CHADEMA iandae Mgombea Urais Mwanamke 2025 kuepuka ukatili wa kijinsia

CHADEMA iandae Mgombea Urais Mwanamke 2025 kuepuka ukatili wa kijinsia

Baada ya Mama 'kutangaza' nia yake ya kuingia ulingoni 2025, ni vema chama kikuu cha upinzani kikaanza jitihada za kumtengeneza mwanamke atakayepambana na Chifu Hangaya kuwania kiti namba moja hapa nchini.

Kuweka mgombea mwanaume itakuwa ni ukatili wa kijinsia na hoja hiyo itatumika kuwaangusha.
Ujinga tu, cdm wanatanguliza ajenda za kitaifa kwanza alafu wagombea baadaye
Mgombea anaweza kubebe agenda za kitaifa ndo anakuwa mgombea,

hayo mambo ya jinsia na ukabila peleka ccm
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Swala si ujuha swala ni kwamba WAMECHOKWA kila kona ya nchi pamoja na uwepo wao madarakani kwa miaka 60 nchi ambayo Ina utajiri mkubwa sana wa rasilimali umepata mikopo na misaada ya trillions toka nchi za Wafadhili na Mashirika ya Kimataifa haina chochote kile cha KUJIVUNIA. Haihitaji nchi kumwaga damu ili kuwaondoa hawa wahuni, majizi, wabambikiaji kesi na wauaji wanaojiita maccm.
Mkuu, kwahyo unadhani maccm ni majuha kiasi gani kurahisisha kiama chao, Backup yakutosha inahitajika kuwaondoa wakiwa na tume yao feki.
 
Chadema haihitaji kuwaiga maccm eti kwa kuwa mgombea wao ni huyo basi na Chadema iteue KE kugombea.

Unfortunately ,hakuna mwanamke wa kupeleka upinzani ikulu.
 
🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Ujinga tu, cdm wanatanguliza ajenda za kitaifa kwanza alafu wagombea baadaye
Mgombea anaweza kubebe agenda za kitaifa ndo anakuwa mgombea,

hayo mambo ya jinsia na ukabila peleka ccm
 
Nchi haina maendeleo kwa miaka 60 maccm ni yale yale hayana JIPYA zaidi ya kuongeza UFUKARA wa kutisha nchini. Wafanyakazi, Wakulima. Wafanyabishara na Wahitimu wa elimu ya juu wote wanalia kwa nchi kukosa mwelekeo.
Mkuu, Trust me yakipita tena 2025 ndo basi tena yatajipanga upya na sidhani kama yatakuja tolewa kwa njia ya amani labda mapanga yahusike au jeshi liingilie.
 
Baada ya Mama 'kutangaza' nia yake ya kuingia ulingoni 2025, ni vema chama kikuu cha upinzani kikaanza jitihada za kumtengeneza mwanamke atakayepambana na Chifu Hangaya kuwania kiti namba moja hapa nchini.

Kuweka mgombea mwanaume itakuwa ni ukatili wa kijinsia na hoja hiyo itatumika kuwaangusha.
Chadema haijawahi kuiga ujinga
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kuhakikisha Katiba na Tume huru ya uchaguzi vinapatikana kabla ya uchaguzi wa 2025. Hilo linawezekana kabisa badala ya kumwaga damu. Maccm YANAWEWESEKA ndiyo sababu yamembambikia kesi Mbowe pamoja na kuwa hayana ushahidi hata kiduchu wa kumtia hatiani.
Tunafanyaje kuyaondoa? Tuunganishe nguvu ili kuondoa mizizi yao, mambo mengine tutayaangalie baada ya zoezi hilo ambalo linahitaji maandalizi ya mapema kabla ya 2025.
 
Majority wahamasishwe mara ngapi? USHIRIKI wao kutoa maoni kwenye Tume ya Warioba ni USHAHIDI TOSHA kwamba hawaridhiki na katiba iliyopo hivyo wanataka kuona mabadiliko makubwa kwenye Katiba ya mfumo wa vyama vingi badala ya hii katiba ya mfumo wa chama kimoja.
Mkuu spendekezi kumwanga damu hata kidogo,lakini kumbuka baada ya 2025 ustegemee njia yoyote ya amani labda jeshi liingilie tu.

Point yangu iko kwenye kuwahamasisha majority kuwa upande wenu,lakini nyie mnwagawa kwa kucheza midundiko ya ccm.

Japo hayati alikuwa threat kwenu lakini sioni umuhimu wa kuendelea kumshambuli wakati hayupo tena. Na maccm-fisadi yameshawajulia kila siku yanazusha mambo mengi ya uongo kuhusu hayati ili muendelee kudundika.

Vita vya panzi furaha ya kunguru,Hamtaki kuwa kunguru? Acheni kujimwambafy,ili kuongeza nguvu ya kuingia ikulu inahitaji backup ya wananchi ili kupush ajenda kama tume huru na katiba.

Watu real wako mtaani siyo hawa mashujaa wa nyuma ya keyboard ambao ni jobless,means Bi.chokochoko akiamua kutumia tozo kuwaajili hutawaona tena wakipigania haki tena.
 
Angalia ZWAZWA HILI!!! Mimi na fisadi lowassa wapi na wapi!! Kamongo wewe!!!!
Mgombea wako 2015, na 2025 anapewa tena, wewe ni tahira tu unapelekeshwa hovyo, huna uamuzi wowote kwenye hako kachama kako
 
😂😂😂😂😂😂 dhalimu magufuli alikuwa na wafuasi wengi sana halafu AHOFIE uchaguzi HURU na wa HAKI hadi kuamua kupora uchaguzi!!!!

Huo utafiti wako wa dhalimu magufuli kuwa na wafuasi wengi sana uliufanya lini katika mikoa ipi na sample yako ilikuwa na ukubwa ipi? Acha kuandika pumba!!!!

Dhalimu magufuli alikuwa hana influence yoyote ile. Dikteta tangu lini akawa na influence? Influence ya kudhulumu Watanzania na kufanya udhalimu wa kubambikia kesi, kuwapora mabilioni yao na kuwaua? Hebu acha kuandika ujinga. Dhalimu aliyechukiwa na Wafanyakazi, Wakulima na Wafanyabishara KAMWE hawezi kuwa na influence yoyote ile nchini.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kama watu walishashirikishwa , lengo la kongamano la katiba lilikuwa lipi kama siyo kuhamasishana tena.

Ukweli usiopingika ni kwamba Magufuli(RIP) alikuwa na wafuasi wengi sana, uchaguzi wa 2025 utakuwa na influence ya Magufuli(RIP) hivyo atakae win wafuasi wake ndo atakuwa na nafasi kubwa ya kushinda.

Tafuteni njia ya kunyakua baadhi ya wafuasi wake japo mmechelewa kidogo lakini nafasi bado ipo. Sioni umuhimu kuendelea kuponda kila alilolifanya hayati bali msponde wala kusifia lolote,mfano kama kuhusu wamachinga kulikuwa hakuna haja ya kulishikia bango.
 
Ukweli usiokuwa na ushahidi? Hahahahaha
Kumbuka wale twaweza walifanya utafiti wao na walipoweka hadharani wakabambikiwa kesi na yule Mkurugenzi wao kunyang’anywa passport yake na kuambiwa ni mhamiaji haramu.
Sasa wewe unaniletea uzushi eti dhalimu magufuli alikuwa na wafuasi wengi sana bila ushahidi wowote ule? Wafuasi wengi sana kwa lipi alilofanya ndani ya miaka mitano? Udhalimu na dhuluma za kutisha? Kufoka foka na kutukana Watanzania? Uongo wa kila leo kuhusu hali halisi ya uchumi nchini etc? Tanzania hakuna COVID-19? 😳😳😳
Mkuu usipingane na ukweli, hayati hayupo tena tusonge mbele,lakini ukweli ndo huo.
Mi nadhani sababu ya kupora uchaguzi ilikuwa ni kujustify ushindi wa majority ya wabunge wake, pia ni kuwakomoa upinzani kwa kuwa waliamua kupinga kila juhudi zake,Si unajua mwamba alikuwa na tatizo la hasira.
 
Back
Top Bottom