Kama Israel kwa Hamas eeeeeh!Angalikuwa mwenyekiti Mbowe Muda kama huu tungalikuwa tunaona bony yai akiichangamsha maada zakd za utekaji ktk X.
Hata mdude angalikuwa yupo active muda huu, lkn hivi sasa mada zake zinamtetea Dr slaa tu
hivi sasa wengi wa vijana wa cdm muda wote wanamsifia mwenyekiti wao tu badala ya kuja na hoja juu ya hoja dhidi ya ccm.
Ccm kwa team lissu watapata mteremko mkubwa kuliko wakati wa Mbowe
Uselete udiniKama Israel kwa Hamas eeeeeh!
Chadema ya Lissu haina tofauti na CHAUMA ya Mzee Hashim Rungwe!Angalikuwa mwenyekiti Mbowe Muda kama huu tungalikuwa tunaona bony yai akiichangamsha maada zakd za utekaji ktk X.
Hata mdude angalikuwa yupo active muda huu, lkn hivi sasa mada zake zinamtetea Dr slaa tu
hivi sasa wengi wa vijana wa cdm muda wote wanamsifia mwenyekiti wao tu badala ya kuja na hoja juu ya hoja dhidi ya ccm.
Ccm kwa team lissu watapata mteremko mkubwa kuliko wakati wa Mbowe
🤣🤣🤣🤣🤣Chadema ya Lissu haina tofauti na CHAUMA ya Mzee Hashim Rungwe!
Kabisa tofauti ni majina tuChadema ya Lissu haina tofauti na CHAUMA ya Mzee Hashim Rungwe!
Team Mbowe bado hamjapona maumivu ya uchaguzi? Mbona mambo yamekwisha na tumekubaliana tujenge chama.Narudia; ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo!!
Wewe kwa mawazo yako haya una tofauti gani na Mzee wa Kulalalala Wasira??Angalikuwa mwenyekiti Mbowe Muda kama huu tungalikuwa tunaona bony yai akiichangamsha maada zakd za utekaji ktk X.
Hata mdude angalikuwa yupo active muda huu, lkn hivi sasa mada zake zinamtetea Dr slaa tu
hivi sasa wengi wa vijana wa cdm muda wote wanamsifia mwenyekiti wao tu badala ya kuja na hoja juu ya hoja dhidi ya ccm.
Ccm kwa team lissu watapata mteremko mkubwa kuliko wakati wa Mbowe
Narudia; ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo.Team Mbowe bado hamjapona maumivu ya uchaguzi? Mbona mambo yamekwisha na tumekubaliana tujenge chama.
Amekupa mfano , hamna udini hapoUselete udini
Jinsi ya kupona maumivu ya uchaguziNarudia; ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo.
Subiri mkuu. Makubwa yanakuja, muulize musibaAngalikuwa mwenyekiti Mbowe Muda kama huu tungalikuwa tunaona bony yai akiichangamsha maada zakd za utekaji ktk X.
Hata mdude angalikuwa yupo active muda huu, lkn hivi sasa mada zake zinamtetea Dr slaa tu
hivi sasa wengi wa vijana wa cdm muda wote wanamsifia mwenyekiti wao tu badala ya kuja na hoja juu ya hoja dhidi ya ccm.
Ccm kwa team lissu watapata mteremko mkubwa kuliko wakati wa Mbowe
Wapewe muda. Pia watapimwa kwa idadi ya Wabunge.Narudia; ni suala la muda tu kabla mshamba flani hajatema au kutemeshwa bungo!!