Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Ahahahahaha!!!Timu ya Chadema iko Hanang nusu saa baada ya Tukio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahahahaha!!!Timu ya Chadema iko Hanang nusu saa baada ya Tukio
Na hapo ndipo unapohitaji ukomavu wa kidemokrasia kwa kuyavumilia Yale yasiyokupendeza kwa wengine ndio ukomavu wenyewe maana penye wengi pana mengi......Ni kweli upo sahihi kwa muktadha wa 'demokrasia' lakini poiny yangu ni hii,hakuna maana ya kila kitu ukachangia hata pale unapokuwa huna cha maana cha kuchangia.
Na ww ukitujibu pesa za join the chain na pesa alizochangisha Lema ili akatangazie dunia dhuluma za awamu ya tano zimeenda wapi unitag nipate kujuaakijibu nistue
Kwan lengo la join the chain na pesa alizochangisha Lema zilikuwa na lengo gani.?Hatujibu maswali ya Kijinga , Join The Chain ni michango ya Chadema , ambao wanaye Katibu Mkuu na Baraza la Wadhamini la Chama , hao ndio walinzi wa mali zote za Chama , sasa siyo hizo tu , hawa wanalinda hata Ruzuku ya Chama , sasa huyu mjinga Mwashambwa haya yote anayajua lakini anataka kutupotezea muda tu
Unatukana bure tu kwa sababu huna akiliChadema acheni upumbavu
View attachment 2834716
Tuambie wewe sasaKwan lengo la join the chain na pesa alizochangisha Lema zilikuwa na lengo gani.?
Kuitwa mpumbavu ni tusi.? Bc pia kuitwa genius ni tusiUnatukana bure tu kwa sababu huna akili
Ww c ndo katibu wa itikadi na uenezi wa chadema ndio utuambieTuambie wewe sasa
Hicho Cheo si ndio cha Makonda ?Ww c ndo katibu wa itikadi na uenezi wa chadema ndio utuambie
Nasema na ww mwanachademaHicho Cheo si ndio cha Makonda ?
Hicho ndio kitengo chenu chadema!Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho kwa vyombo vya habari inawaomba watu wote Duniani wajitokeze kuchangia wahanga wa Hanang , ili angalau waweze kurudi kwenye hali ya kawaida kama walivyokuwa awali , hata kama siyo kwa 100%
Maandiko Matakatifu yanaeleza kwamba MKONO WA KUTOA UNA BARAKA NYINGI SANA MBELE ZA MUNGU , Mwenyezi Mungu anawaongezea mara dufu wale wenye kutoa , hivyo basi twawaomba watu wote duniani kujitolea michango ya hali na mali ili kusaidia wenzetu hawa .
View attachment 2834698
Kwenye kitengo cha upigaji chadema wako makiniHicho ndio kitengo chenu chadema!
Kwahy mmeangalia mahitaji then mkafanya upembuzi yakinifu na mkahitimisha Vp.?Kwanza walikuwa wanaangalia Mahitaji , bila upembuzi yakinifu huwezi kufanikisha jambo
Hatari sana!Kwenye kitengo cha upigaji chadema wako makini
We umechangia Sh ngapi chawa.Kwa hiyo ndio mnakumbuka saizi?halafu pia watu wanataka wajuwe usalama wa pesa zao utakuwaje maana watu bado wanakumbuka na kumbukumbu nzuri juu ya upigaji wa pesa za join the chain ambazo mpaka sasa haijulikani Zilipatikana kiasi gani wala haijulikani zipo wapi au zilifanya kazi gani. Watu hawana imani na CHADEMA linapokuja suala la hela . Chadema ni waroho na walafi sana kwenye hela na huwa hawana huruma kutumia fursa kwa ajili ya kutafuna kama mchwa.
Hapana, usichangie popote pale. Upigaji upo kila mahali ht kwa ccm/serikali. Kama huna namna ya kumpata muathirika moja kwa moja bc tulia na pesa yako tuu.Binafsi ngoja nikachangie kwenye mfuko wa serekali hawa jamaa huwa siwaamini kabisa 😁