Pre GE2025 CHADEMA iko tayari kuongozwa na Mwenyekiti wa Taifa ambaye atatumia zaidi ya miezi sita ya mwaka akiwa Ubelgiji na familia yake?

Pre GE2025 CHADEMA iko tayari kuongozwa na Mwenyekiti wa Taifa ambaye atatumia zaidi ya miezi sita ya mwaka akiwa Ubelgiji na familia yake?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TL aombe kura, aache tabia ya kulalama kwenye vyombo vya habari.
Siasa ni sayansi!
 
CCM wao si waliongozwa na ombaomba mrandisha kopo Ulaya. Pamoja na watanzania pia.

Au umemsahau yule wa Msonga
Lisu.mwenyewe ombaomba hela hizo anaxosafiri kula bata la krismas na mwaka mpya ni pesa zenu mlixichangia anunue gari

Mtu anatoa hotuba akiwa ubelgiji kuomba kura kwa Watanzania walioko Tanzania yeye akila pizza ubelgiji

Chadema mkimpa kura Lisu mtakuwa wajinga mno
 
Mbona Watanganyika wanaongozwa na mtu anayeshinda Zanzibar? Nyani haoni Kundule
 
Mbona walimpendeza kuwa Rais
Kosa kurudia kosa hilo halitarudiwa tena
Watapewa kura watanzania wanaogombea wakiwa nchini sio wabelgiji wanaoishi ubelgiji ambao hurudi Tanzania kipindi cha chaguzi tu tena zinazowahusu wao kama wagombea

Lakini pia kunankigezo kingine cha afya .Kiongozi.anayechaguliwa ni vizuri akawa na afya njema.kuepuka gharama za matibabu na pia ofisi muda mwingi kiongozi kutokuwepo ofisini kwa majukumu.kwa sababu za kiafya
 
Hili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?

Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.

Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji

Je,Wakati Mwenyekiti Mbowe alipokua Gerezani Chama kilikufa?
Hata kama Mbowe angefungwa au kunyongwa unadhani Chama kingekufa?

Kama Chadema kinategemea mtu mmoja kuendesha chama badala ya wanachama basi watanzania ni wazi hatuhitaji chama kingine kushika dola zaidi ya CCM .

Miaka 20 kwenye chama leo chama kina mbunge mmoja tu tena wa Nkasi mabali kabisa na majiji .

Hivi Magufuli na Museveni nani Dikteta ? Lakini amsha amsha za siasa kwenye jiji la kampala hazijawahi kukoma .Leo anatuletea stori za kipumbavu . Maka 1995 Chadema ilikua ina wabunge watatu chini ya Manyekiti aliyekaa miaka mitatu tu kuanzia 1992 ,Mtei .Leo Mwenyekiti ana Robo karne kwenye kiti na mbunge mmoja ,eti ndio amejenga Chama .Mbona manakua wapumbavu kiasi hicho?

2005 kura za Mbowe zilikua 800000/- za watu wa kaskazini tu hasa Wachagga basi .
2010 WATU walimfuata Dr.Slaa kwa sababu ya uadilifu wake na kuwataja hadharani mafisadi bila woga .

2015 Watu walimfuata Lowasa hawakumfuata Zuzu Mbowe na Manyumbu wake . 2025 Watu watamfuata Lisu sio Zuzu Wenu na wapumbavu na manyumbu wake .

2025 WATU watamfuata Lisu . Mkikosea tarehe 21 basi mjue mwakani Chadema itapata kura 400,000/- za Wamachame tuu. Mana yeye pesa zake ni za kuhonga wajumbe badala ya kujenga chama . Halafu nategemea kumnunua mtu mmoja maarufu toka CCM ili amtumie kuvuta WATU kwenye uchaguzi wa mwaka 2025 badala ya kujenga chama nyie mnatumika kudhoofisha akili kubwa kama Lisu . Hivi kwa mfano Hata Dr. Samia aamue kumnunua Mbowe kwa trilioni moja kwa mfano kama usajili atamtumia wapi na kwa elimu ipi aliyonayo huyo Mbowe? Jibu ni hakuna pa kumweka Mbowe pale CCM kwenye serikali iwe ni kitaifa au kimataifa .
Lakini Lisu CCM wanatamani sana wangekua na kichwa kama kile kilichosheheni sheria za nchi ,sheria za kimataifa na mikataba ya kimataifa .Kichwa kinachoweza kutoa hotuba kwenye Mkutano wa UN kama Nyerere na Mandela na vichwa vikubwa kisiasa vilivyowahi kutokea duniani, Huyu ndiye Tundu Antipas Mughwai Lisu.
Wamasai walikua wanahamishwa kama mbuzi kule Ngorongoro . Lisu na wanaharakati wengine wakipaza sauti kwa kutumia data sio kubwabwaja kama kasuku Mbowe asiyejua sheria wala historia ya Tanganyika Kabla na baada ya mkoloni na sheria zote na mikataba ya Hifadhi ya Loliondo . Serikali ya CCM ikakubali kusitisha zoezi hilo .
Na kwa Taarifa yenu nyie manyumbu wa Mbowe mkimchagua Mbowe 2026 baada ya uchaguzi mikataba yote iliyowekwa pending itakamilika na Tanganyika itarudi kuwa koloni la waarabu ndio mtajua hamjui . Mbowe hana ya kufanya mana hajui sheria za mikataba wala kuzisoma hawezi ndio maana miaka yote alikua anatumia wasomi na baada ya kukamilisha mipango yake anawatimua .
Lisu alipopata Uenyekiti kamwe usitegemee ataweza kujiweka kimbelembele kwa maslahi ya Chama cha mtu na dalali wa wawekezaji na mafisadi .
 
Hili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?

Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.

Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji
Kilaza ktk ubora wako, mbona hivi yule wa kwenu kwa mwana anafiri mara ngapi vile na kuchukua mikopo
 
Hili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?

Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.

Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji
Chiembe unaa sii mpango
 
Pale wana ccm wanapoishauri chadema aina ya mwenyekiti atakayewafaa kuwaongoza, kweli kuwa uyaone!!.
 
Hili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?

Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.

Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji
Lisu ni box kabisa
 
Kosa kurudia kosa hilo halitarudiwa tena
Watapewa kura watanzania wanaogombea wakiwa nchini sio wabelgiji wanaoishi ubelgiji ambao hurudi Tanzania kipindi cha chaguzi tu tena zinazowahusu wao kama wagombea

Lakini pia kunankigezo kingine cha afya .Kiongozi.anayechaguliwa ni vizuri akawa na afya njema.kuepuka gharama za matibabu na pia ofisi muda mwingi kiongozi kutokuwepo ofisini kwa majukumu.kwa sababu za kiafya


Kwani lisu ana Afya mbovu?

So ww Leo ukipata ajari utakuwa disqualified kufanya ishu zozote Kwa kigezo Afya yako ni mbovu

I think chadema wenyewe wamechoka kuwa na Mbowe

Mbowe atashinda ni kwasababu Serikali inamtaka

Ila hakuna Chama cha upinzani kwa uongozi wa mbowe
 
Back
Top Bottom