milele amina
JF-Expert Member
- Aug 16, 2024
- 6,045
- 8,080
TL aombe kura, aache tabia ya kulalama kwenye vyombo vya habari.
Siasa ni sayansi!
Siasa ni sayansi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kimakosa lakiniMbona walimpendeza kuwa Rais

TL hata uwakili sasa naona unamshinda!Mbona walimpendeza kuwa Rais
Lisu.mwenyewe ombaomba hela hizo anaxosafiri kula bata la krismas na mwaka mpya ni pesa zenu mlixichangia anunue gariCCM wao si waliongozwa na ombaomba mrandisha kopo Ulaya. Pamoja na watanzania pia.
Au umemsahau yule wa Msonga
Kosa kurudia kosa hilo halitarudiwa tenaMbona walimpendeza kuwa Rais
Hili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?
Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.
Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji
Kilaza ktk ubora wako, mbona hivi yule wa kwenu kwa mwana anafiri mara ngapi vile na kuchukua mikopoHili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?
Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.
Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji
Chiembe unaa sii mpangoHili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?
Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.
Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji
Mlitakiwa muwahi kabla ya kuivuruga chademaUrafiki wa CCM na Mbowe umeibuka ghafla siku hizi
Kamati kuu ya CHADEMA ikimleta sultan tunahamia Kwa Hashimu Rungwe Mzee wa ubwabwa
Urafiki wa CCM na Mbowe umeibuka ghafla siku hizi
Kamati kuu ya CHADEMA ikimleta sultan tunahamia Kwa Hashimu Rungwe Mzee wa ubwabwa
Akaanzishe chama chakeTAL HAPANA!
Lisu ni box kabisaHili ni suala muhimu sana. Chadema iko tayari? Uhai wa chama utakuwaje?
Hata hotuba ya leo ya mwaka mpya kaitoa akiwa ubeleji na familia yake.
Wakati akihubiri siasa za "Tanzania itachimbika" yeye kachimbia watoto na mke ubeleji
Kosa kurudia kosa hilo halitarudiwa tena
Watapewa kura watanzania wanaogombea wakiwa nchini sio wabelgiji wanaoishi ubelgiji ambao hurudi Tanzania kipindi cha chaguzi tu tena zinazowahusu wao kama wagombea
Lakini pia kunankigezo kingine cha afya .Kiongozi.anayechaguliwa ni vizuri akawa na afya njema.kuepuka gharama za matibabu na pia ofisi muda mwingi kiongozi kutokuwepo ofisini kwa majukumu.kwa sababu za kiafya
TL hata uwakili sasa naona unamshinda!