CHADEMA ikiiga movements za "Rock The Vote" organization, watashinda uchaguzi 2030 kwa kura mpya za Gen Z

CHADEMA ikiiga movements za "Rock The Vote" organization, watashinda uchaguzi 2030 kwa kura mpya za Gen Z

Forest Hill

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2018
Posts
2,873
Reaction score
6,821
Katika tafiti ya shirika la Twaweza walio fanya miaka kadhaa nyuma,walisema kua wafuasi wengi wa chadema ni vijana wasomi kuanzia miaka 18-40,tofauti na CCM wengi ni wazee na watu wenye elimu ya chini,

Ukiangalia Demographic ya Tanzania,idadi kubwa ya watanzania ni vijana wa miaka 15-35..bahati mbaya vijana hawana mpango wa kupiga kura,na kama tulivyoona huko juu vijana wengi wanavutiwa na Chadema,lakini je wanapiga kura??wanajiandikisha??

Tuige marekani walifanikiwa vipi kuhamasisha vijana kushiriki katika Siasa

Rock the vote Organization


Rock The Vote ni Shirika lisilo la kiserikali lisilo unga mkono UPANDE WOWOTE kisiasa lilianzishwa marekani miaka ya 90,lengo lake kuwahusisha vijana kwenye mchakato wa Uchaguzi,kuhamisha kujiandikisha kwa wapiga kura wenye Miaka 18-24,Kuwapa Elimu na kuwahamasisha kupiga kura..


Shirika hili mbinu inayotumia kupata attention ya Vijana ni POP CULTURE (mambo yanayotrend kwa wakati husika),MUZIKI,MITANDAO YA KIJAMII na INFLUENCERS wa mitandaoni kusambaza ujumbe kupush Agenda na kuhakikisha kizazi Kipya (GenZ) kinakua na sauti katika kuunda Sera

Mafanikio:

Shirika lilipoanzishwa tu,kupitia kampeni zake kwa mara ya kwanza marekani ilisajili vijana wengi sana kwenye daftari la uchaguzi,na wapiga kura vijana wa miaka 18-24 waliongezeka mara nne zaidi,vijana hawa kabla hawakua na mawazo yeyote ya Habari za siasa..

Kampeni za mitandaoni

Kupitia tiktok,Instagram, twitter and so, shirika limefikia mamilion ya vijana kufikisha ujumbe na elimu ya umuhimu wa vijana kushiriki katika uchaguzi..

Sheria za kupiga kura:

Shirika hili limepambana sana kurahisisha sheria za kupiga kura ili isiwe ngumu kwa vijana kupiga kura au kujiandikisha kupiga kura, mfano Kujiandikisha ONLINE ,

Bill Clinton anasema shirika hili lilibadili hali ya kisiasa mwaka 1992 na kuleta turnover kubwa katika uchaguzi wa Rais..na kufanya aingie ikulu..
 
ISHU KUBWA KATIBA MPYA.HATA WAKIANDIKISHA NA KUPIGA KURA ITAKUWA HEWA TU.MWENYE MAAMUZI NI ANAYETANGAZA HAIJALISH UMESHINDA AU KUSHNDWA
 
ISHU KUBWA KATIBA MPYA.HATA WAKIANDIKISHA NA KUPIGA KURA ITAKUWA HEWA TU.MWENYE MAAMUZI NI ANAYETANGAZA HAIJALISH UMESHINDA AU KUSHNDWA

Upo sahihi, wakati mwingne naona vyama vya upinzani vimeridhika kuwa wapinzani kuliko jitihada za kuchukua dola

haiwezekani hadi leo suala la tume ya uchaguzi huru, katiba mpya na mamlaka ya kumteua msajiri wa vyama wameona hayana maana kwao
mwaka 2024 na 2025 tutarajie wapiga kura wachache kuliko miaka iliyopita
 
Upo sahihi, wakati mwingne naona vyama vya upinzani vimeridhika kuwa wapinzani kuliko jitihada za kuchukua dola

haiwezekani hadi leo suala la tume ya uchaguzi huru, katiba mpya na mamlaka ya kumteua msajiri wa vyama wameona hayana maana kwao
mwaka 2024 na 2025 tutarajie wapiga kura wachache kuliko miaka iliyopita
Vipi suala la mgombea binafsi??
 
Vipi suala la mgombea binafsi??

Hilo uwezi kusikia wanasiasa uchwara wa tz wakiliongelea

Mtikila alipambania sana lkn akaishia kati na mahakama ikatoa tamko hadi leo kmya pamoja na kuwepo marekebisho ya sheria na taratibu za uchaguzi lakin bado halijapewa kipaumbele

mgombea binafsi itakuwa ni suluhisho la kuzuia uchawa, maana wasomi wengi watakuwa wagombea binafs na mtu akiznguliwa ktk chama anajivua uanachama na kuamua kuwa mgombea binafsi
 
Katika tafiti ya shirika la Twaweza walio fanya miaka kadhaa nyuma,walisema kua wafuasi wengi wa chadema ni vijana wasomi kuanzia miaka 18-40,tofauti na CCM wengi ni wazee na watu wenye elimu ya chini,

Ukiangalia Demographic ya Tanzania,idadi kubwa ya watanzania ni vijana wa miaka 15-35..bahati mbaya vijana hawana mpango wa kupiga kura,na kama tulivyoona huko juu vijana wengi wanavutiwa na Chadema,lakini je wanapiga kura??wanajiandikisha??

Tuige marekani walifanikiwa vipi kuhamasisha vijana kushiriki katika Siasa

Rock the vote Organization


Rock The Vote ni Shirika lisilo la kiserikali lisilo unga mkono UPANDE WOWOTE kisiasa lilianzishwa marekani miaka ya 90,lengo lake kuwahusisha vijana kwenye mchakato wa Uchaguzi,kuhamisha kujiandikisha kwa wapiga kura wenye Miaka 18-24,Kuwapa Elimu na kuwahamasisha kupiga kura..


Shirika hili mbinu inayotumia kupata attention ya Vijana ni POP CULTURE (mambo yanayotrend kwa wakati husika),MUZIKI,MITANDAO YA KIJAMII na INFLUENCERS wa mitandaoni kusambaza ujumbe kupush Agenda na kuhakikisha kizazi Kipya (GenZ) kinakua na sauti katika kuunda Sera

Mafanikio:

Shirika lilipoanzishwa tu,kupitia kampeni zake kwa mara ya kwanza marekani ilisajili vijana wengi sana kwenye daftari la uchaguzi,na wapiga kura vijana wa miaka 18-24 waliongezeka mara nne zaidi,vijana hawa kabla hawakua na mawazo yeyote ya Habari za siasa..

Kampeni za mitandaoni

Kupitia tiktok,Instagram, twitter and so, shirika limefikia mamilion ya vijana kufikisha ujumbe na elimu ya umuhimu wa vijana kushiriki katika uchaguzi..

Sheria za kupiga kura:

Shirika hili limepambana sana kurahisisha sheria za kupiga kura ili isiwe ngumu kwa vijana kupiga kura au kujiandikisha kupiga kura, mfano Kujiandikisha ONLINE ,

Bill Clinton anasema shirika hili lilibadili hali ya kisiasa mwaka 1992 na kuleta turnover kubwa katika uchaguzi wa Rais..na kufanya aingie ikulu..
Okay.....Tume ya ccm ile ile?
 
Hilo uwezi kusikia wanasiasa uchwara wa tz wakiliongelea

Mtikila alipambania sana lkn akaishia kati na mahakama ikatoa tamko hadi leo kmya pamoja na kuwepo marekebisho ya sheria na taratibu za uchaguzi lakin bado halijapewa kipaumbele

mgombea binafsi itakuwa ni suluhisho la kuzuia uchawa, maana wasomi wengi watakuwa wagombea binafs na mtu akiznguliwa ktk chama anajivua uanachama na kuamua kuwa mgombea binafsi
Sheria hii ikipita,naingia rasmi kwenye siasa..vyama vya siasa wanafiki sana hadi unashindwa kujua wanataka nini,wanakosa approach ya msingi wanaruka ruka na kila kitu..
 
Okay.....Tume ya ccm ile ile?
Hatuwezi kubadili kila kitu all at once,ila kwa mipango sahii miaka kumi mingi sana kuingiza ideologies mpya,mtazamo mpya,na mabadiliko..one a step a time


hatuna consistency na tunachopigania..

Huwezi kupata katiba mpya,tume huru, mgombea binafsi and so kwa mara moja...
 
Hatuwezi kubadili kila kitu all at once,ila kwa mipango sahii miaka kumi mingi sana kuingiza ideologies mpya,mtazamo mpya,na mabadiliko..one a step a time


hatuna consistency na tunachopigania..

Huwezi kupata katiba mpya,tume huru, mgombea binafsi and so kwa mara moja...
Sawa
 
ISHU KUBWA KATIBA MPYA.HATA WAKIANDIKISHA NA KUPIGA KURA ITAKUWA HEWA TU.MWENYE MAAMUZI NI ANAYETANGAZA HAIJALISH UMESHINDA AU KUSHNDWA
Wasomi wengi huwa ni wapumbavu. Hawapigagi kura.

Wasomi wanajua kuchomekea tu ila kichwani sifuri.

Wasomi hawapigagi kura
 
Under which Election Commission!? And though which process that would gurantee 100% free and fair elections!! How about Voters turnouts from different political segments!?
 
Wasomi wengi huwa ni wapumbavu. Hawapigagi kura.

Wasomi wanajua kuchomekea tu ila kichwani sifuri.

Wasomi hawapigagi kura
Ndio tuwahamasishe wajue wajibu wao na namna gani wanaweza badili upepo wa kisiasa..
 
Under which Election Commission!? And though which process that would gurantee 100% free and fair elections!! How about Voters turnouts from different political segments!?
to me Tume ya Uchaguzi sio Tatizo kubwa sana coz even if they play fair,bado wapinzani hawana wapiga kura za kutotosha,CCM bado inakubarika sana..as a suggested kwanza vijana wengi wawe na muamko wa kupiga kura then rest will follow...
 
Katika tafiti ya shirika la Twaweza walio fanya miaka kadhaa nyuma,walisema kua wafuasi wengi wa chadema ni vijana wasomi kuanzia miaka 18-40,tofauti na CCM wengi ni wazee na watu wenye elimu ya chini,

Ukiangalia Demographic ya Tanzania,idadi kubwa ya watanzania ni vijana wa miaka 15-35..bahati mbaya vijana hawana mpango wa kupiga kura,na kama tulivyoona huko juu vijana wengi wanavutiwa na Chadema,lakini je wanapiga kura??wanajiandikisha??

Tuige marekani walifanikiwa vipi kuhamasisha vijana kushiriki katika Siasa

Rock the vote Organization


Rock The Vote ni Shirika lisilo la kiserikali lisilo unga mkono UPANDE WOWOTE kisiasa lilianzishwa marekani miaka ya 90,lengo lake kuwahusisha vijana kwenye mchakato wa Uchaguzi,kuhamisha kujiandikisha kwa wapiga kura wenye Miaka 18-24,Kuwapa Elimu na kuwahamasisha kupiga kura..


Shirika hili mbinu inayotumia kupata attention ya Vijana ni POP CULTURE (mambo yanayotrend kwa wakati husika),MUZIKI,MITANDAO YA KIJAMII na INFLUENCERS wa mitandaoni kusambaza ujumbe kupush Agenda na kuhakikisha kizazi Kipya (GenZ) kinakua na sauti katika kuunda Sera

Mafanikio:

Shirika lilipoanzishwa tu,kupitia kampeni zake kwa mara ya kwanza marekani ilisajili vijana wengi sana kwenye daftari la uchaguzi,na wapiga kura vijana wa miaka 18-24 waliongezeka mara nne zaidi,vijana hawa kabla hawakua na mawazo yeyote ya Habari za siasa..

Kampeni za mitandaoni

Kupitia tiktok,Instagram, twitter and so, shirika limefikia mamilion ya vijana kufikisha ujumbe na elimu ya umuhimu wa vijana kushiriki katika uchaguzi..

Sheria za kupiga kura:

Shirika hili limepambana sana kurahisisha sheria za kupiga kura ili isiwe ngumu kwa vijana kupiga kura au kujiandikisha kupiga kura, mfano Kujiandikisha ONLINE ,

Bill Clinton anasema shirika hili lilibadili hali ya kisiasa mwaka 1992 na kuleta turnover kubwa katika uchaguzi wa Rais..na kufanya aingie ikulu..
kampeni au shirika au njia yoyote itakayotumika kuiondoa madarakani ccm itapigwa vita kwa garama yoyote ile hawa watu hawako tayari kuona kile kiti cha urais anakaa mtu mwingine kwa vyovyote vile
 
kampeni au shirika au njia yoyote itakayotumika kuiondoa madarakani ccm itapigwa vita kwa garama yoyote ile hawa watu hawako tayari kuona kile kiti cha urais anakaa mtu mwingine kwa vyovyote vile
Ndugu ulichosema upo sahii 100%,ila mtego uwe kuwahamasisha vijana kupiga kura, shirika Liwe (nonpartisan)lisijinasibu Kua upande wowote..nayo itakua ngumu??
 
Sas upige kura wakt usomi wako unakuambia anayeamua nan ni mshindi ni mtu fulan na huwez kumpangia
Wasomi wengi huwa ni wapumbavu. Hawapigagi kura.

Wasomi wanajua kuchomekea tu ila kichwani sifuri.

Wasomi hawapigagi kura
 
Ccm wajanja sn ma Uvccm yapo mengi mno sijaona harakat zozote za upinzan kupika vijana haswa Gen Z ila CCM wanafanya utaona mpk hawa chipukizi yaan
 
Back
Top Bottom