Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
- Thread starter
- #61
sure Jeshi la police haliwezi kupuuzia wala kushindana na magenge ya kihalifu,Hakuna mhemko hata mmoja ukweli ndio huwo hamwezi kushindana bila ya figisu za kutumia nguvu za policcm na vyombo vyengine.
linapambana nayo na kuyadhibiti kama ambavyo imefanyika,
ila kwa huruma ya rais Kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan wahalifu wamejitenga na uvunjifu wa amani na utulivu wameachiwa huru 🐒