viungozi na wanaharakati wa saut ya umma wakiongozwa na dr. slaa nilikua nawaskiza walikua wakidanganyana wao kwa wao eti serikali imetishika na hiyo nyomi ya wana mbeya, na kwenye maandamano yajayo watajiandaa na misumari kutega magari ya serikali yapate pancha wanapokua wanafanya maandamano yao 😛
eti shughuli zote zunapaswa kusimama siku iyo....
Niakaona kwamba kukosa kazi ukiwa mtu mzima huwa ni changamoto sana na kwakweli unakua unawaza kitoto zaidi..