Elections 2015 CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

Elections 2015 CHADEMA ikipewa Nchi, Oktoba 2015, Hakuna Hatari Kugeuka Utawala wa Kidikteta? Nauliza Tuu!

NB. Kwa msisitizo: Paskali sio mwanachama wa chama chochote cha siasa!, hajawahi kujiunga na chama chochote cha siasa, wala hana mpango wowote wa kujiunga na chama chochote cha siasa kwa lengo la lolote, bali ni political commentator, ambaye anazungumzia jambo lolote, kuhusu chama chochote. Sio mfuasi, mshabiki, wa kambi yoyote, au kiongozi yoyote, bali kama Mtanzania mwingine yoyote, kuna watu anaowakubali kijamii, kiuchumi na kisiasa, na siku ya kupiga kura, atapiga kura kuchagua kiongozi.

Update 1.

Wana jamii hayo juu ni maneno ya paskali wakati akiichambua chadema kupitia andiko lake hili.

Tujiulize Leo nn kimemkuta? mm naweza Sema paskal anatafuta heshima naye awe kiongozi naaisha bora zaidi nimkumbushe tu kafanya mawindo ya kumtafuta papa Mtoni kakosea step pasco laiti ungeanzia upinzani siasa zako ungekuwa na jina kubwa xna then ungeenda huko ccm kama ndipo unapapenda ila siasa za upinzani si unajua vema risk yake kila nikikuangalia nakuona we sio type ya ccm cjui kwann ndio maana inner system huwa inawatema mapema watu kama nyie hata kama viongoz wa chama wanawakumbatia
 
Pascal, ninakosa hata cha kusema. Ipo siku nchi hii itakwenda kwa mwingine badala ya CCM na atakuwa hakuwahi kuongoza!!

Ni hii CCM iliyokuwa madarakani miaka kibao, bado inafanya mambo kadhaa kama imeingia uongozini jana. Kwanini unadhani upinzani hauwezi kufanya tofauti????
Mkuu New Order, kama ulivyo Ujamaa ni imani, siasa ni imani, kama unaamini ipo siku nchi hii itakwenda kwa mwingine badala ya CCM, it's fine kwa imani yako, ila kwa upande wangu, CCM itatawala milele!.
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
P
 
NB. Kwa msisitizo: Paskali sio mwanachama wa chama chochote cha siasa!, hajawahi kujiunga na chama chochote cha siasa, wala hana mpango wowote wa kujiunga na chama chochote cha siasa kwa lengo la lolote, bali ni political commentator, ambaye anazungumzia jambo lolote, kuhusu chama chochote. Sio mfuasi, mshabiki, wa kambi yoyote, au kiongozi yoyote, bali kama Mtanzania mwingine yoyote, kuna watu anaowakubali kijamii, kiuchumi na kisiasa, na siku ya kupiga kura, atapiga kura kuchagua kiongozi.

Update 1.

Wana jamii hayo juu ni maneno ya paskali wakati akiichambua chadema kupitia andiko lake hili.

Tujiulize Leo nn kimemkuta? mm naweza Sema paskal anatafuta heshima naye awe kiongozi naaisha bora zaidi nimkumbushe tu kafanya mawindo ya kumtafuta papa Mtoni kakosea step pasco laiti ungeanzia upinzani siasa zako ungekuwa na jina kubwa xna then ungeenda huko ccm kama ndipo unapapenda ila siasa za upinzani si unajua vema risk yake kila nikikuangalia nakuona we sio type ya ccm cjui kwann ndio maana inner system huwa inawatema mapema watu kama nyie hata kama viongoz wa chama wanawakumbatia
Duh...!. Mkuu Gultami, kuna maukweli unayasema, ni maukweli mpaka basi!. Asante.
Human beings are not static, they are dynamic and hence they change with time and place.
P
 
Duh...!. Mkuu Gultami, kuna maukweli unayasema, ni maukweli mpaka basi!. Asante.
Human beings are not static, they are dynamic and hence they change with time and place.
P
.....wala hana mpango wa kujiunga na Chama chochote cha siasa.
Hii kauli ukilinganisha na yaliyotokea wakati wa kura za maoni July, 2020 yanaakisi tabia yako HALISI.
 
Ujue mambo ya kuchagua wanasiasa yana sababu nyingi: mapenzi tu yale yasiyo na sababu kwa mgombea, kumchagua tu ili mwingine asishinde, kupima uwezo wake, kuzingatia mahitaji ya nchi kwa wakati huo ama kupima mahitaji binafsi. Wacha wajigaragaze wachague wampendaye ni haki ya kila mtanzania.
" mchuma janga hula na nduguze"
Mkuu Madam Mwajuma , kwavile watu tumetofautiana uoni, vision, ukitokea wewe una uoni mkubwa, unaona mtu fulani ni janga, lakini kuna watu wa kwenu, wanamshabikia bila kujua ni janga, jee utawaacha tuu wachume janga, au angalau utawaonya na kuwapa angalizo kuwa huyo mnaemshabikia ni janga, mkimchagua ni sawa na mchuma janga, au utawaacha tuu wamchague wampendaye kwasababu ni haki yao ya kidemokrasia kumchagua yoyote wanayempenda hata kama ni janga?, na unajua kabisa mchuma janga hula na wakwao?.

Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?!

Hili bandiko japo ni la zamani lakini hoja zake bado ni valid kwa mustakabali wa October 28, kuhusu hoja ya udikiteta, ikitokea October 28 tukachagua majanga...!, hala hala, inaweza ikaja tokea Hitler akawa ana afadhali!.

Ni angalizo tuu!.

P
 
.Mimi hutakaa uniaminishe eti Chadema ikiingia madarakani maisha ya watanzania yatabadilika. NEVER. WHY!??.. Hulka ya wanaoongoza ni ile (Selfish,roho mbaya,njaa,asili ya umaskini,majivuno, ulimbukeni nk) na wanaoongozwa hivyo hivyo(njaa,umaskini, ujinga, kukosa Elimu,kupenda ngono,kuzaana hovyo nk). Hata ije CDM,CUF,ACT,CHAUMA as long as viongozi ni weusi na wanaoongozwa ni weusi NO CHANGES. So, wengine tunamuona angalau JPM ana moyo wa kukemea na kumaanisha. Sasa kumuamini au kutomuamini inabaki kwa mtu binafsi. Kama dini vile.
Mkuu Jerusalem2006 , naunga mkono hoja, Chadema hamna kitu kabisa!.
P
 
Chadema Chini ya Mbowe haifai kupewa hata Kitongoji.
Nchi ina miiko yake na dira yake. Mbowe ameongoza chama kama Kasino .

Nchi sio Dafu kuwa kila mtu anachokonoa.
 
Wanabodi,

Preamble: Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa maamuzi ya kiimla na udikiteta wa ajabu!, Jee Chadema ikikabidhiwa nchi hapo October 2015!, hakuna hatari ya uwezekano wa kuigeuza nchi yetu kuwa ni nchi ya utawala wa kidikteta wa ajabu?!. Hili ni swali tuu nauliza mimi Paskali
Lissu nakushauri kabisa achana na habari za Diamond maana Yeye kuchagua chama cha CCM kosa lake mpaka wewe na wafuasi wako wa Chadema kumshambulia mitandaoni ni lipi?

Mnahubiri haki ila haki ya wenzenu kuchagua wanachopenda hamuitaki. Huu mbona ni udikteta sasa, siku mkipewa nchi watu wasiounga mkono chama chenu hakuna rangi wataacha ona hapa. Hamna polisi hamna jela ila mnataka kila mtu aamini mnachoamini kwa mabavu akiwa tofauti ni adui.
Naunga mkono hoja.

P
 
Wanabodi,

Preamble: Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa maamuzi ya kiimla na udikiteta wa ajabu!, Jee Chadema ikikabidhiwa nchi hapo October 2015!, hakuna hatari ya uwezekano wa kuigeuza nchi yetu kuwa ni nchi ya utawala wa kidikteta wa ajabu?!. Hili ni swali tuu nauliza mimi Paskali

Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuatia misingi ya sheria, taratibu na kanuni kwa mujibu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977.

Katiba ndio sheria mama, kila kitu kuhusiana na shughuli yoyote ndani ya JMT ni kwa mujibu wa Katiba!. Sheria yoyote, kanuni yoyote na taratibu yoyote, inayokwenda kinyume cha katiba ni batili!.

Katiba yetu imeweka utaratibu wa kutafuta haki ndani ya JMT ni kupitia mhimili wa mahakama. Vyama vyote vya siasa nchini, viko kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa!.

Kwenye sheria ya vyama hivyo, vyama kabla ya kusajiliwa, vinapaswa kuwasilisha katiba ya chama hicho na kupitiwa na wanasheria, ikukutwa iko sawa kwa mujibu wa katiba ya nchi, ndipo chama hicho hupewa usajili wa muda, kisha usajili wa kudumu!.

Hivyo ndivyo Chadema ilivyofanya ule mwaka 1992. Uliwasilisha katiba safi ya kidemokrasia yenye ukomo wa vipindi vya uongozi, kuwa ni vipindi viwili tuu, na wanachama wa Chadema walikuwa wako huru kufuata sheria za nchi!.

Mwaka 2006, Chadema ilifanya mabadiliko ya katiba, katika mabadiliko hayo, kile kipengele cha ukomo wa madaraka, kilinyofolewa kinyemela bila kujadiliwa popote!, hivyo marekebisho yaliwasilishwa kwa msajili wa vyama, hayakuwa tena na kipengele hicho cha ukomo, na kiliyeyuka bila muhtaasari wa kikao chochote kilichokijadili kipengele hicho!, hivyo marekebisho yaliyowasilishwa kwa msajili, kipengele hicho hakikuwepo, as if kimejadiliwa na kufikia uamuzi kiondolewe!, wakati kiukweli, hakikujadiliwa popote na yeyote bali kilinyofolewa tuu kinyemela, na katiba iliyowasilishwa mwaka 2006 hakikuwepo tena!.

Lengo la watungaji wa katiba mama ya Chadema, lilikuwa zuri, kwa uongozi wa Chadema kuwa na ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano mitano ili kupokezana vijiti ili kuzuia uongozi wa kisultani!. Mwaka huo wa 2006, wakaingia wajanja fulani!, wakakinyofoa kipengele kile, sasa uongozi wa Chadema hauna ukomo!. Yaani ni uongozi wa maisha mpaka kiongozi atakapoamua mwenyewe kuwa sasa amechoka!.

Mabadiliko hayo ya katiba ya Chadema ya mwaka 2006, pia yalipenyeza kipengele kinachomzuia mwanachama wa Chadema, kupeleka kesi yoyote mahakamani kukishitaki chama!. Hi ni kipengele cha kidikteta kuminya haki, na kiko kinyume cha katiba ya JMT, ambayo inasisitiza chombo pekee cha kutoa haki ndani ya JMT ni mahakama!. Kwa kipengele hiki, Chadema imejijengea himaya yake ya kidikteta ndani ya JMT ambayo haiutambui mhimili wa mahakama when it comes kwenye haki za wanachama wake, lakini when ni kuhusu haki za chama, ni mbio mahakamani!.

Mwanachama ukipeleka jambo lolote mahakamani, ukishindwa, hapo ndipo mwisho wa uanachama wako wa Chadema!.

Sasa nawauliza wanasheria na watetezi wa haki za binaadamu, hivi mwana Chama wa Chadema akikosa haki ndani ya chama chake akaitafute wapi?!.

Kama Chadema hivi tuu ni chama na bado hakijapewa dola, kimepenyeza vifungu vya kidikteta na kinyume cha katiba kwa kutoutambua mhimili wa mahakama, jee kikipewa nchi hiyo October, si ni kina uwezekano kabisa wa kuisimamisha kabisa katiba yenyewe na kutangaza utawala wa kiimla na kidikiteta jumla?!.

Hili la Katiba ya Chadema, nimewahi kulizungua hapa na nilishutumiwa sana na kunyooshewa vidole kuwa mimi ni CCM!.

Leo nimelikumbuka na kulizungumzia hapa, kufuatia mwanachama fulani wa Chadema, kupoteza uanachama wake, simply kwa kosa la kutafuta haki yake kwenye vyombo halali vya kutoa haki!.

Kwa udikiteta huu, na unaokwenda kinyume cha katiba ya nchi, enyi members wa jf wenye uelewa na sheria na katiba, ndio mnataka kutueleza nini kuhusiana na Chadema katika kufuata sheria taratibu na kanuni?!.

Nalirudia swali la msingi, Katiba ya Chadema ni "Unconstitutional" Jee ni Batili?. Na Chadema Ikipewa Nchi, Hakuna Hatari Kugeuka Dikteta?!.

Paskali

NB. Paskali ni mwanachama wa chama cha siasa!, ila poa ni an independent political commentator, asiyeegemea upande wowote, ambaye anazungumzia jambo lolote, kuhusu chama chochote. Sio mfuasi, mshabiki, wa kambi yoyote, au kiongozi yoyote, bali kama Mtanzania mwingine yoyote, kuna watu anaowakubali kijamii, kiuchumi na kisiasa, na siku ya kupiga kura, atapiga kura kuchagua kiongozi wa chama chake.

Update 1.


Mkuu MwanaHaki, kwanza asante kwa post hii, uzi huu unaelekea post 100, hii ndio posti ya kwanza kuijibu kwa sababu ndio post pekee iliyojikita kwenye subject matter!, na kufuatia post hii, nimeipeleka kule juu ili wenye kuhitaji kuujua ukweli, waujue ukweli, tuwaache hawa wajinga wajinga waendelee kupiga porojo!.

Hii sio mara ya kwanza kulizungumzia hili la Katiba ya Chadema kunyofolewa kipengele hicho cha ukomo wa madaraka!. Nilipouliza mwanzo nilijibiwa hivi.


Soma kwa makini hapo kwenye bold!, kisha tazama hapa kama ulivyoshauri, tena ni scanned copy na sio soft copy!
Suala hili lilifafanuliwa vyema na JJ Mnyika kama hivi.


Majibu ya Mnyika anasema 2006 walitunga katiba mpya!, taarifa iliyopo ofisi ya Msajili sio katiba mpya bali ni marekebisho ya Katiba!.
View attachment 233612View attachment 233613
Yaani Chadema imewasilisha marekebisho ya katiba yenye kifungu ambacho kimenyofolewa kinyemela, hakikujadiliwa popote, yaani katiba ya 2004 imeweka ukomo wa vipindi viwili vya uongozi, katiba ya 2006 ikavinyofoa kinyemela na sasa uongozi wa Chadema ni for life!. Excuse ya kuhalalisha uharamia huu, ni kuiita katiba ya 2006 ni katiba mpya!. Katika constitutional making process zote za kutunga katiba mpya, katiba ya zamani hujadiliwa kipengele kwa kipengele, na ndipo katiba mpya hutungwa. Hakuna mahali popote kipengele hiki cha ukomo wa kipindi cha uongozi, kilijadiliwa!, kwa lugha rahisi, kipengele hiki kili 'just vanish into thin air!.

Na kipengele kinachokiuka katiba ya JMT ni hiki.

x. CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi nawanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atafukuzwa uanachama.

Paskali
Upo sahihi Pascal. Awa jamaa sio.
 
Wanabodi,

Preamble: Chadema ni Chama cha Demokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!, hii thread ni ya swali tuu, Hivi Chadema ilivyo, bado haijakabidhiwa nchi, inatoa maamuzi ya kiimla na udikiteta wa ajabu!, Jee Chadema ikikabidhiwa nchi hapo October 2015!, hakuna hatari ya uwezekano wa kuigeuza nchi yetu kuwa ni nchi ya utawala wa kidikteta wa ajabu?!. Hili ni swali tuu nauliza mimi Paskali

Tanzania ni nchi ya kidemokrasia inayofuatia misingi ya sheria, taratibu na kanuni kwa mujibu wa katiba ya JMT ya mwaka 1977.

Katiba ndio sheria mama, kila kitu kuhusiana na shughuli yoyote ndani ya JMT ni kwa mujibu wa Katiba!. Sheria yoyote, kanuni yoyote na taratibu yoyote, inayokwenda kinyume cha katiba ni batili!.

Katiba yetu imeweka utaratibu wa kutafuta haki ndani ya JMT ni kupitia mhimili wa mahakama. Vyama vyote vya siasa nchini, viko kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa!.

Kwenye sheria ya vyama hivyo, vyama kabla ya kusajiliwa, vinapaswa kuwasilisha katiba ya chama hicho na kupitiwa na wanasheria, ikukutwa iko sawa kwa mujibu wa katiba ya nchi, ndipo chama hicho hupewa usajili wa muda, kisha usajili wa kudumu!.

Hivyo ndivyo Chadema ilivyofanya ule mwaka 1992. Uliwasilisha katiba safi ya kidemokrasia yenye ukomo wa vipindi vya uongozi, kuwa ni vipindi viwili tuu, na wanachama wa Chadema walikuwa wako huru kufuata sheria za nchi!.

Mwaka 2006, Chadema ilifanya mabadiliko ya katiba, katika mabadiliko hayo, kile kipengele cha ukomo wa madaraka, kilinyofolewa kinyemela bila kujadiliwa popote!, hivyo marekebisho yaliwasilishwa kwa msajili wa vyama, hayakuwa tena na kipengele hicho cha ukomo, na kiliyeyuka bila muhtaasari wa kikao chochote kilichokijadili kipengele hicho!, hivyo marekebisho yaliyowasilishwa kwa msajili, kipengele hicho hakikuwepo, as if kimejadiliwa na kufikia uamuzi kiondolewe!, wakati kiukweli, hakikujadiliwa popote na yeyote bali kilinyofolewa tuu kinyemela, na katiba iliyowasilishwa mwaka 2006 hakikuwepo tena!.

Lengo la watungaji wa katiba mama ya Chadema, lilikuwa zuri, kwa uongozi wa Chadema kuwa na ukomo wa vipindi viwili vya miaka mitano mitano ili kupokezana vijiti ili kuzuia uongozi wa kisultani!. Mwaka huo wa 2006, wakaingia wajanja fulani!, wakakinyofoa kipengele kile, sasa uongozi wa Chadema hauna ukomo!. Yaani ni uongozi wa maisha mpaka kiongozi atakapoamua mwenyewe kuwa sasa amechoka!.

Mabadiliko hayo ya katiba ya Chadema ya mwaka 2006, pia yalipenyeza kipengele kinachomzuia mwanachama wa Chadema, kupeleka kesi yoyote mahakamani kukishitaki chama!. Hi ni kipengele cha kidikteta kuminya haki, na kiko kinyume cha katiba ya JMT, ambayo inasisitiza chombo pekee cha kutoa haki ndani ya JMT ni mahakama!. Kwa kipengele hiki, Chadema imejijengea himaya yake ya kidikteta ndani ya JMT ambayo haiutambui mhimili wa mahakama when it comes kwenye haki za wanachama wake, lakini when ni kuhusu haki za chama, ni mbio mahakamani!.

Mwanachama ukipeleka jambo lolote mahakamani, ukishindwa, hapo ndipo mwisho wa uanachama wako wa Chadema!.

Sasa nawauliza wanasheria na watetezi wa haki za binaadamu, hivi mwana Chama wa Chadema akikosa haki ndani ya chama chake akaitafute wapi?!.

Kama Chadema hivi tuu ni chama na bado hakijapewa dola, kimepenyeza vifungu vya kidikteta na kinyume cha katiba kwa kutoutambua mhimili wa mahakama, jee kikipewa nchi hiyo October, si ni kina uwezekano kabisa wa kuisimamisha kabisa katiba yenyewe na kutangaza utawala wa kiimla na kidikiteta jumla?!.

Hili la Katiba ya Chadema, nimewahi kulizungua hapa na nilishutumiwa sana na kunyooshewa vidole kuwa mimi ni CCM!.

Leo nimelikumbuka na kulizungumzia hapa, kufuatia mwanachama fulani wa Chadema, kupoteza uanachama wake, simply kwa kosa la kutafuta haki yake kwenye vyombo halali vya kutoa haki!.

Kwa udikiteta huu, na unaokwenda kinyume cha katiba ya nchi, enyi members wa jf wenye uelewa na sheria na katiba, ndio mnataka kutueleza nini kuhusiana na Chadema katika kufuata sheria taratibu na kanuni?!.

Nalirudia swali la msingi, Katiba ya Chadema ni "Unconstitutional" Jee ni Batili?. Na Chadema Ikipewa Nchi, Hakuna Hatari Kugeuka Dikteta?!.

Paskali

NB. Paskali ni mwanachama wa chama cha siasa!, ila poa ni an independent political commentator, asiyeegemea upande wowote, ambaye anazungumzia jambo lolote, kuhusu chama chochote. Sio mfuasi, mshabiki, wa kambi yoyote, au kiongozi yoyote, bali kama Mtanzania mwingine yoyote, kuna watu anaowakubali kijamii, kiuchumi na kisiasa, na siku ya kupiga kura, atapiga kura kuchagua kiongozi wa chama chake.

Update 1.


Mkuu MwanaHaki, kwanza asante kwa post hii, uzi huu unaelekea post 100, hii ndio posti ya kwanza kuijibu kwa sababu ndio post pekee iliyojikita kwenye subject matter!, na kufuatia post hii, nimeipeleka kule juu ili wenye kuhitaji kuujua ukweli, waujue ukweli, tuwaache hawa wajinga wajinga waendelee kupiga porojo!.

Hii sio mara ya kwanza kulizungumzia hili la Katiba ya Chadema kunyofolewa kipengele hicho cha ukomo wa madaraka!. Nilipouliza mwanzo nilijibiwa hivi.


Soma kwa makini hapo kwenye bold!, kisha tazama hapa kama ulivyoshauri, tena ni scanned copy na sio soft copy!
Suala hili lilifafanuliwa vyema na JJ Mnyika kama hivi.


Majibu ya Mnyika anasema 2006 walitunga katiba mpya!, taarifa iliyopo ofisi ya Msajili sio katiba mpya bali ni marekebisho ya Katiba!.
View attachment 233612View attachment 233613
Yaani Chadema imewasilisha marekebisho ya katiba yenye kifungu ambacho kimenyofolewa kinyemela, hakikujadiliwa popote, yaani katiba ya 2004 imeweka ukomo wa vipindi viwili vya uongozi, katiba ya 2006 ikavinyofoa kinyemela na sasa uongozi wa Chadema ni for life!. Excuse ya kuhalalisha uharamia huu, ni kuiita katiba ya 2006 ni katiba mpya!. Katika constitutional making process zote za kutunga katiba mpya, katiba ya zamani hujadiliwa kipengele kwa kipengele, na ndipo katiba mpya hutungwa. Hakuna mahali popote kipengele hiki cha ukomo wa kipindi cha uongozi, kilijadiliwa!, kwa lugha rahisi, kipengele hiki kili 'just vanish into thin air!.

Na kipengele kinachokiuka katiba ya JMT ni hiki.

x. CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi nawanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atafukuzwa uanachama.

Paskali
Nadhani umeona dikteta ni nani.
 
Inachekesha kuona chama kinahubiri haki wakati ndani ya chama ukijaribu kufurukuta na kudai haki yako ya uongozi, unazimwa haraka sana kama moto.
 
🤣 🤣🤣🤣Kwa hiyo sasa hutaki tena kukumbuka jinsi ulivyokuwa unajitahidi kuupaka rangi UDIKTETA ili sio tu kuupendezesha bali pia kuweka mzingira ya 'kutosahauliwa'?. Kama ni kweli basi ninakutakia heri ingawaje itabidi kukuangalia kidogo kabla sijakuamini.
Mkuu ostrichegg , sina uhakika, lakini humu jf, sidhani kama kuna member mwingine yoyote aliyeuzungumzia udikiteta kama mimi!.
Karibu pande hizi.
P
 
Gwajima amesema Chadema ni chama cha demokrasia hivyo ni lazima Mbowe aishi kama mwanademokrasia na siyo dikteta.
Kama Freeman Mbowe analazimisha chanjo angali yupo Ufipa je akifika Ikulu itakuwaje?!
Hata mimi niliwahi kuuliza swali kama hili.
P
 
Wanabodi,

Mabadiliko hayo ya katiba ya Chadema ya mwaka 2006, pia yalipenyeza kipengele kinachomzuia mwanachama wa Chadema, kupeleka kesi yoyote mahakamani kukishitaki chama!. Hi ni kipengele cha kidikteta kuminya haki, na kiko kinyume cha katiba ya JMT, ambayo inasisitiza chombo pekee cha kutoa haki ndani ya JMT ni mahakama!. Kwa kipengele hiki, Chadema imejijengea himaya yake ya kidikteta ndani ya JMT ambayo haiutambui mhimili wa mahakama when it comes kwenye haki za wanachama wake, lakini when ni kuhusu haki za chama, ni mbio mahakamani!.

Mwanachama ukipeleka jambo lolote mahakamani, ukishindwa, hapo ndipo mwisho wa uanachama wako wa Chadema!.

Sasa nawauliza wanasheria na watetezi wa haki za binaadamu, hivi mwana Chama wa Chadema akikosa haki ndani ya chama chake akaitafute wapi?!.

Paskali
Hii ni thread ya swali, katiba ya Chadema, haitambui Mhimili wa Mahakama!. Mwanachama wa Chadema haruhusiwi kwenda mahakamani!.

Katiba ya Chadema ina mamlaka mbalimbali za nidhamu. Mamlaka ya Nidhamu ya Naibu Katibu Mkuu, ni Baraza Kuu, CC ya Chadema ilimvua Zitto uanachama kwa mamlaka gani?. Kwa vile CC ya Chadema haina mamlaka ya kumfuta uanachama NKM, kitendo cha kikao kisicho na mamlaka kutoa hukumu za ajabu ajabu, mimi nimeuita huu ni Ukangaroo!.

Zitto alikwenda mahakamani kupinga Ukangaroo huo, akashindwa kwa legal technicalities, matokeo yake wahusika wakuu wote wa dhulma hii , kila mmoja, individually, amekula bakora zake za karma na Chadema kama chama, pia kimechezea kichapo cha bakora za karma, kutoka wabunge zaidi ya 50, hadi mbunge mmoja wa ngama!.

The same scenario inataka kujirudia, Halima Mdee ni Mwenyekiti wa Bawacha, mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, CC ,ya Chadema ilimvua Halima Mdee uanachama wa Chadema kwa mamlaka gani?!.

Jee Halima Mdee atatinga mahakamani kupinga dhulma hii, au atakubali yaishe?.

P.
 
Hii ni thread ya swali, katiba ya Chadema, haitambui Mhimili wa Mahakama!. Mwanachama wa Chadema haruhusiwi kwenda mahakamani!.

Katiba ya Chadema ina mamlaka mbalimbali za nidhamu. Mamlaka ya Nidhamu ya Naibu Katibu Mkuu, ni Baraza Kuu, CC ya Chadema ilimvua Zitto uanachama kwa mamlaka gani?. Kwa vile CC ya Chadema haina mamlaka ya kumfuta uanachama NKM, kitendo cha kikao kisicho na mamlaka kutoa hukumu za ajabu ajabu, mimi nimeuita huu ni Ukangaroo!.

Zitto alikwenda mahakamani kupinga Ukangaroo huo, akashindwa kwa legal technicalities, matokeo yake wahusika wakuu wote wa dhulma hii , kila mmoja, individually, amekula bakora zake za karma na Chadema kama chama, pia kimechezea kichapo cha bakora za karma, kutoka wabunge zaidi ya 50, hadi mbunge mmoja wa ngama!.

The same scenario inataka kujirudia, Halima Mdee ni Mwenyekiti wa Bawacha, mamlaka ya nidhamu ya Mwenyekiti wa Bawacha ni Baraza Kuu, CC ,ya Chadema ilimvua Halima Mdee uanachama wa Chadema kwa mamlaka gani?!.

Jee Halima Mdee atatinga mahakamani kupinga dhulma hii, au atakubali yaishe?.

P.
Msaidie uwezavyo ila habari yake imeisha. Aende Chato akalie kaburini kwa dikteta.
 
Tayari kile kilichokuwa kinahisiwa kuja kutokea kimeanza kusikika maeneo ya Dodoma na Dar ambapo kundi la wabunge 19 waliovuliwa uanachama wa CHADEMA limejipanga kufungua kesi mbili mahakama kuu kupinga kuvuliwa uanachama wao wakati wowote wiki ijayo.

Kesi ya kwanza itakuwa ni kesi ya msingi, ambapo wataitaka mahakama ipitie upya hatua zote za CHADEMA zilizotumika kuwavua uanachama kama zilifuata kanuni na taratibu za katiba ya CHADEMA.

Kesi ya pili ni kuweka zuio la mahakama ili kutaka uamuzi wa kuvuliwa uanachama usitekelezwe popote kwanza, ili kupisha shauri la msingi kusikilizwa kwanza..
Mahakama ndicho chombo pekee cha utoaji haki katika JMT.
It's very unfortunately katiba ya Chadema, haikitambui hilo!.
P
 
ITAUWA WATU WENGI SANA.
just imagine uwe na waziri kama sugu halafu ujifanye kumchimbachimba,kama hajatuma watu wakakunyonga ama kukupiga shaba.
lema awe waziri umletee vyoko,utaokotwa mtaloni minus your head.
Aisee
 
Back
Top Bottom