NB. Kwa msisitizo: Paskali sio mwanachama wa chama chochote cha siasa!, hajawahi kujiunga na chama chochote cha siasa, wala hana mpango wowote wa kujiunga na chama chochote cha siasa kwa lengo la lolote, bali ni political commentator, ambaye anazungumzia jambo lolote, kuhusu chama chochote. Sio mfuasi, mshabiki, wa kambi yoyote, au kiongozi yoyote, bali kama Mtanzania mwingine yoyote, kuna watu anaowakubali kijamii, kiuchumi na kisiasa, na siku ya kupiga kura, atapiga kura kuchagua kiongozi.
Update 1.
Wana jamii hayo juu ni maneno ya paskali wakati akiichambua chadema kupitia andiko lake hili.
Tujiulize Leo nn kimemkuta? mm naweza Sema paskal anatafuta heshima naye awe kiongozi naaisha bora zaidi nimkumbushe tu kafanya mawindo ya kumtafuta papa Mtoni kakosea step pasco laiti ungeanzia upinzani siasa zako ungekuwa na jina kubwa xna then ungeenda huko ccm kama ndipo unapapenda ila siasa za upinzani si unajua vema risk yake kila nikikuangalia nakuona we sio type ya ccm cjui kwann ndio maana inner system huwa inawatema mapema watu kama nyie hata kama viongoz wa chama wanawakumbatia
Update 1.
Wana jamii hayo juu ni maneno ya paskali wakati akiichambua chadema kupitia andiko lake hili.
Tujiulize Leo nn kimemkuta? mm naweza Sema paskal anatafuta heshima naye awe kiongozi naaisha bora zaidi nimkumbushe tu kafanya mawindo ya kumtafuta papa Mtoni kakosea step pasco laiti ungeanzia upinzani siasa zako ungekuwa na jina kubwa xna then ungeenda huko ccm kama ndipo unapapenda ila siasa za upinzani si unajua vema risk yake kila nikikuangalia nakuona we sio type ya ccm cjui kwann ndio maana inner system huwa inawatema mapema watu kama nyie hata kama viongoz wa chama wanawakumbatia