Pre GE2025 CHADEMA imedhoofika na kunyong'onyea mno kisiasa nchini haina maono tena

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukimalizo post upumbavu wako unaenda pokea posho Lumumba

Hii njaa wameleta ccm ni hatari mno
Chadema imepoteza uelekeo kiasi kwamba wanachama wake wamegoma kabisa na kujitenga nayo zaidi baada ya viongozi wao waandamizi kujihusisha na magenge ya kihalifu na njama uporaji, wizi wa mali, uharibifu, uvunjifu wa amani na utulivu wa wana mbeya πŸ’
 
Uongo wako hauwezi kutufanya tuamini hata ivyo alie kwambia mambo ya nyumba Jirani ujihusishe nayo ni nani? Fanya ya kwenu huko ya chukua chako mapema(ccm) ndio maana mnajitahidi kutugawa kama mnavyo gawana mali zetu watanganyika
 
Serekali na Polisi wa ccm wako bize na chadema
Jeshi Imara na la kisasa la police nchini, linapambana na magenge ya kihalifu huko mbeya, yenye mipango na njama za uporaji, wizi wa mali na kuleta vurugu kwa mgongo wa mikutano ya hadhara ya kisiasa, mbinu ya kitoto kabisa ya wa halifu kwa magenge ya majambazi hayo πŸ’
 
Kama ni kweli wamedhoofika mbona wanafuatwa fuatwa mpaka hata huko Mbeya kwenye baridi kali ???

Be serious gentleman πŸ˜³πŸ™ŒπŸ™πŸ˜±
 
unajiandaa kuitangaza nia 2025,

naona unapiga jeramba la nguvu kwa kuweka profile ya nanyumbu kiganjani na fikrani...

nakutakia kila la kheri, jitahidi kutokujihusisha na magenge ya kihalifu πŸ’

wasalimie sana magambani sec. pamoja na kaole sec bila kusahau badeco na millennium πŸ’
 
Kama ni kweli wamedhoofika mbona wanafuatwa fuatwa mpaka hata huko Mbeya kwenye baridi kali ???

Be serious gentleman πŸ˜³πŸ™ŒπŸ™πŸ˜±
ni kwasababu ya kujihusisha na magenge ya kihalifu, kupanga njama za uporaji, wizi na kuleta fujo na uvunjifu wa amani kwenye biashara na kazi za wanainchi πŸ’
 
CCM baada ya kuona coasters zaidi ya 300 zenye watu 30 kila moja zinaenda mbeya wakaona isiwe tabu wasingizie kuna maandamano mbeya! Maandamano yawe mbeya yaathiri nini wakati uchumi wa kule sio mkubwa kama dar
costa zilizokua zimebeba magenge ya kihalifu sio?πŸ’

actually,
Jeshi la kisasa la police nchini lilibaini mapema sasa njama na mipango ya kihalifu ya magengea hayo nakuchukua hatua za makusudi za mapema zaidi kabla ya uporaji, wizi na uharibifu kutokea, lakini pia kuzuia jaribio la uvunjifu wa amani lililokusudiwa na wahalifu hao πŸ’
 
Jeshi letu imara na la kisasa la police halita sita kuchukua hatua muhimu za kijeshi na kisheria kudhibiti njama na mipango ya magenge ya kihalifu ili kulinda amani na utulivu, lakini pia kulinda mali na kazi za waTanzania wachapakazi katika maeneo yao...

dosari na kasoro ndogo ndogo katika kuchukua hatua ni miongoni mwa hali na madhaifu ya kibinadamu, lakini kwa ujumla na kwa kiasi kikubwa, mambo yanafanyika kwa weledi mkubwa sana na Amani na utulivu kwa waTanzania vinaimarika siku hadi siku....

mengine yanabaki kama historia tu, mathalani hili la chadema kudhoofika sana πŸ’
 
Tunafuatilia Kwa Njia ambazo wewe ziko juu ya uwezo wako

Ulitaka tuandamane? Unajua kuwa mpaka UNO saa hz wanajua?
maandamano ya amani ni haki ya mTanzania yeyote, ila ni marufuku maandamano kwa magenge ya kihalifu na majambazi kama yaliyodhibitiwa mbeya jana....

hayo hapana hawaruhusiwi na wala Jeshi la police nchini haliwezi kuvumilia ujambazi huo hata kidogo...

jambo la mwisho gentleman,
ni vizuri mkawajulisha hadi OIC kwanini muishie pekeyake na muiruke EAC na OAU hiyo si dharau aise πŸ’
 
criminal gangs can not be allowed or tolerated to endengers peace and stability of Tanzanias in any way πŸ’

our modern and very able police forces, through its intelligence unit had already accumulated details informations on chaos plans and thus in a very simple way managed to suppress criminals acts in mbeya regional early yesterday without causing damages or injuries to a single citizenπŸ’

it is very important to avoid false informations and to associate with criminal gangs in any way πŸ’
 
Nyie ndiyo waoga
Waacheni watu wafanye mambo
Yao wakimaliza wataenda makwao,mnawazuia nini

Ova
 
ni muhimu mambo mengine yanabaki katika historia tu,

kama Taifa,
tulishatoka huko kitambo sana na hakuna hata sababu moja kung'ang'ana na nyakati zilizopita wakati muda na majira yetu yanakimbia mno....

ni muhimu kuongeza spidi ya kusonga mbele kulingana na kasi ya maendeleo duniani,

Chadema imepoteza uelekeo, imerudi nyuma sana aise πŸ’
 
Kibaraka wa CCM wewe unajisikiaje?
 
Nyie ndiyo waoga
Waacheni watu wafanye mambo
Yao wakimaliza wataenda makwao,mnawazuia nini

Ova
Jeshi Imara na la kisasa la police nchini linachozuia ni mipango na njama za magenge ya kihalifu kuvuruga amani na utulivu wa wananchi, na si vinginevyo πŸ’

majeshi ya kizamani ndio yalikua yanapuuzia viashiria na njama za magenge ya kihalifu kuleta fujo na uharibifu na mauaji ndio sasa wachukue hatua...

jeshi la kisasa la police Tanzania, halisubiri uporaji, wizi, uharibifu na pengine maafa yatokee ndio eti lichukue hatua , haipo hivyo gentleman πŸ’

all in all wengi wenu,
you didn't understand the the main contents and themes of these criminals plans, mngekua awere hamngehisi kuna uonevu πŸ’
 
Kibaraka wa CCM wewe unajisikiaje?
bilashaka umechanganya gentleman,

I hope,
unazungumzia vice chairman, puppet wa mabwenyenye ya magharibi, right?πŸ’
 
zingatia hii koment hapa chini bila mihemko, itakupa mwangaza uelewa na ufahamu mzuri na muhimu zaidi πŸ‘‡πŸ‘‡

thank you gentleman πŸ‘Š
Hakuna mhemko hata mmoja ukweli ndio huwo hamwezi kushindana bila ya figisu za kutumia nguvu za policcm na vyombo vyengine.
 
Lakini bado Serikali ya CCM inatumia majeshi yake yoote kupambana na Chadema, ajabu sana hii.
 
Lakini bado Serikali ya CCM inatumia majeshi yake yoote kupambana na Chadema, ajabu sana hii.
jeshi imara la police linapambana na magenge ya wahalifu wanaopanga hatarisha na kuvuruga amani ya waTanzani, hususan hivi karibini kule mbeya,

ikiwa majambazi na wahalifu hao ni chadema sifahamu kwakweli πŸ’
 
Mpo nyuma sana kifikra nyie watu.

po
kiukweli ni nyuma mno,
chama cha siasa kujihusisha na magenge ya kiahalifu kuvuruga amani na utulivu wa wananchi, ni jambo la ajabu na lililopitwa na wakati sana gentleman πŸ’

tazama sasa wahalifu wamewekwa korokoroni wanachama wao kimya kama hawaoni vile dah 🀣

hata hivyo kwa huruma ya rais wahalifu wameachiwa huru πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…