1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Mama akituletea katiba ya Warioba inabidi tuifanyie marekebisho ili tuwe na Malkia kama Uingereza.
Mama Samia akiimarisha Utawala bora ,katiba ya warioba, Uhuru wa kutoa maoni ,Uhuru wa vyombo vya habari,haki sawa kwa wote ,Uhuru wa vyama vya siasa na tume huru ya Uchaguzi, usawa, haki za binadamu , kupunguza matumizi mabaya ya fedha za umma . Hakika mama huyu Samia Hasani Suluhu atafaa kuwa Malkia wa Tanzania.
Zanzibar tutachagua Rais wa SMZ na Tanganyika tutamchagua waziri Mkuu basi. Rais wa Muungano atakua ndiye amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya Ulinzi na usalama ambayo yatasimamia usalama wa nchi sio vyama kama ilivyo. Malkia atakua hana Chama.
Mama Samia atuletee uhuru ,haki na maendeleo ya watu chini ya Katiba Mpya.
Atakua Malkia kweli kweli na Katiba tutaiweka sawa tu .
Uingereza wana akili sana kumweka Mama awe ndiye mkuu wa nchi . Mama ni mama. Wanaume wanafurahia matatizo ya watu kwa manufaa binafsi. Mipango mizuri ya Nchi itafanyika bila tamaa waliyo nayo wanasiasa wanaume hasa kwenye nafasi ya Urais.
Madini ,Mafuta, ardhi, Mali asili za wanyama n.k zitasimamiwa na Malkia watekelezaji watakua ni Rais wa Zanzibar na waziri mkuu wa Tanganyika ambao hao mmoja atakua ni makamu wa kwanza wa Rais na wapili atakua makamu wa pili wa Rais.
Vyama vya siasa vitaweka wagombea kwenye Ubunge na wale wa wakilishi wa mikoa kwa ajili ya Bunge la jamhuri.
Naona dalili nzuri ya kidemokrasia na kisiasa chini ya utawala wa mama Samia.
Tumuunge mkono bila kujali vyama vyetu.
Mbowe sio gaidi ila amebambikiwa kesi kwa manufaa ya majizi ya mali za umma na waroho wa madaraka .
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
Mama Samia akiimarisha Utawala bora ,katiba ya warioba, Uhuru wa kutoa maoni ,Uhuru wa vyombo vya habari,haki sawa kwa wote ,Uhuru wa vyama vya siasa na tume huru ya Uchaguzi, usawa, haki za binadamu , kupunguza matumizi mabaya ya fedha za umma . Hakika mama huyu Samia Hasani Suluhu atafaa kuwa Malkia wa Tanzania.
Zanzibar tutachagua Rais wa SMZ na Tanganyika tutamchagua waziri Mkuu basi. Rais wa Muungano atakua ndiye amiri Jeshi mkuu wa majeshi ya Ulinzi na usalama ambayo yatasimamia usalama wa nchi sio vyama kama ilivyo. Malkia atakua hana Chama.
Mama Samia atuletee uhuru ,haki na maendeleo ya watu chini ya Katiba Mpya.
Atakua Malkia kweli kweli na Katiba tutaiweka sawa tu .
Uingereza wana akili sana kumweka Mama awe ndiye mkuu wa nchi . Mama ni mama. Wanaume wanafurahia matatizo ya watu kwa manufaa binafsi. Mipango mizuri ya Nchi itafanyika bila tamaa waliyo nayo wanasiasa wanaume hasa kwenye nafasi ya Urais.
Madini ,Mafuta, ardhi, Mali asili za wanyama n.k zitasimamiwa na Malkia watekelezaji watakua ni Rais wa Zanzibar na waziri mkuu wa Tanganyika ambao hao mmoja atakua ni makamu wa kwanza wa Rais na wapili atakua makamu wa pili wa Rais.
Vyama vya siasa vitaweka wagombea kwenye Ubunge na wale wa wakilishi wa mikoa kwa ajili ya Bunge la jamhuri.
Naona dalili nzuri ya kidemokrasia na kisiasa chini ya utawala wa mama Samia.
Tumuunge mkono bila kujali vyama vyetu.
Mbowe sio gaidi ila amebambikiwa kesi kwa manufaa ya majizi ya mali za umma na waroho wa madaraka .
Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app