Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
Ni dhahiri haina washauri kabisa, haina malengo, mipango, dira wala uelekeo wa kueleweka. Unaweza kusema imebumba.
Hebu check, hakuna wanachama, mashabiki au wakereketwa, wanaojali, wanaostuka wala kutaka kujua kwamba viongozi wao wote waandamizi wa chama chao wametiwa nguvuni na nini kinaendelea kwao.
Ni ndugu, jamaa na marafiki za waliotiwa nguvuni ndio pekee wana sumbuka , wana haha na kuhangaika huko na huko, kutaka walau kujua au kufahamu kulikoni, na kufuatilia kinachoendelea huko mahabusu wanakosota..
Wanachama wao hawana kabisa habari nao, wala hawana muda wa kupoteza nao, wanapambana na shughuli na kazi zao za kila siku za kuwapatia riziki wao na familia zao kama kawaida..
Watu wameichoka chadema, watu hawana tena imani na chadema, watu wameamua kujitenga na chadema inayochochea migawanyiko, fujo, na kulazimisha hata mambo yasiyo na maana wala umuhimu kama vile maandamano...
Wapendwa, haya mambo yanahitaji umakini, hekima na busara sana kuyafanya. Vinginevyo utateseka, utahangaika, utasumbuka na kuhangaisha familia, ndugu, jamaa na marafiki zako bure tu, huku ukiwatesa zaidi watoto na wanafamilia wako nyumbani...
Siasa ni sayansi sio uhalifu au fujo.
Je, hali hii ni uthibitisho ya kwamba chadema is no more?🐒
Hebu check, hakuna wanachama, mashabiki au wakereketwa, wanaojali, wanaostuka wala kutaka kujua kwamba viongozi wao wote waandamizi wa chama chao wametiwa nguvuni na nini kinaendelea kwao.
Ni ndugu, jamaa na marafiki za waliotiwa nguvuni ndio pekee wana sumbuka , wana haha na kuhangaika huko na huko, kutaka walau kujua au kufahamu kulikoni, na kufuatilia kinachoendelea huko mahabusu wanakosota..
Wanachama wao hawana kabisa habari nao, wala hawana muda wa kupoteza nao, wanapambana na shughuli na kazi zao za kila siku za kuwapatia riziki wao na familia zao kama kawaida..
Watu wameichoka chadema, watu hawana tena imani na chadema, watu wameamua kujitenga na chadema inayochochea migawanyiko, fujo, na kulazimisha hata mambo yasiyo na maana wala umuhimu kama vile maandamano...
Wapendwa, haya mambo yanahitaji umakini, hekima na busara sana kuyafanya. Vinginevyo utateseka, utahangaika, utasumbuka na kuhangaisha familia, ndugu, jamaa na marafiki zako bure tu, huku ukiwatesa zaidi watoto na wanafamilia wako nyumbani...
Siasa ni sayansi sio uhalifu au fujo.
Je, hali hii ni uthibitisho ya kwamba chadema is no more?🐒