Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Tuliza makalio we bwege.Hatushangai maana Unatokea Chama wanachokabidhi ubongo ndo wanakabidhiwa Kadi ya Uanachama.
ume meza dawa leo kweli au mwezi ni mchangaTuliza makalio we bwege.
Mahita jembe naona mechi bila bila paleMahakama ndio chombo huru ambacho kinatoa haki hapa nchini kwetu.
Tuondoe ile dhana potofu kuwa kuna mkono wa Ccm kwenye kesi ya Mbowe.
Tunaona mashahidi wakipigwa maswali mpaka wanaomba po.
Kwa namna wanavyotepeta basi tuamini kuwa msingi wa uhuru wa mahakama upo kwa kasi ya 4g hapa Tanzania.
Una ugonjwa wa akili unaojulikana Kama personality disorder! Muone therapist kabla haujakomaa na kuwa sugu! Haiwezekani uukombie upande unayoiabudu na kuusujudu yaani kule Kwa mbogamboga kisa mmeanza kuona movie yenu mliyocheza inafanya vibaya sokoni! Kazeni shingo TU Kama mlivyozoea mwishoni zitavunjika!Mahakama ndio chombo huru ambacho kinatoa haki hapa nchini kwetu.
Tuondoe ile dhana potofu kuwa kuna mkono wa Ccm kwenye kesi ya Mbowe.
Tunaona mashahidi wakipigwa maswali mpaka wanaomba po.
Kwa namna wanavyotepeta basi tuamini kuwa msingi wa uhuru wa mahakama upo kwa kasi ya 4g hapa Tanzania.
Zaidi yafaa kujua Mungu hana upendeleo.Yaani wewe jamaa bana
Hakunaga anaekuchukulia serious hata maana ni mzandiki sana
Wewe ni mwana CCM cha ajabu unaogopa kujisema hivyo unajificha nyuma ya logo ya Chadema kuiongelea vibaya
Mkono upo wa CCM sema tu mahakama inaonea aibu ya macho ya dunia yanawaaangalia
CCM ni kaka yake na shetani,thats a fact
Jamaa yupo sahihi. Ushahidi mwingine ni huu!Tuliza makalio we bwege.
Waliompa kesi ni akina nani?Nchi ya ajabu sana hii.
Kama kafanya ugaidi kweli si mumpe miaka tu,hajafanya muachieni.
Kesi nenda rudi zimezidi upumbavu mtupu na hela lazima zinapigwa tu hapo.
Hamna kesi
Unafikiri ni akina nani,Mimi nafikiri ni wale fisi.Waliompa kesi ni akina nani?
Sasa kama hakuna kuna nn,,Mahakama ndio chombo huru ambacho kinatoa haki hapa nchini kwetu.
Tuondoe ile dhana potofu kuwa kuna mkono wa Ccm kwenye kesi ya Mbowe.
Tunaona mashahidi wakipigwa maswali mpaka wanaomba po.
Kwa namna wanavyotepeta basi tuamini kuwa msingi wa uhuru wa mahakama upo kwa kasi ya 4g hapa Tanzania.
Mahakama ndio chombo huru ambacho kinatoa haki hapa nchini kwetu.
Tuondoe ile dhana potofu kuwa kuna mkono wa Ccm kwenye kesi ya Mbowe.
Tunaona mashahidi wakipigwa maswali mpaka wanaomba po.
Kwa namna wanavyotepeta basi tuamini kuwa msingi wa uhuru wa mahakama upo kwa kasi ya 4g hapa Tanzania.
Akikujibu tupe mrejeshoMkuu Unataka kusema hapo ndiyo mwisho wa uwezo wako wa kufikili??