Ujinga tu, cdm wanatanguliza ajenda za kitaifa kwanza alafu wagombea baadayeBaada ya Mama 'kutangaza' nia yake ya kuingia ulingoni 2025, ni vema chama kikuu cha upinzani kikaanza jitihada za kumtengeneza mwanamke atakayepambana na Chifu Hangaya kuwania kiti namba moja hapa nchini.
Kuweka mgombea mwanaume itakuwa ni ukatili wa kijinsia na hoja hiyo itatumika kuwaangusha.
Pia Suzan Kiwanga, Catherine Ruge CPA na Lucy OwenyaHalima mdee 2025
Mkuu, kwahyo unadhani maccm ni majuha kiasi gani kurahisisha kiama chao, Backup yakutosha inahitajika kuwaondoa wakiwa na tume yao feki.
Unfortunately ,hakuna mwanamke wa kupeleka upinzani ikulu.
Ujinga tu, cdm wanatanguliza ajenda za kitaifa kwanza alafu wagombea baadaye
Mgombea anaweza kubebe agenda za kitaifa ndo anakuwa mgombea,
hayo mambo ya jinsia na ukabila peleka ccm
Mkuu, Trust me yakipita tena 2025 ndo basi tena yatajipanga upya na sidhani kama yatakuja tolewa kwa njia ya amani labda mapanga yahusike au jeshi liingilie.
Chadema haijawahi kuiga ujingaBaada ya Mama 'kutangaza' nia yake ya kuingia ulingoni 2025, ni vema chama kikuu cha upinzani kikaanza jitihada za kumtengeneza mwanamke atakayepambana na Chifu Hangaya kuwania kiti namba moja hapa nchini.
Kuweka mgombea mwanaume itakuwa ni ukatili wa kijinsia na hoja hiyo itatumika kuwaangusha.
Tunafanyaje kuyaondoa? Tuunganishe nguvu ili kuondoa mizizi yao, mambo mengine tutayaangalie baada ya zoezi hilo ambalo linahitaji maandalizi ya mapema kabla ya 2025.
Lowasa anarudi tena MzeeChadema hata siku moja haifanyi maamuzi yake ili yafanane na yale ya maccm.
Lowasa anarudi tena Mzee
Hahaha! 2025 Lowasa tena nyambafTuondolee upumbavu wako. Nani kakudanganya Mimi ni Mzee!? 😳😳😳
Hahaha! 2025 Lowasa tena nyambaf
Jiandae kuimba mabadiliko na kudekishwa barabara kama tahiraNyambaf babaako na mamaako pimbi wewe!!
Mkuu spendekezi kumwanga damu hata kidogo,lakini kumbuka baada ya 2025 ustegemee njia yoyote ya amani labda jeshi liingilie tu.
Point yangu iko kwenye kuwahamasisha majority kuwa upande wenu,lakini nyie mnwagawa kwa kucheza midundiko ya ccm.
Japo hayati alikuwa threat kwenu lakini sioni umuhimu wa kuendelea kumshambuli wakati hayupo tena. Na maccm-fisadi yameshawajulia kila siku yanazusha mambo mengi ya uongo kuhusu hayati ili muendelee kudundika.
Vita vya panzi furaha ya kunguru,Hamtaki kuwa kunguru? Acheni kujimwambafy,ili kuongeza nguvu ya kuingia ikulu inahitaji backup ya wananchi ili kupush ajenda kama tume huru na katiba.
Watu real wako mtaani siyo hawa mashujaa wa nyuma ya keyboard ambao ni jobless,means Bi.chokochoko akiamua kutumia tozo kuwaajili hutawaona tena wakipigania haki tena.
Jiandae kuimba mabadiliko na kudekishwa barabara kama tahira
Mgombea wako 2015, na 2025 anapewa tena, wewe ni tahira tu unapelekeshwa hovyo, huna uamuzi wowote kwenye hako kachama kakoAngalia ZWAZWA HILI!!! Mimi na fisadi lowassa wapi na wapi!! Kamongo wewe!!!!
Imba mabadiliko tahira weweAngalia ZWAZWA HILI!!! Mimi na fisadi lowassa wapi na wapi!! Kamongo wewe!!!!
Imba mabadiliko tahira wewe
Kama watu walishashirikishwa , lengo la kongamano la katiba lilikuwa lipi kama siyo kuhamasishana tena.
Ukweli usiopingika ni kwamba Magufuli(RIP) alikuwa na wafuasi wengi sana, uchaguzi wa 2025 utakuwa na influence ya Magufuli(RIP) hivyo atakae win wafuasi wake ndo atakuwa na nafasi kubwa ya kushinda.
Tafuteni njia ya kunyakua baadhi ya wafuasi wake japo mmechelewa kidogo lakini nafasi bado ipo. Sioni umuhimu kuendelea kuponda kila alilolifanya hayati bali msponde wala kusifia lolote,mfano kama kuhusu wamachinga kulikuwa hakuna haja ya kulishikia bango.
Mkuu usipingane na ukweli, hayati hayupo tena tusonge mbele,lakini ukweli ndo huo.
Mi nadhani sababu ya kupora uchaguzi ilikuwa ni kujustify ushindi wa majority ya wabunge wake, pia ni kuwakomoa upinzani kwa kuwa waliamua kupinga kila juhudi zake,Si unajua mwamba alikuwa na tatizo la hasira.