Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahahaha....hiki walichofanya chadema ni kuandaa kuni ..mafuta na kiberiti vitakuja baadae,hii ni mpk uwe na jicho hasa ndio utaona kwa sasa acha utani na masihara yatawaleWabunge wote WA CCM wameshindwa kuleta umeme, maji na Sukari. Ujinga mtupu
Ujinga KabisaWabunge wote WA CCM wameshindwa kuleta umeme, maji na Sukari. Ujinga mtupu
Makonda MAGARI 100 kwenye maandamano.Kwa sasa CHADEMA ni lazima wakubali ukweli mchungu kuwa wamepuuzwa na watanzania.
Akikujibu rejesha hapa jukwaani🤓Kwani mumeo hawezi kuanzisha chama?
Sema na wewe,na uache kuwasingizia wabongo🤓Kwa sasa CHADEMA ni lazima wakubali ukweli mchungu kuwa wamepuuzwa na watanzania.
Kwa sasa CHADEMA ni lazima wakubali ukweli mchungu kuwa wamepuuzwa na watanzania.
Wewe ndiye umepuuzwa na wana JF woteKwa sasa CHADEMA ni lazima wakubali ukweli mchungu kuwa wamepuuzwa na watanzania.
Huwezi kuzuia mafuriko kwa mikono. Unafikiri upotoshaji huu unaweza kusaidia?View attachment 2911056Hii ni Mbeya + viongozi wote wa kitaifa + waandishi wa habari+kwa yeyote anayejisikia
MwashambwaKwa sasa CHADEMA ni lazima wakubali ukweli mchungu kuwa wamepuuzwa na watanzania.
Kuna watu wanashangaza. Hata wangeandamana watu 6 ni haki yao ni sawa kwao. Wengine wakae kimya.Wewe nini kinakuuma?
Lucas Mwashambwa pole kwa kukimbila mlima Kawetere na kulala huko kwa siku tatu, hii habari ulitakiwa uishuhudie wewe binafsi siyo kuhadithiwa, ona sasa nawe unadanganywa kama umdanganyavyo gagula asiyetulia.Kwa sasa CHADEMA ni lazima wakubali ukweli mchungu kuwa wamepuuzwa na watanzania.
YapKuna watu wanashangaza. Hata wangeandamana watu 6 ni haki yao ni sawa kwao. Wengine wake kimya.
Hawezi kurudi hapaAkikujibu rejesha hapa jukwaani🤓
Kutoka hapo hadi eneo la maandamano kuna kama 15KMView attachment 2911056Hii ni Mbeya + viongozi wote wa kitaifa + waandishi wa habari+kwa yeyote anayejisikia
Ukiona unakereketwa kiasi cha kushindwa kupuuza mambo yasiyokuhusu mpaka unatoa bandiko....jua bado Chadema ni kaa la moto kwenu MambuziKwa sasa CHADEMA ni lazima wakubali ukweli mchungu kuwa wamepuuzwa na watanzania.
Umeiweka vyema Sana Sana ila kwa Wapumbavu hawawezi kuelewaHahahahaha....hiki walichofanya chadema ni kuandaa kuni ..mafuta na kiberiti vitakuja baadae,hii ni mpk uwe na jicho hasa ndio utaona kwa sasa acha utani na masihara yatawale
CHADEMA inawasumbua sana siku hizi na bado, ndio mambo yameanza tu.View attachment 2911056Hii ni Mbeya + viongozi wote wa kitaifa + waandishi wa habari+kwa yeyote anayejisikia
Mkuu kuona hilo inahitaji jicho la ziadq kdgUmeiweka vyema Sana Sana ila kwa Wapumbavu hawawezi kuelewa
viungozi na wanaharakati wa saut ya umma wakiongozwa na dr. slaa nilikua nawaskiza walikua wakidanganyana wao kwa wao eti serikali imetishika na hiyo nyomi ya wana mbeya, na kwenye maandamano yajayo watajiandaa na misumari kutega magari ya serikali yapate pancha wanapokua wanafanya maandamano yao 😛View attachment 2911056Hii ni Mbeya + viongozi wote wa kitaifa + waandishi wa habari+kwa yeyote anayejisikia