CHADEMA ikiiga movements za "Rock The Vote" organization, watashinda uchaguzi 2030 kwa kura mpya za Gen Z

CHADEMA ikiiga movements za "Rock The Vote" organization, watashinda uchaguzi 2030 kwa kura mpya za Gen Z

Ndugu ulichosema upo sahii 100%,ila mtego uwe kuwahamasisha vijana kupiga kura, shirika Liwe (nonpartisan)lisijinasibu Kua upande wowote..nayo itakua ngumu??
sawa nani atakuwa muanzilishi? Pia kumbuka mtaji wa ccm ni kuwafanya watanganyika kuwa wajinga ili waendelee kutawala wanavotaka. Sasa ikionekana kuna watu wanatusanua ili tuamke usingizini hakika ccm watanyooka nao. Hao jamaa wako sirias na chama chao yaani ukisikia vikao vyao na mipango yao ni hatari sana.
 
sawa nani atakuwa muanzilishi? Pia kumbuka mtaji wa ccm ni kuwafanya watanganyika kuwa wajinga ili waendelee kutawala wanavotaka. Sasa ikionekana kuna watu wanatusanua ili tuamke usingizini hakika ccm watanyooka nao. Hao jamaa wako sirias na chama chao yaani ukisikia vikao vyao na mipango yao ni hatari sana.
Fungua NGO mimi nitakusadia taarifa na kukuunganisha na watoa mipunga..
 
Back
Top Bottom