Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
VPN is useless kama hakuna Internet, satellite phones utatumia kampuni iliyosajiliwa wapi au frequency zipi ambazo TCRA hawazijui, mawasiliano yote ya ndani na nje ya nchi yanarekodiwa.
Ukitaka ufanikiwe kuficha mambo yaks ni bora kutumia mini za kizamani za kuandika barua au Jumbe kwenye karatasi na kuzituma kwa mabasi au human couriers.
Usipoteze muda wenu bure! CCM iko ndani ya CDM hivyo kila kitu kiko wazi.Mipango kama hiyo ni muhimu, ila inapendeza zaidi ikifanywa kwa siri, kama bado hawana huo mpango basi wachukue ushauri wako.
Nakubaliana na wewe mitandao yetu ya simu nchini sio ya kuiamini kabisa linapokuja suala la kutunza siri za watumiaji, tumeshaona mifano ya hilo kwenye baadhi ya makampuni ya simu kwa kutoa siri za wateja wao pale wanapotakiwa kufanya hivyo na mamlaka husika.
ooh....sorry nadhani nilikua namjibu mtu mwingine...Sasa ulichokiandika hapo ☝ na hicho hapo chini 👇 vinatofautiana nini mkuu?.
...ila kiukweli katika wakati kama huu mawasilianao yenye manufaa zaidi ni yale ya kuonana na muhusika mkayajenga papo kwa hapo na kuachana, vinginevyo inzi ni wengi wanaruka.
Tutatumia satellite za Marekani kumonita vituo vyote [emoji1][emoji1][emoji1]Lkn pia Kuna tetesi kuwa malaika mpinga mitandao atazima internet siku chache kabla ya uchaguzi mpk matokeo yatakapo tangazwa. Kwahiyo yawapasa viongozi wa Chadema wajiandaye na hilo pia.
CCM ni zaidi ya uijuavyo.Sasa kama walifikia kumdukua hadi Yusuph Makamba kwani alikuwa na nini ?
Membe alirekodiwa hakudukuliwa.Mlipondukua Membe alikuwa na nini la maana ?
Tecno siyo simu, Tecno ni kamera yenye bonus ya simu ndani yake.Hiv tecno kumbe hazifai
VPN kazi yake ni kudanganya mtumia simu aliko. Kwa mfano wewe uko Tanzania unatumia VPN inaonyesha kama uko Uingereza, Kenya au China nk. Hii haifai kwenye udukuzi. Watakudukua tu.
Hii inafaa sana kwa matumizi ya mawasiliano ya mawakala wa vyama vya upinzani na viongozi wao. Maana siku ya uchaguzi huwa kunakuwaga na figisu ya mitandao kutofanyakazi.
Kinachotokea mahakamani leo kwenye kesi ya Mbowe mimi nilishakiona kitambo tu.CHADEMA imajiandaa vipi kwenye mfumo wa mawasiliano hasa Tundu Liss? Nitashangaa sana kama Tundu Lissu anatumia. Vodacom, Tigo, Airtel, Halotel, Zantel au TTCL.
Ni lazima Tundu Lissu atumie satellite phone kwa Tanzania unaweza kuitumia kampuni kama Thuraya.
Kuna tabia ya kishamba kuingilia faragha za watu sina hakika kama Chadema wako aware kulinda faragha za viongozi wao wakuu na mgombea wao wa Urais Tundu Lissu?
Nadhani kwa kesi hii ya Mbowe sasa waliokuwa hawajanielewa nilikuwa namaanisha nini sasa watakuwa wamenielewa vizuri.Mipango kama hiyo ni muhimu, ila inapendeza zaidi ikifanywa kwa siri, kama bado hawana huo mpango basi wachukue ushauri wako.
Nakubaliana na wewe mitandao yetu ya simu nchini sio ya kuiamini kabisa linapokuja suala la kutunza siri za watumiaji, tumeshaona mifano ya hilo kwenye baadhi ya makampuni ya simu kwa kutoa siri za wateja wao pale wanapotakiwa kufanya hivyo na mamlaka husika.
Tunaposema huyu mshamba wa Chato yupo motoni kuna watu huwa hawatuelewi.VPN yatosha.
afu ka tabia haka kamenza ndani ya hii miaka 5 - yaani ni kupekuana pekuana tu hadi vitandani ha ha ha - CCM bana
CDM watakuwa vizuri - ni mambo ya Virtual Private Network njomba!!
Mkuuu wengine mika 5 mpka leo bado wanateseka nayo then wengine ni vijan wadgo kujuaMiaka hii mitano? Umesahau samson mwigamba mwenyekiti wa chadema alidukuliwa 2013?