa kiburi unatoa wap?
Kwamba nishafukiwa tufanye hivi, nimekubali kuna jingine?