Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Misaada ya kibinadamu ilitolewa na CCM kwa nguvu zote na kwa moyo wote ,.ambapo vitu kama sukari, unga,mafuta ya kula,sabuni,maji ya kunywa, magodoro n.k.vilitolewa na kupewa wahangaTueleze jinsi Gani Wahanga wa tetemeko kagera walivyojisitiri kwenye miundombinu!!!
Unaweza kugeuza miundombinu ya barabara kuwa chakula ukala?