Hamuwezi kukubali nyie na kina nani ?Wajanja tumeshanusa jambo, ila Lissu akitaka kutanua mbavu akaanzishe chama chake, atafukuzwa kama mbwa, hatuwezi kukubali mambo yake ya hovyo
Tatizo mmezoea huko kwenu kuabudu fikra za mwenyekiti, chadema kila mmoja ana nafasi ya kuzungumza bila kujali cheo chake ndani ya chama48 LAWS OF POWER.
Nashangaa CDM wanapotengeneza zimwi ambalo litawashinda, na limeshaanza kuwashida tayari.
Inaonekana Mbowe ni kiongozi jina tu, mwenye chama ni Lissu.
Hata Hotuba ya mwanza, inaonekana Mbowe alikuwa anamlenga Lissu.
Ni wakati Sasa Mbowe ajionyeshe kwa rangi zake. Kama Silaa na Zitto waliondoka, Lissu ni nani?
Yaani makamu anafoka jukwaani na uwanja wa ndege kumuulizia Mwenyekiti Yuko wapi?
Mbowe nakuamini, hujawahi kushindwa.
Tunajua Lissu anataka kusajili chama chake Cha Siasa.
Lissu anaamini kwamba yeye ndie msomi na muelewa wa kila jambo!48 LAWS OF POWER.
Nashangaa CDM wanapotengeneza zimwi ambalo litawashinda, na limeshaanza kuwashida tayari.
Inaonekana Mbowe ni kiongozi jina tu, mwenye chama ni Lissu.
Hata Hotuba ya mwanza, inaonekana Mbowe alikuwa anamlenga Lissu.
Ni wakati Sasa Mbowe ajionyeshe kwa rangi zake. Kama Silaa na Zitto waliondoka, Lissu ni nani?
Yaani makamu anafoka jukwaani na uwanja wa ndege kumuulizia Mwenyekiti Yuko wapi?
Mbowe nakuamini, hujawahi kushindwa.
Tunajua Lissu anataka kusajili chama chake Cha Siasa.
Watu wa hivyo wanajifanyaga Wana akili sana, Mwendazake,Mwigulu typical ... upumbavu
Kuchaji vipi? Zingekuwa hazichaji saizi mungekuwa kama Zimbabwe..ssh zingekuwa zinachaji msingesema haya.
Kuchaji vipi? Zingekuwa hazichaji saizi mungekuwa kama Zimbabwe
Lissu anaamini kwamba yeye ndie msomi na muelewa wa kila jambo!
Unateseka ukiwa wapi? Take your time48 LAWS OF POWER.
Nashangaa CDM wanapotengeneza zimwi ambalo litawashinda, na limeshaanza kuwashida tayari.
Inaonekana Mbowe ni kiongozi jina tu, mwenye chama ni Lissu.
Hata Hotuba ya mwanza, inaonekana Mbowe alikuwa anamlenga Lissu.
Ni wakati Sasa Mbowe ajionyeshe kwa rangi zake. Kama Silaa na Zitto waliondoka, Lissu ni nani?
Yaani makamu anafoka jukwaani na uwanja wa ndege kumuulizia Mwenyekiti Yuko wapi?
Mbowe nakuamini, hujawahi kushindwa.
Tunajua Lissu anataka kusajili chama chake Cha Siasa.
Unateseka sana, kila Mara unaanzisha thread ya kuongelea CDM. Hivi huwa unampikia mumeo saa ngapi?Wajanja tumeshanusa jambo, ila Lissu akitaka kutanua mbavu akaanzishe chama chake, atafukuzwa kama mbwa, hatuwezi kukubali mambo yake ya hovyo
Sumu ya kutaka kumuuwa dodoma inakutafuna. Ile damu haitakuacha salamaWajanja tumeshanusa jambo, ila Lissu akitaka kutanua mbavu akaanzishe chama chake, atafukuzwa kama mbwa, hatuwezi kukubali mambo yake ya hovyo
Alishiriki kumuua Lisu dodoma huyo Zezeta Sasa moyo unamuhukumuMkuu, Kinembe, kumbuka Leo ilikuwa siku maalum kwa Lissu kurudi nchini, kutoa Salam na kushukuru wananchi kwa kumsupport wakati wa uchaguzi.
Sioni tatizo ila kama imekuuma sana saga chupa unywe.
Kuna tofauti ya arrogance na self confidence..msomi yoyote lazima ajiamini.
..kama hajiamini maana yake hajafuzu.
..Lissu ni mbobezi wa sheria na katiba na ana sababu zote za kuzungumzia masuala hayo kwa kujiamini.
Kwani ukipata 4 au zero ndio mwisho wa kusoma? Pili kwani intelligence inategemea ulivyofaulu kwenye vyeti?..kwani fom-fo alipata nini?🤣
Sasa hivi mmegeuza gear tena Chama sio Mali ya Mbowe?48 LAWS OF POWER.
Nashangaa CDM wanapotengeneza zimwi ambalo litawashinda, na limeshaanza kuwashida tayari.
Inaonekana Mbowe ni kiongozi jina tu, mwenye chama ni Lissu.
Hata Hotuba ya mwanza, inaonekana Mbowe alikuwa anamlenga Lissu.
Ni wakati Sasa Mbowe ajionyeshe kwa rangi zake. Kama Silaa na Zitto waliondoka, Lissu ni nani?
Yaani makamu anafoka jukwaani na uwanja wa ndege kumuulizia Mwenyekiti Yuko wapi?
Mbowe nakuamini, hujawahi kushindwa.
Tunajua Lissu anataka kusajili chama chake Cha Siasa.
Kwani ukipata 4 au zero ndio mwisho wa kusoma? Pili kwani intelligence inategemea ulivyofaulu kwenye vyet
Ndio alioata zero lakini si unaona Yuko intelligent kwenye siasa na finance?..kwa hiyo smtaacha kuwasakama Cdm kwamba mwenyekiti wao alipata zero, kwasababu mwenyekiti wenu naye alipata hiyohiyo?