Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na muongozwe kwa matusi na udiktetaHili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje? Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.
Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji
itakua ajabu sana eti,Hili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje? Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.
Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji

Kaongea ukweli pia…..mtu akitishiwa nyau kidogo tu anakimbilia Ulaya je ataweza vipi kuchunga kondoo wake?? Mtu ambae muda mwingi anaupoteza Ulaya atawezaje ongoza harakati?"Watanzania wana wivu wa kijinga sana" Hayati BWM
Bora Mzee wa ubwabwa kuliko mafisi CCMMzee wa ubwabwa hana siasa za hovyo
Anatakiwa awe amewabeba mgongoni muda wote wa uongozi?Kaongea ukweli pia…..mtu akitishiwa nyau kidogo tu anakimbilia Ulaya je ataweza vipi kuchunga kondoo wake?? Mtu ambae muda mwingi anaupoteza Ulaya atawezaje ongoza harakati?
Leo Samia akienda Oman kukaa Miezi 3 utaongea hii lugha we kiazi?Anatakiwa awe amewabeba mgongoni muda wote wa uongozi?
Kwa nini uniite kiazi?Jiheshimu.Leo Samia akienda Oman kukaa Miezi 3 utaongea hii lugha we kiazi?
Hili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?
Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.
Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji
itakua ajabu sana eti,
chadema iongozwe na mwenyekiti anae tembea na tiketi ya ndege mfukoni![]()
Je wewe ni mwanchadema ?Hili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?
Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.
Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji