Pre GE2025 CHADEMA imedhoofika na kunyong'onyea mno kisiasa nchini haina maono tena

Pre GE2025 CHADEMA imedhoofika na kunyong'onyea mno kisiasa nchini haina maono tena

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukimalizo post upumbavu wako unaenda pokea posho Lumumba

Hii njaa wameleta ccm ni hatari mno
Chadema imepoteza uelekeo kiasi kwamba wanachama wake wamegoma kabisa na kujitenga nayo zaidi baada ya viongozi wao waandamizi kujihusisha na magenge ya kihalifu na njama uporaji, wizi wa mali, uharibifu, uvunjifu wa amani na utulivu wa wana mbeya 🐒
 
Uongo wako hauwezi kutufanya tuamini hata ivyo alie kwambia mambo ya nyumba Jirani ujihusishe nayo ni nani? Fanya ya kwenu huko ya chukua chako mapema(ccm) ndio maana mnajitahidi kutugawa kama mnavyo gawana mali zetu watanganyika
 
Serekali na Polisi wa ccm wako bize na chadema
Jeshi Imara na la kisasa la police nchini, linapambana na magenge ya kihalifu huko mbeya, yenye mipango na njama za uporaji, wizi wa mali na kuleta vurugu kwa mgongo wa mikutano ya hadhara ya kisiasa, mbinu ya kitoto kabisa ya wa halifu kwa magenge ya majambazi hayo 🐒
 
Ni dhahiri haina washauri kabisa, haina malengo, mipango, dira wala uelekeo wa kueleweka. Unaweza kusema imebumba.

Hebu check, hakuna wanachama, mashabiki au wakereketwa, wanaojali, wanaostuka wala kutaka kujua kwamba viongozi wao wote waandamizi wa chama chao wametiwa nguvuni na nini kinaendelea kwao.

Ni ndugu, jamaa na marafiki za waliotiwa nguvuni ndio pekee wana sumbuka , wana haha na kuhangaika huko na huko, kutaka walau kujua au kufahamu kulikoni, na kufuatilia kinachoendelea huko mahabusu wanakosota..

Wanachama wao hawana kabisa habari nao, wala hawana muda wa kupoteza nao, wanapambana na shughuli na kazi zao za kila siku za kuwapatia riziki wao na familia zao kama kawaida..

Watu wameichoka chadema, watu hawana tena imani na chadema, watu wameamua kujitenga na chadema inayochochea migawanyiko, fujo, na kulazimisha hata mambo yasiyo na maana wala umuhimu kama vile maandamano...

Wapendwa, haya mambo yanahitaji umakini, hekima na busara sana kuyafanya. Vinginevyo utateseka, utahangaika, utasumbuka na kuhangaisha familia, ndugu, jamaa na marafiki zako bure tu, huku ukiwatesa zaidi watoto na wanafamilia wako nyumbani...

Siasa ni sayansi sio uhalifu au fujo.

Je, hali hii ni uthibitisho ya kwamba chadema is no more?🐒
Kama ni kweli wamedhoofika mbona wanafuatwa fuatwa mpaka hata huko Mbeya kwenye baridi kali ???

Be serious gentleman 😳🙌🙏😱
 
Agosti 2024
Mbeya, Tanzania

DKT. MWAKAJUMILO - TUNA UHURU WA BENDERA WATANZANIA TUBADILI MITAZAMO YETU

View: https://m.youtube.com/watch?v=qYReffkC0a8
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya Dr. Stephen Laurent Isaac Mwakajumilo MNEC mjumbe halmashauri kuu ya taifa CCM, aliyevuliwa madaraka kwa kutofautiana na chama dola kongwe na kupelekwa kuwa DC wilaya ya Namyumbu kisha nako kutumbuliwa aongea kuhusu uhuru wa bandia yaani wa bendera .... tuna wakoloni weusi baada ya kuondoka wazungu ... afafanua uhuru wa bendera kwa kina ...

DC DR.MWAKAJUMILO ATENGULIWA​

By Simba Editor | tokea miezi 2
IMG-20240611-WA0098-1024x672.jpg

Na Mwandishi wetu.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkuu wa wilaya ya Namyumbu Dr Stephen Mwakajumilo.

Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwakajumilo alikuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya.
Utenguzi wa nafasi yake umefanyika Leo June 11,2024

TASWIRA YA WILAYA YA NANYUMBU

Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu, ni moja kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Mtwara. Halmashauri hii ilianzishwa chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) na kutangazwa rasmi katika Gazeti la Serikali Na. 190 la tarehe 01 Julai 2007. Makao makuu ya Wilaya yapo mji wa Mangaka ambao upo umbali wa kilomita 54 kutoka Masasi kwenye barabara ya Mtwara-Songea.

Asili ya wenyeji wa wilaya ya Nanyumbu ni makabila ya wamakua, wayao, na wamatambwe ambao huzungumza lugha zao za asili pamoja na Kiswahili.

1.2 MIPAKA YA ENEO

Wilaya hii iko kati ya latitudo 360 na 380 mashariki mwa Greenwich na latitudo 100 na 120 kusini mwa Ikweta. Nanyumbu inapakana na wilaya ya Nachingwea upande wa kaskazini, wilaya ya Masasi kwa upande wa mashariki, wilaya ya Tunduru upande wa magharibi na Jamhuri ya Msumbiji kwa upande wa kusini

unajiandaa kuitangaza nia 2025,

naona unapiga jeramba la nguvu kwa kuweka profile ya nanyumbu kiganjani na fikrani...

nakutakia kila la kheri, jitahidi kutokujihusisha na magenge ya kihalifu 🐒

wasalimie sana magambani sec. pamoja na kaole sec bila kusahau badeco na millennium 🐒
 
Kama ni kweli wamedhoofika mbona wanafuatwa fuatwa mpaka hata huko Mbeya kwenye baridi kali ???

Be serious gentleman 😳🙌🙏😱
ni kwasababu ya kujihusisha na magenge ya kihalifu, kupanga njama za uporaji, wizi na kuleta fujo na uvunjifu wa amani kwenye biashara na kazi za wanainchi 🐒
 
CCM baada ya kuona coasters zaidi ya 300 zenye watu 30 kila moja zinaenda mbeya wakaona isiwe tabu wasingizie kuna maandamano mbeya! Maandamano yawe mbeya yaathiri nini wakati uchumi wa kule sio mkubwa kama dar
costa zilizokua zimebeba magenge ya kihalifu sio?🐒

actually,
Jeshi la kisasa la police nchini lilibaini mapema sasa njama na mipango ya kihalifu ya magengea hayo nakuchukua hatua za makusudi za mapema zaidi kabla ya uporaji, wizi na uharibifu kutokea, lakini pia kuzuia jaribio la uvunjifu wa amani lililokusudiwa na wahalifu hao 🐒
 
CCM KUTUMIA JESHI LA POLISI KUFANYA UTEKAJI WA KIMBARI IMETUPA AIBU YA TAIFA MBELE YA JUMUIYA YA KIMATAIFA NA MBELE YA WATANZANIA WAPENDA HAKI
View attachment 3068283
Picha : ikionesha Baadhi ya mamia ya waliotekwa Agosti 2024

"Aibu ya Taifa "ni maneno ya mwalimu Nyerere akielezea askari wa KAR Tanganyika walipo wateka raia mwaka 1964 kwa kutumia mitutu ya silaha walizoaminiwa kutumia dhidi ya adui toka nje ya mipaka ya nchi yetu lakini wakazitumia silaha hizo dhidi ya wananchi...

Siku ya Maasi yafaa kuwekwa ktk historia Kuwa Siku ya "Aibu ya Taifa." Maasi ya Jeshi la Tanganyika ya 1964, "Siku ya Aibu": na mwaka huu 2024 ni Aibu ya Taifa kwa jeshi la polisi kuteka mamia ya raia wa Tanzania katika siku moja ya tarehe 12 August 2024
Jeshi letu imara na la kisasa la police halita sita kuchukua hatua muhimu za kijeshi na kisheria kudhibiti njama na mipango ya magenge ya kihalifu ili kulinda amani na utulivu, lakini pia kulinda mali na kazi za waTanzania wachapakazi katika maeneo yao...

dosari na kasoro ndogo ndogo katika kuchukua hatua ni miongoni mwa hali na madhaifu ya kibinadamu, lakini kwa ujumla na kwa kiasi kikubwa, mambo yanafanyika kwa weledi mkubwa sana na Amani na utulivu kwa waTanzania vinaimarika siku hadi siku....

mengine yanabaki kama historia tu, mathalani hili la chadema kudhoofika sana 🐒
 
Tunafuatilia Kwa Njia ambazo wewe ziko juu ya uwezo wako

Ulitaka tuandamane? Unajua kuwa mpaka UNO saa hz wanajua?
maandamano ya amani ni haki ya mTanzania yeyote, ila ni marufuku maandamano kwa magenge ya kihalifu na majambazi kama yaliyodhibitiwa mbeya jana....

hayo hapana hawaruhusiwi na wala Jeshi la police nchini haliwezi kuvumilia ujambazi huo hata kidogo...

jambo la mwisho gentleman,
ni vizuri mkawajulisha hadi OIC kwanini muishie pekeyake na muiruke EAC na OAU hiyo si dharau aise 🐒
 
Utawala wa chama kongwe dola walaaniwa na wapenda haki duniani kote

On 11 August, Tanzanian police arrested and detained leading figures from Tanzania's Party for Democracy and Progress, the main political opposition party known as Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), including former presidential candidate Tundu Lissu and more than a hundred youth supporters, as well as five ...8 hours ago
View attachment 3068274
www.amnesty.org › ... › 2024 › 08

Tanzania: End mass arrests and arbitrary detentions of political ...

criminal gangs can not be allowed or tolerated to endengers peace and stability of Tanzanias in any way 🐒

our modern and very able police forces, through its intelligence unit had already accumulated details informations on chaos plans and thus in a very simple way managed to suppress criminals acts in mbeya regional early yesterday without causing damages or injuries to a single citizen🐒

it is very important to avoid false informations and to associate with criminal gangs in any way 🐒
 
uoga wao umewatia hofu wanachama wao na kuwafanya wakose ujasiri kabisa wa kuwalilia na kuwatetea kama ilivyokua huko awali, hata wanapopatikana kwenye majanga, mathalani kukamatwa viongozi wao baada ya kujihusisha na njama za kuleta vurugu na uvunjifu wa amani na kujihusisha na magenge ya kihalifu huko mbeya 🐒
Nyie ndiyo waoga
Waacheni watu wafanye mambo
Yao wakimaliza wataenda makwao,mnawazuia nini

Ova
 
Mmeshindwa sasa mnatafuta sababu zisizo na mashiko.

Utekaji huu wa kimbari yaani halaiki ya watu kwa mamia mnawachukua mateka jambo halijawahi kutokea tangu January 1964 ambapo raia 550 walitiwa ndani kufuatia maasi ya KAR Tanganyika 1964

ni muhimu mambo mengine yanabaki katika historia tu,

kama Taifa,
tulishatoka huko kitambo sana na hakuna hata sababu moja kung'ang'ana na nyakati zilizopita wakati muda na majira yetu yanakimbia mno....

ni muhimu kuongeza spidi ya kusonga mbele kulingana na kasi ya maendeleo duniani,

Chadema imepoteza uelekeo, imerudi nyuma sana aise 🐒
 
Ni dhahiri haina washauri kabisa, haina malengo, mipango, dira wala uelekeo wa kueleweka. Unaweza kusema imebumba.

Hebu check, hakuna wanachama, mashabiki au wakereketwa, wanaojali, wanaostuka wala kutaka kujua kwamba viongozi wao wote waandamizi wa chama chao wametiwa nguvuni na nini kinaendelea kwao.

Ni ndugu, jamaa na marafiki za waliotiwa nguvuni ndio pekee wana sumbuka , wana haha na kuhangaika huko na huko, kutaka walau kujua au kufahamu kulikoni, na kufuatilia kinachoendelea huko mahabusu wanakosota..

Wanachama wao hawana kabisa habari nao, wala hawana muda wa kupoteza nao, wanapambana na shughuli na kazi zao za kila siku za kuwapatia riziki wao na familia zao kama kawaida..

Watu wameichoka chadema, watu hawana tena imani na chadema, watu wameamua kujitenga na chadema inayochochea migawanyiko, fujo, na kulazimisha hata mambo yasiyo na maana wala umuhimu kama vile maandamano...

Wapendwa, haya mambo yanahitaji umakini, hekima na busara sana kuyafanya. Vinginevyo utateseka, utahangaika, utasumbuka na kuhangaisha familia, ndugu, jamaa na marafiki zako bure tu, huku ukiwatesa zaidi watoto na wanafamilia wako nyumbani...

Siasa ni sayansi sio uhalifu au fujo.

Je, hali hii ni uthibitisho ya kwamba chadema is no more?🐒
Kibaraka wa CCM wewe unajisikiaje?
 
Nyie ndiyo waoga
Waacheni watu wafanye mambo
Yao wakimaliza wataenda makwao,mnawazuia nini

Ova
Jeshi Imara na la kisasa la police nchini linachozuia ni mipango na njama za magenge ya kihalifu kuvuruga amani na utulivu wa wananchi, na si vinginevyo 🐒

majeshi ya kizamani ndio yalikua yanapuuzia viashiria na njama za magenge ya kihalifu kuleta fujo na uharibifu na mauaji ndio sasa wachukue hatua...

jeshi la kisasa la police Tanzania, halisubiri uporaji, wizi, uharibifu na pengine maafa yatokee ndio eti lichukue hatua , haipo hivyo gentleman 🐒

all in all wengi wenu,
you didn't understand the the main contents and themes of these criminals plans, mngekua awere hamngehisi kuna uonevu 🐒
 
zingatia hii koment hapa chini bila mihemko, itakupa mwangaza uelewa na ufahamu mzuri na muhimu zaidi 👇👇

thank you gentleman 👊
Hakuna mhemko hata mmoja ukweli ndio huwo hamwezi kushindana bila ya figisu za kutumia nguvu za policcm na vyombo vyengine.
 
Ni dhahiri haina washauri kabisa, haina malengo, mipango, dira wala uelekeo wa kueleweka. Unaweza kusema imebumba.

Hebu check, hakuna wanachama, mashabiki au wakereketwa, wanaojali, wanaostuka wala kutaka kujua kwamba viongozi wao wote waandamizi wa chama chao wametiwa nguvuni na nini kinaendelea kwao.

Ni ndugu, jamaa na marafiki za waliotiwa nguvuni ndio pekee wana sumbuka , wana haha na kuhangaika huko na huko, kutaka walau kujua au kufahamu kulikoni, na kufuatilia kinachoendelea huko mahabusu wanakosota..

Wanachama wao hawana kabisa habari nao, wala hawana muda wa kupoteza nao, wanapambana na shughuli na kazi zao za kila siku za kuwapatia riziki wao na familia zao kama kawaida..

Watu wameichoka chadema, watu hawana tena imani na chadema, watu wameamua kujitenga na chadema inayochochea migawanyiko, fujo, na kulazimisha hata mambo yasiyo na maana wala umuhimu kama vile maandamano...

Wapendwa, haya mambo yanahitaji umakini, hekima na busara sana kuyafanya. Vinginevyo utateseka, utahangaika, utasumbuka na kuhangaisha familia, ndugu, jamaa na marafiki zako bure tu, huku ukiwatesa zaidi watoto na wanafamilia wako nyumbani...

Siasa ni sayansi sio uhalifu au fujo.

Je, hali hii ni uthibitisho ya kwamba chadema is no more?🐒
Lakini bado Serikali ya CCM inatumia majeshi yake yoote kupambana na Chadema, ajabu sana hii.
 
Lakini bado Serikali ya CCM inatumia majeshi yake yoote kupambana na Chadema, ajabu sana hii.
jeshi imara la police linapambana na magenge ya wahalifu wanaopanga hatarisha na kuvuruga amani ya waTanzani, hususan hivi karibini kule mbeya,

ikiwa majambazi na wahalifu hao ni chadema sifahamu kwakweli 🐒
 
Mpo nyuma sana kifikra nyie watu.

po
kiukweli ni nyuma mno,
chama cha siasa kujihusisha na magenge ya kiahalifu kuvuruga amani na utulivu wa wananchi, ni jambo la ajabu na lililopitwa na wakati sana gentleman 🐒

tazama sasa wahalifu wamewekwa korokoroni wanachama wao kimya kama hawaoni vile dah 🤣

hata hivyo kwa huruma ya rais wahalifu wameachiwa huru 🐒
 
Back
Top Bottom