Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha....hiki walichofanya chadema ni kuandaa kuni ..mafuta na kiberiti vitakuja baadae,hii ni mpk uwe na jicho hasa ndio utaona kwa sasa acha utani na masihara yatawaleWabunge wote WA CCM wameshindwa kuleta umeme, maji na Sukari. Ujinga mtupu