Pre GE2025 CHADEMA imedhoofika na kunyong'onyea mno kisiasa nchini haina maono tena

Pre GE2025 CHADEMA imedhoofika na kunyong'onyea mno kisiasa nchini haina maono tena

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tunafuatilia Kwa Njia ambazo wewe ziko juu ya uwezo wako

Ulitaka tuandamane? Unajua kuwa mpaka UNO saa hz wanajua?
 
Mmeshindwa sasa mnatafuta sababu zisizo na mashiko.

Utekaji huu wa kimbari yaani halaiki ya watu kwa mamia mnawachukua mateka jambo halijawahi kutokea tangu January 1964 ambapo raia 550 walitiwa ndani kufuatia maasi ya KAR Tanganyika 1964

 
Utawala wa chama kongwe dola walaaniwa na wapenda haki duniani kote

On 11 August, Tanzanian police arrested and detained leading figures from Tanzania's Party for Democracy and Progress, the main political opposition party known as Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), including former presidential candidate Tundu Lissu and more than a hundred youth supporters, as well as five ...8 hours ago
1723513003513.png

www.amnesty.org › ... › 2024 › 08

Tanzania: End mass arrests and arbitrary detentions of political ...

 
CCM KUTUMIA JESHI LA POLISI KUFANYA UTEKAJI WA KIMBARI IMETUPA AIBU YA TAIFA MBELE YA JUMUIYA YA KIMATAIFA NA MBELE YA WATANZANIA WAPENDA HAKI
1723513943895.png

Picha : ikionesha Baadhi ya mamia ya waliotekwa Agosti 2024

"Aibu ya Taifa "ni maneno ya mwalimu Nyerere akielezea askari wa KAR Tanganyika walipo wateka raia mwaka 1964 kwa kutumia mitutu ya silaha walizoaminiwa kutumia dhidi ya adui toka nje ya mipaka ya nchi yetu lakini wakazitumia silaha hizo dhidi ya wananchi...

Siku ya Maasi yafaa kuwekwa ktk historia Kuwa Siku ya "Aibu ya Taifa." Maasi ya Jeshi la Tanganyika ya 1964, "Siku ya Aibu": na mwaka huu 2024 ni Aibu ya Taifa kwa jeshi la polisi kuteka mamia ya raia wa Tanzania katika siku moja ya tarehe 12 August 2024
 
CCM baada ya kuona coasters zaidi ya 300 zenye watu 30 kila moja zinaenda mbeya wakaona isiwe tabu wasingizie kuna maandamano mbeya! Maandamano yawe mbeya yaathiri nini wakati uchumi wa kule sio mkubwa kama dar
 
Agosti 2024
Mbeya, Tanzania

DKT. MWAKAJUMILO - TUNA UHURU WA BENDERA WATANZANIA TUBADILI MITAZAMO YETU

View: https://m.youtube.com/watch?v=qYReffkC0a8
Aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya Dr. Stephen Laurent Isaac Mwakajumilo MNEC mjumbe halmashauri kuu ya taifa CCM, aliyevuliwa madaraka kwa kutofautiana na chama dola kongwe na kupelekwa kuwa DC wilaya ya Namyumbu kisha nako kutumbuliwa aongea kuhusu uhuru wa bandia yaani wa bendera .... tuna wakoloni weusi baada ya kuondoka wazungu ... afafanua uhuru wa bendera kwa kina ...
Dr. Stephen Mwakajumilo PhD Degree in Microfinance, employee of Bank of Tanzania as a Senior Principal Microfinance Analyst, Member of National Executive Committee of Chama Cha Mapinduzi ... born in Rungwe District Rungwe District, Mbeya Region. And went to local primary and secondary school, after national service he pursued an Advanced Diploma in Accountancy from The Institute of Finance Management(IFM Dar), Postgraduate Diploma in Accountancy (AIA), Professional Certificate in SACCOs Management (MUCCOBS), and PhD (Microfinance) from St.Clements Uinversity.

DC DR.MWAKAJUMILO ATENGULIWA​

By Simba Editor | tokea miezi 2
IMG-20240611-WA0098-1024x672.jpg

Na Mwandishi wetu.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa Mkuu wa wilaya ya Namyumbu Dr Stephen Mwakajumilo.

Kabla ya uteuzi huo Dkt. Mwakajumilo alikuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya.
Utenguzi wa nafasi yake umefanyika Leo June 11,2024

TASWIRA YA WILAYA YA NANYUMBU

Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu, ni moja kati ya Halmashauri tisa za mkoa wa Mtwara. Halmashauri hii ilianzishwa chini ya Sheria namba 7 ya mwaka 1982 ya Serikali za Mitaa (Mamlaka za Wilaya) na kutangazwa rasmi katika Gazeti la Serikali Na. 190 la tarehe 01 Julai 2007. Makao makuu ya Wilaya yapo mji wa Mangaka ambao upo umbali wa kilomita 54 kutoka Masasi kwenye barabara ya Mtwara-Songea.

Asili ya wenyeji wa wilaya ya Nanyumbu ni makabila ya wamakua, wayao, na wamatambwe ambao huzungumza lugha zao za asili pamoja na Kiswahili.

1.2 MIPAKA YA ENEO

Wilaya hii iko kati ya latitudo 360 na 380 mashariki mwa Greenwich na latitudo 100 na 120 kusini mwa Ikweta. Nanyumbu inapakana na wilaya ya Nachingwea upande wa kaskazini, wilaya ya Masasi kwa upande wa mashariki, wilaya ya Tunduru upande wa magharibi na Jamhuri ya Msumbiji kwa upande wa kusini
 
Ni dhahiri haina washauri kabisa, haina malengo, mipango, dira wala uelekeo wa kueleweka. Unaweza kusema imebumba.

Hebu check, hakuna wanachama, mashabiki au wakereketwa, wanaojali, wanaostuka wala kutaka kujua kwamba viongozi wao wote waandamizi wa chama chao wametiwa nguvuni na nini kinaendelea kwao.

Ni ndugu, jamaa na marafiki za waliotiwa nguvuni ndio pekee wana sumbuka , wana haha na kuhangaika huko na huko, kutaka walau kujua au kufahamu kulikoni, na kufuatilia kinachoendelea huko mahabusu wanakosota..

Wanachama wao hawana kabisa habari nao, wala hawana muda wa kupoteza nao, wanapambana na shughuli na kazi zao za kila siku za kuwapatia riziki wao na familia zao kama kawaida..

Watu wameichoka chadema, watu hawana tena imani na chadema, watu wameamua kujitenga na chadema inayochochea migawanyiko, fujo, na kulazimisha hata mambo yasiyo na maana wala umuhimu kama vile maandamano...

Wapendwa, haya mambo yanahitaji umakini, hekima na busara sana kuyafanya. Vinginevyo utateseka, utahangaika, utasumbuka na kuhangaisha familia, ndugu, jamaa na marafiki zako bure tu, huku ukiwatesa zaidi watoto na wanafamilia wako nyumbani...

Siasa ni sayansi sio uhalifu au fujo.

Je, hali hii ni uthibitisho ya kwamba chadema is no more?🐒
Serekali na Polisi wa ccm wako bize na chadema
 
Ni dhahiri haina washauri kabisa, haina malengo, mipango, dira wala uelekeo wa kueleweka. Unaweza kusema imebumba.

Hebu check, hakuna wanachama, mashabiki au wakereketwa, wanaojali, wanaostuka wala kutaka kujua kwamba viongozi wao wote waandamizi wa chama chao wametiwa nguvuni na nini kinaendelea kwao.

Ni ndugu, jamaa na marafiki za waliotiwa nguvuni ndio pekee wana sumbuka , wana haha na kuhangaika huko na huko, kutaka walau kujua au kufahamu kulikoni, na kufuatilia kinachoendelea huko mahabusu wanakosota..

Wanachama wao hawana kabisa habari nao, wala hawana muda wa kupoteza nao, wanapambana na shughuli na kazi zao za kila siku za kuwapatia riziki wao na familia zao kama kawaida..

Watu wameichoka chadema, watu hawana tena imani na chadema, watu wameamua kujitenga na chadema inayochochea migawanyiko, fujo, na kulazimisha hata mambo yasiyo na maana wala umuhimu kama vile maandamano...

Wapendwa, haya mambo yanahitaji umakini, hekima na busara sana kuyafanya. Vinginevyo utateseka, utahangaika, utasumbuka na kuhangaisha familia, ndugu, jamaa na marafiki zako bure tu, huku ukiwatesa zaidi watoto na wanafamilia wako nyumbani...

Siasa ni sayansi sio uhalifu au fujo.

Je, hali hii ni uthibitisho ya kwamba chadema is no more?🐒
Ukimalizo post upumbavu wako unaenda pokea posho Lumumba

Hii njaa wameleta ccm ni hatari mno
 
nani hanitaki huko CCM ambako siko?🐒

kipawa, akili, utashi, nguvu, uchaji wangu kimwili na kiroho, ni Neema na Baraka za Mungu, nimepewa bure nami nitasaidia wengine bure...

sio CCM, chadema, chauma CUF n.k inaweza kwa namna yoyote kuharibu haiba yangu kwa namna yoyote ile,

ninapopambania wananchi na waTanzania wote, huwa siko pekeyangu, daima niko na Mungu na amenihakikishia kumaliza na kufika salama katika safari yangu ya kisiasa, kiuchumi na kijamii kwa maslahi mapana ya wananchi 🐒

sina hofu wala woga, nina ujasiri na uhakika wa kufika ninakokwenda, bila police, chadema, CCM ama vinginevyo, don't be confused please 🐒
Kula kulala bure mnataabu sana
 
Sis jobless hatuna pa kukoment tunaogop karati na ugali wa sa nane na mchuzi dishi wa maharage mawili
 
Ni vigumu chadema kukubali, ila moja ya kosa kubwa walilolifanya na litawagharimu kwa muda mrefu ni kushindwa kufanya kazi na JPM ambapo katika hatua za awali za utawala wake walidai ni nguvu ya soda baadae wakasema anatumia sera zao na mwishoni wakaanza kumuita dictator. Chadema hawawezi kuwa na nguvu kama zamani hadi watoke hadharani na kumuomba msamaha JPM ili watanzania wengi hasa wa hali ya chini wawasamehe, ikumbukwe hawa ndio walio wengi na ndio wapiga kura. Kwa sawa chadema hawaeleweki wanampigania nani.
 
Sis jobless hatuna pa kukoment tunaogop karati na ugali wa sa nane na mchuzi dishi wa maharage mawili
unamuogopa chairman kama vice chairman anavyomuogopa?🐒

usiishi hivyo,
uoga wako ndio umaskini wako 🐒
 
Sis jobless hatuna pa kukoment tunaogop karati na ugali wa sa nane na mchuzi dishi wa maharage mawili
unamuogopa chairman kama vice chairman anavyomuogopa?🐒

usiishi hivyo,
uoga wako ndio umaskini wako daima kua jasiri, weka bidii Mungu na bidii mbele, utakula vizuri, utalala vizuri bila mbambamba yoyote 🐒
 
Kula kulala bure mnataabu sana
kwa afya timamu wa afya ya akili, mwili na roho, ni muhimu sana kula vizuri, kulala vizuri na iliwezekana kunywa kiasi itapendeza zaidi 🐒

utimamu huu, utashi, bidii, maarifa haya na weledi huu ni matokeo ya kula na kulala vizuri gentleman 🐒
 
😂😂😂

Enzi tunassma mumo kwa futi sita mlikuwa mnatuona eeeeh

Hamujifunzi hata kupitia post za wana JF
 
Hawa jamaa waoga sana 😄

Ova
uoga wao umewatia hofu wanachama wao na kuwafanya wakose ujasiri kabisa wa kuwalilia na kuwatetea kama ilivyokua huko awali, hata wanapopatikana kwenye majanga, mathalani kukamatwa viongozi wao baada ya kujihusisha na njama za kuleta vurugu na uvunjifu wa amani na kujihusisha na magenge ya kihalifu huko mbeya 🐒
 
Lakini bila ya nguvu ya dola uwezo wa kushindana não hamna.
zingatia hii koment hapa chini bila mihemko, itakupa mwangaza uelewa na ufahamu mzuri na muhimu zaidi 👇👇
Ni vigumu chadema kukubali, ila moja ya kosa kubwa walilolifanya na litawagharimu kwa muda mrefu ni kushindwa kufanya kazi na JPM ambapo katika hatua za awali za utawala wake walidai ni nguvu ya soda baadae wakasema anatumia sera zao na mwishoni wakaanza kumuita dictator. Chadema hawawezi kuwa na nguvu kama zamani hadi watoke hadharani na kumuomba msamaha JPM ili watanzania wengi hasa wa hali ya chini wawasamehe, ikumbukwe hawa ndio walio wengi na ndio wapiga kura. Kwa sawa chadema hawaeleweki wanampigania nani.
thank you gentleman 👊
 
😂😂😂

Enzi tunassma mumo kwa futi sita mlikuwa mnatuona eeeeh

Hamujifunzi hata kupitia post za wana JF
ni muhimu ukatukumbusha tena na tena lady tukajifunza zaidi,

binadamu tumeumbwa kusahau sana aise 🐒
 
Back
Top Bottom