Alexandry Nemesi
JF-Expert Member
- Jun 7, 2014
- 1,507
- 589
Hovyo hovyo Ni Lichama lako lizee!Chadema ni genge la watu wa hovyo hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hovyo hovyo Ni Lichama lako lizee!Chadema ni genge la watu wa hovyo hovyo
Mansour alifukuzwa CCM kwa sababu ni Muislamu?. Tunaomba jibu LAKI PESA.
kamlalamikie hakimuMbowe alinyofoa kipengele cha katiba ili awe mwenyekiti wa milele mbona hajafukuzwa?
Chadema ni chama kizuri na kina malengo mazuri kama kinavojinadi kila kukicha ila kwa suala la kupewa nchi bado sana,dhamana ya nchi sio suala rahisi kama tunavofikiria,chadema bado haina hazina ya viongozi kuendesha nchi jamani tuwe wa kweli, mfano mdogo tu,endapo chadema ikishika nchi baraza la mawaziri litakuaje?
Kaka msomi wa kitivo cha sheria cha Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam, natumai hapo chuoni ulisoma pia mambo ya mantiki.
Kwa mtaji huo, je, hilo swali lako lina mantiki kweli?
"Katiba ya Chadema ni "Unconstitutional" Jee ni Batili?"
Duuh!
Udhurungi/violet: hivi kiambata hicho ni 'ha' ama 'a'....? Ninavyojua kiambata 'ha' kikitagulia mzizi wa kitenzi/tendo umaanisha kanusho/kukataa. Sasa kwa jinsi kilivyotumika hapo hakipotoshi maana halisi ya kifungu hicho cha katiba ya CHADEMA?.....
x. CHADEMA itashughulikia matatizo ya viongozi nawanachama kwa kufuata taratibu zilizowekwa kwa mujibu wa Katiba ya Chama, wala hata siku moja haitashughulikia mambo kama hayo Mahakamani. Mwanachama atakayeshindwa kufuata taratibu na ngazi za Chama hatavumiliwa na atafukuzwa uanachama.
.....
aliachia kwa sababu ALICHEZA DILI ILI PINDA APITE BILA KUPINGWA.......au kama vipi dini yake mbayaKwani uongo? Said Arfi kwa nini aliachia unaibu mwenyekiti Chadema?
Hahahahaha. Mhhhhhh. Lugha.
Wanabodi!.
Preamble: Chadema ni Chama cha Kimokrasia na Maendeleo jina tuu, ila uendeshaji wake ni wa kidikteta wa hali ya juu!. Katiba yake inavipengele vya kidikteta vinavyokwenda kinyume cha katiba ya nchi!,........................
Mbona unatumia neno,mwaya.Naomba uwe rafiki yangu ee mwaya!.