Uchaguzi 2020 CHADEMA imeomba vyombo husika vifuatilie tetesi za kuwepo mipango ya kuvuruga mchakato wa kuelekea katika hatua za kurudisha fomu

Uraia Ni suala mtambuka wewe
Anatory Amani wa ccm alishawahi kupokwa uraia wake katika mazingirq Kama haya ya uchaguzi,Kama uraia wako hauna utata ya nini kujipa presha?
Ndugu haya yanafanyika kwa nia uvu.
 
Bagamoyo
Nimekua nikitazama video mbalimbali za mapokezi ya Lissu,watu wanaompokea Ni maelfu kwa maelfu.
Ila hi ya Songwe nimeitazama mwanzo mwisho,aisee hi naona imevunja rekodi,watu mi wengi Sana.
Sioni Lissu atashindwa Uchaguzi huu.
Nakuhakikishia kuwa,kwa kura za kudumbukiza ndani ya ballot box Lisu atashinda.
Narudia Tena Lissu atashinda.
Naomba tume itende Hali tu.
 
Lisu kwanza anazunguka kwenye majimbo yaliyokuwa na wabunge wa chadema hivyo Ni rahisi kukusanya watu, pili watu wanaenda kumwangalia Kama kweli kawa kilema, Ila wanakatishwa tamaa na kauli zake,
 
Uraia Waweza hojiwa muda wowote kabla 2015 Magufuli hakuwa madarakani rushwa na ufisadi ulikuwa nje nje kaingia kuhoji ruksa Kama mtu raia Hana Cha kuogopa
Magufuli Huyu aliyejifungia juzi dodoma na kupitisha Watoa rushwa wakawe wagombea ubunge ndiyo anapimwa kwa kupambana na ufisadi? Nitajie mgombea wa Ccm ambaye hajatoa RUSHWA nikuwekee hapa na majina na viwango.
 
Aisee acheni kulia lia basi haitowasaidia..Chukueni hatua kama hamuwezi kaeni kimya maisha yaendelee...CDM miaka yote nyie mnalalamika tu mnaonewa kwenye hili lile kila siku, miaka yote..CHUKUENI HATUA KAMA MNA UHAKIKA MKO UPANDE WA HAKI...

Hebu toa ushauri ni hatua ipi ichukuliwe boss, maana hii kulalamika ni hatua moja. Hatua nyingine ndio huyo Lisu kasema iwapo hatapata haki yake hatuamiachia Mungu, na sasa ndio unaona makongamano ya kuiombea nchi iwe na amani, na hao waombea amani ndio hao wanaibrand cdm kama wavuruga amani.
 
Kwa hili lililotokea Tunduma inatakiwa refa mkuu anayesimamia zoezi zima la mchakato mzima wa Uchaguzi Mkuu atoe muongozo kwa nchi nzima jinsi ya vyombo vya dola vifanye kazi yake kipindi hiki.

Kwani Uchaguzi siyo kupiga kura tu bali mchakato wa uchaguzi unaanza pale vyama vinapofanya mikutano miku kupendekeza wapeperusha bendera wao, uchukuaji fomu, kutafuta wadhamini, kupitishwa na Tume, kupiga mikutano ya kampeni na hatimaye wananchi kupiga kura.
 
Lisu kwanza anazunguka kwenye majimbo yaliyokuwa na wabunge wa chadema hivyo Ni rahisi kukusanya watu, pili watu wanaenda kumwangalia Kama kweli kawa kilema, Ila wanakatishwa tamaa na kauli zake,
Mhhuu Eddy watu wanakatishwa tamaa umepata wapi data hizo au wewe umekata tamaa usiwasemee watu.
 
mpango umekamilika.
wagombea wote wa udiwani CHADEMA wamekamatwa, wakaambiwa siyo raia, baadae wamebadilishiwa mashitaka na kuambiwa "Ujambazi wa milioni saba, kwenye mabano(2,000,000/-)

Yaani Mungu wa Israel kama kweli unaishi, japo ulisha apa hutateketeza dunia kwa moto ila tunakuomba ee Mungu baba, "Shusha Moto wako , tufanye msiba wa Kitaifa"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…