Sio jiwe, ni akili za chama kileAlizila jJiwe,jijwe kafa na mengi ibilis yule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio jiwe, ni akili za chama kileAlizila jJiwe,jijwe kafa na mengi ibilis yule
Wanagawana kila mtu anaenda kwao, huyu Kenya yule Ubelgiji. Bado wanabaki Sheri wa Makunduchi na Mwalimu wa Kinondoni, hawa hawana pa kwenda. Hawapati kitu baadaye wanaambiwa ni Wazanzibari wameiba bandali zetu wanawapa Waalabu myaka mya.Wazee wa harambee, mwisho wa siku kapu lina pigwa 10% na mmiliki
Ni utani tu, ni jambo zuri kila mtu atumie ushawishi nguvu akili na maarifa kufanikisha swala hili kwa watu wa hanang - katesh
Kuleni za covid 19 zinawatosha!Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho kwa vyombo vya habari inawaomba watu wote Duniani wajitokeze kuchangia wahanga wa Hanang , ili angalau waweze kurudi kwenye hali ya kawaida kama walivyokuwa awali , hata kama siyo kwa 100%
Maandiko Matakatifu yanaeleza kwamba MKONO WA KUTOA UNA BARAKA NYINGI SANA MBELE ZA MUNGU , Mwenyezi Mungu anawaongezea mara dufu wale wenye kutoa , hivyo basi twawaomba watu wote duniani kujitolea michango ya hali na mali ili kusaidia wenzetu hawa .
View attachment 2834698
Dhalim alipiga hela ya rambirambi kama afanyavyo Steve NyerereUnafikiri yatatokea kama yale ya michango ya tetemeko la Kagera! Siyo kila mtu hapa duniani ana roho mbaya.
Covid 19 ndio akina nani ?Kuleni za covid 19 zinawatosha!
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa mitiNipeni maua yangu
Mwenyekiti aseme fungu la ruzuku alipeleka wapi kwanza 🤣🤣🤣🤣Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho kwa vyombo vya habari inawaomba watu wote Duniani wajitokeze kuchangia wahanga wa Hanang , ili angalau waweze kurudi kwenye hali ya kawaida kama walivyokuwa awali , hata kama siyo kwa 100%
Maandiko Matakatifu yanaeleza kwamba MKONO WA KUTOA UNA BARAKA NYINGI SANA MBELE ZA MUNGU , Mwenyezi Mungu anawaongezea mara dufu wale wenye kutoa , hivyo basi twawaomba watu wote duniani kujitolea michango ya hali na mali ili kusaidia wenzetu hawa .
View attachment 2834698
Vp michango ya join the chain...???Punguza ujuaji wa kureply,si lazima kila post ujibu na wewe.Mengine uachage ya kupite kama huna cha maana cha kuchangia.
Wachagadema wameona fursa na wanaitumia ipasavyo.Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho kwa vyombo vya habari inawaomba watu wote Duniani wajitokeze kuchangia wahanga wa Hanang , ili angalau waweze kurudi kwenye hali ya kawaida kama walivyokuwa awali , hata kama siyo kwa 100%
Maandiko Matakatifu yanaeleza kwamba MKONO WA KUTOA UNA BARAKA NYINGI SANA MBELE ZA MUNGU , Mwenyezi Mungu anawaongezea mara dufu wale wenye kutoa , hivyo basi twawaomba watu wote duniani kujitolea michango ya hali na mali ili kusaidia wenzetu hawa .
View attachment 2834698
Baada ya Chadema kutangaza harambee ya Dunia , Marekani imejitokeza na kutoa mchango wake .Wazee wa harambee, mwisho wa siku kapu lina pigwa 10% na mmiliki
Ni utani tu, ni jambo zuri kila mtu atumie ushawishi nguvu akili na maarifa kufanikisha swala hili kwa watu wa hanang - katesh
Kila jambo Masikini wanadhani wanaibiwa !Wachagadema wameona fursa na wanaitumia ipasavyo.
Mbowe siyo Mhasibu wa ChademaMbowe kuondoa mkanganyiko kila chama chako kinapokusanya michango mbalimbali njoo tupe feedback ya michango yetu kwa ajili ya waanga wa Hanang.
Ili kuondoa tetesi kwamba pesa zimeshaliwa na wajanja wa HQ.
Mbowe na wachaga wenzie wanakula michango yetu moshi ukoMbowe siyo Mhasibu wa Chadema
Unatia aibu ukiwa upande gani wa Nchi ?
Zilipigwa bei gani?Wajinga ndio waliwao.rekodi ya upigaji ya Chadema mnaijua vizuri kwenye michango eg join the chain.[emoji23][emoji23]
Pesa za tetemeko la kagera zilichangwa shilingi ngapi? Na zilifanyia nini?Nataka unijibu swali pesa zilipatikana shilingi ngapi kupitia join the chain? Maana hata odemba alipomuuliza lissu juu ya pesa hizo naye aliishia kutoa macho tu. Sasa nataka kujua kiasi gani kilipatikana ? Kilifanya kazi gani? Kwanini hamkuleta mrejesho? Sasa kama pesa za join the chain hazina mrejesho wala kujulikana zilikusanywa shilingi ngapi na kufanya kazi gani mnaanzaje kuanzisha kampeni ya michango mingine wakati mmeshindwa kuwa waaminifu na wawazii kwa zoezi la kwanza?
Nani atakuwa na uhakika kama hizo hela mnazitaka zichangie hazitaleta giza kwa kupigwa tena? Nani msimamizi wa miamala itakayokuwa inaingia? Uaminifu wake upoje ukilinganisha na yule wa awali aliyekumbatia pesa za join the chain na kubaki siri yake? Kwanini linapokuja suala la pesa CHADEMA mnakuwa na longo longo nyingi?