CHADEMA imepoteza kabisa ushawishi kwa Watanzania

CHADEMA imepoteza kabisa ushawishi kwa Watanzania

Hivi nikikuuliza mambo ya Chadema yanakuhusu nini! utajibu nini?

Wewe ni kada wa ccm, na pia chawa wa mama. Unatakiwa uwekeze nguvu zako huko. Mambo ya Chadema, waachie wenyewe! Sawa?
Hujuwi kuwa Chadema kimekula Sana Ruzuku zetu ambazo Ni Kodi zetu? Au hujuwi zile Ruzuku alizotafuna Mbowe na genge lake Ni Kodi zetu? Cha ajabu walitafuna Kodi zote Hadi wakasahau kupaka hata rangi za milango pale ufipa,chama kimebaki Kama Saccos ndio maana mwenye kigoda anasema amepoteza mabillioni take pale ,kwa hiyo huu Ni wakati wake wakuzitafuna sent zote zinazoingia chamani ili afidie mabillioni yake
 
Ndugu zangu Watanzania

Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya vyama vya siasa hapa nchini tulishuhudia mbwembwe na vitisho vya hapa na pale kutoka kwa viongozi na wanachama wa chadema kuwa Wana kwenda kutikisa na kuipa shida CCM.

lakini Cha ajabu Baada ya ufunguzi wa mikutano Yao kilichofuata ni kichekesho na fedheha kubwa Sana, maana badala ya kuwaunganisha wanachama wake wamebaki wamegawanyika na kuanza kutafutana Ni Nani mchawi na msaliti wa chama,Ni Nani Kamanda wa ukweli na Nani aliye ramba asali nyingi,Ni Nani Ni CCM B na Nani anatakiwa kumpisha fulani,Ni Nani amepanda kalewa jukwaani na Nani kazungumza masuala ya wananchi.

Tumeshuhudia Wana chadema wakilaumiana na kutiliana mashaka wao kwa wao,kwamba kwanini Mwenyekiti hajawashambulia Sana CCM ,kwanini amempongeza Mwenyekiti wa CCM,kwanini sauti yake ilikuwa hivi na vile, yaani Sasa chama kina mpasuko mkubwa huku wengi wakimsubili Lisu ili waje wasikie atatukana matusi mangapi,wao furaha Yao Ni kutaka kuona anayepanda jukwaani anaropoka matusi utafikiri kakatika mishipa ya fahamu na kuvuruga ubongo wake.

Kinachowachanganya Zaid Ni mapokeo ya watanzania kwa namna walivyo wapuuza na kuwadharau kwa Sasa,maana wanaona watanzania hawana habari nao,hawana habari na mikutano Yao,wanawakosoa na kuwapinga kila mahali,wanamtetea, kumsemea na kumpongeza Rais Samia kwa uchapa kazi wake uliotukuka na kuahidi kumuunga mkono katika kila hatua ya ujenzi wa Taifa letu.

Kwa Sasa Chadema Imepoteza ule mvuto na ushawishi iliokuwa nao kutokana na utendaji kazi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kufanyia kazi kero na changamoto zote zinazogusa na kuwa kikwazo katika maisha yao,wameona chadema Ni watu wasio na misimamo na vigeu geu,wameona chadema Ni njaa tupu tu na mkusanyiko wa wasaka tonge,ndio sababu ya Kuendelea kuwa na Imani na CCM na serikali yake chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Mama Samia.

CHADEMA kimebaki Ni chama kisicho na dira Wala muelekeo,hakina ajenda Wala Sera kinayoisimamia yenye kuwashawishi watanzania kuwaunga mkono,Hakina watu Wala viongozi wenye ushawishi na wenye kuteka hisia za watanzania,Hawana kiongozi au viongozi wenye uwezo wa Kuiteka mioyo ya watanzania kuweza kuwaunga mkono katika harakati zao,Hakina ngome yoyote kutoka kundi lolote katika jamii yetu,

Ni chama Cha matukio,hakina watu au viongozi wenye uwezo wa kujenga hoja zenye kuvuta hisia za watu,kila mmoja anapuyanga kivyake,Hakuna Sera za pamoja Wala ajenda za pamoja Wala mikakati ya pamoja Wala muelekeo wa pamoja ,ndio maana mwingine anatumia muda wake wote kujitetea kuwa hajalamba asali ,huku mwingine akijitetea kuwa amepoteza mabillioni chamani kana kwamba Ni Saccos au kikoba ambacho wanaangalia nani mwenye Hisa nyingi,

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
FB_IMG_1674390595391.jpg
 
Hujuwi kuwa Chadema kimekula Sana Ruzuku zetu ambazo Ni Kodi zetu? Au hujuwi zile Ruzuku alizotafuna Mbowe na genge lake Ni Kodi zetu? Cha ajabu walitafuna Kodi zote Hadi wakasahau kupaka hata rangi za milango pale ufipa,chama kimebaki Kama Saccos ndio maana mwenye kigoda anasema amepoteza mabillioni take pale ,kwa hiyo huu Ni wakati wake wakuzitafuna sent zote zinazoingia chamani ili afidie mabillioni yake
Kwa hali hii hata akitokea mtu akaamua kukutukana, naona atakuwa sahihi kwa 100%
 
Hakuna mwenye uwezo Wala ubavu wa kuweza kushindana na Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika sanduku la kura na jukwaani, maana anakubalika na kila kundi na kuungwa mkono na kila kundi kutokana na uchapa kazi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania
Nape mzuzuri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwan umelazimishwa kuchangia?? Wanaochangia hawalalamiki km wewe husochangia, tulia we mwanamke mabwana tuko wengi kama wataka mume
Wanao changia wanahoji fedha zinakwenda wapi Hadi mnazidiwa na Act wazalendo yenye ofisi nzuri na ya kupendeza wakati nyie mnaishia kurundikana mule ndani miaka yote sehemu ambayo hata madirisha hayapitishi hewa ya kutosha? Au mwenye kigoda anafidia mabillioni yake aliyosem ameyapoteza hapo kwa kuhakikisha anazitafuna Kama mchwa?
 
Ndugu zangu Watanzania

Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya vyama vya siasa hapa nchini tulishuhudia mbwembwe na vitisho vya hapa na pale kutoka kwa viongozi na wanachama wa chadema kuwa Wana kwenda kutikisa na kuipa shida CCM.

lakini Cha ajabu Baada ya ufunguzi wa mikutano Yao kilichofuata ni kichekesho na fedheha kubwa Sana, maana badala ya kuwaunganisha wanachama wake wamebaki wamegawanyika na kuanza kutafutana Ni Nani mchawi na msaliti wa chama,Ni Nani Kamanda wa ukweli na Nani aliye ramba asali nyingi,Ni Nani Ni CCM B na Nani anatakiwa kumpisha fulani,Ni Nani amepanda kalewa jukwaani na Nani kazungumza masuala ya wananchi.

Tumeshuhudia Wana chadema wakilaumiana na kutiliana mashaka wao kwa wao,kwamba kwanini Mwenyekiti hajawashambulia Sana CCM ,kwanini amempongeza Mwenyekiti wa CCM,kwanini sauti yake ilikuwa hivi na vile, yaani Sasa chama kina mpasuko mkubwa huku wengi wakimsubili Lisu ili waje wasikie atatukana matusi mangapi,wao furaha Yao Ni kutaka kuona anayepanda jukwaani anaropoka matusi utafikiri kakatika mishipa ya fahamu na kuvuruga ubongo wake.

Kinachowachanganya Zaid Ni mapokeo ya watanzania kwa namna walivyo wapuuza na kuwadharau kwa Sasa,maana wanaona watanzania hawana habari nao,hawana habari na mikutano Yao,wanawakosoa na kuwapinga kila mahali,wanamtetea, kumsemea na kumpongeza Rais Samia kwa uchapa kazi wake uliotukuka na kuahidi kumuunga mkono katika kila hatua ya ujenzi wa Taifa letu.

Kwa Sasa Chadema Imepoteza ule mvuto na ushawishi iliokuwa nao kutokana na utendaji kazi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kufanyia kazi kero na changamoto zote zinazogusa na kuwa kikwazo katika maisha yao,wameona chadema Ni watu wasio na misimamo na vigeu geu,wameona chadema Ni njaa tupu tu na mkusanyiko wa wasaka tonge,ndio sababu ya Kuendelea kuwa na Imani na CCM na serikali yake chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Mama Samia.

CHADEMA kimebaki Ni chama kisicho na dira Wala muelekeo,hakina ajenda Wala Sera kinayoisimamia yenye kuwashawishi watanzania kuwaunga mkono,Hakina watu Wala viongozi wenye ushawishi na wenye kuteka hisia za watanzania,Hawana kiongozi au viongozi wenye uwezo wa Kuiteka mioyo ya watanzania kuweza kuwaunga mkono katika harakati zao,Hakina ngome yoyote kutoka kundi lolote katika jamii yetu,

Ni chama Cha matukio,hakina watu au viongozi wenye uwezo wa kujenga hoja zenye kuvuta hisia za watu,kila mmoja anapuyanga kivyake,Hakuna Sera za pamoja Wala ajenda za pamoja Wala mikakati ya pamoja Wala muelekeo wa pamoja ,ndio maana mwingine anatumia muda wake wote kujitetea kuwa hajalamba asali ,huku mwingine akijitetea kuwa amepoteza mabillioni chamani kana kwamba Ni Saccos au kikoba ambacho wanaangalia nani mwenye Hisa nyingi,

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Uwe unafupisha maandiko yako. Maelezo marefu alafu mambo yale yale tu unayarudia katika andiko ilo ilo. Mbaya zaidi hakuna point yoyote ya maana
 
Km umezaliwa kuanzia 1993 hadi 1998 means hadi sasa una miaka 25 au 30, Serikali inaajiri vijana wenye umri huo not above, sasa sasa km ulizaliwa 1992 kushuka chini weka Cheti chako kabatini tafuta mtu mwambie akufunze kuendesha boda boda au bajaji au jifunze kuzungusha mboga mboga mtaani utanishukuru baadae, sawa my brothers & sisters, usijesema sikukwambia, if you're above 30 Jiajiri start now acha kusubiria ajira

Screenshot_20230123-173941.png


Sorry nipo nje ya mada
 
Kwa hali hii hata akitokea mtu akaamua kukutukana, naona atakuwa sahihi kwa 100%
Usimsubili mtu aje anitukane maana hata wewe unao uwezo huo wa kunitukana maana siwezi kushangaa kwa kuwa hiyo ndio Sera yenu ya kutukana utafikiri mmepigwa shoti ya akili
 
Usimsubili mtu she anitukane maana hata wewe unao uwezo huo wa kunitukana maana siwezi kushangaa kwa kuwa hiyo ndio Sera yenu ya kutukana utafikiri mmepigwa shoti ya akili
Una uhakika mimi ni mwananchama wa Chadema?
 
Km umezaliwa kuanzia 1993 hadi 1998 means hadi sasa una miaka 25 au 30, Serikali inaajiri vijana wenye umri huo not above, sasa sasa km ulizaliwa 1992 kushuka chini weka Cheti chako kabatini tafuta mtu mwambie akufunze kuendesha boda boda au bajaji au jifunze kuzungusha mboga mboga mtaani utanishukuru baadae, sawa my brothers & sisters, usijesema sikukwambia, if you're above 30 Jiajiri start now acha kusubiria ajira

View attachment 2493091

Sorry nipo nje ya mada
Mimi Ni mkulima na Jembe ndio kalamu yangu wakati Shamba ndio Daftari langi na mabega yangu ndio begi langu na nakula kwa nguvu na jasho langu kupitia mikono yangu
 
Uwe unafupisha maandiko yako. Maelezo marefu alafu mambo yale yale tu unayarudia katika andiko ilo ilo. Mbaya zaidi hakuna point yoyote ya maana
Wala usijari mkuu maana Kama Ni refu waweza kusoma mpaka pale ambapo uwezo wako umeishia wa kuweza kusoma na kuelewa
 
Mimi Ni mkulima na Jembe ndio kalamu yangu wakati Shamba ndio Daftari langi na mabega yangu ndio begi langu na nakula kwa nguvu na jasho langu kupitia mikono yangu
Sasa kuna wenzio wapo mtaani wanasubiria ajira, ajira zimetoka Ila umri ni challenge, kwa hio nmetoa angalizo kwa wengine wenye umri huo wachangamkie fursa na waliozidi umri wachangamke kua boda boda mtaani wasahau masuala ya kuajiriwa,
 
Ndugu zangu Watanzania

Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya vyama vya siasa hapa nchini tulishuhudia mbwembwe na vitisho vya hapa na pale kutoka kwa viongozi na wanachama wa chadema kuwa Wana kwenda kutikisa na kuipa shida CCM.

lakini Cha ajabu Baada ya ufunguzi wa mikutano Yao kilichofuata ni kichekesho na fedheha kubwa Sana, maana badala ya kuwaunganisha wanachama wake wamebaki wamegawanyika na kuanza kutafutana Ni Nani mchawi na msaliti wa chama,Ni Nani Kamanda wa ukweli na Nani aliye ramba asali nyingi,Ni Nani Ni CCM B na Nani anatakiwa kumpisha fulani,Ni Nani amepanda kalewa jukwaani na Nani kazungumza masuala ya wananchi.

Tumeshuhudia Wana chadema wakilaumiana na kutiliana mashaka wao kwa wao,kwamba kwanini Mwenyekiti hajawashambulia Sana CCM ,kwanini amempongeza Mwenyekiti wa CCM,kwanini sauti yake ilikuwa hivi na vile, yaani Sasa chama kina mpasuko mkubwa huku wengi wakimsubili Lisu ili waje wasikie atatukana matusi mangapi,wao furaha Yao Ni kutaka kuona anayepanda jukwaani anaropoka matusi utafikiri kakatika mishipa ya fahamu na kuvuruga ubongo wake.

Kinachowachanganya Zaid Ni mapokeo ya watanzania kwa namna walivyo wapuuza na kuwadharau kwa Sasa,maana wanaona watanzania hawana habari nao,hawana habari na mikutano Yao,wanawakosoa na kuwapinga kila mahali,wanamtetea, kumsemea na kumpongeza Rais Samia kwa uchapa kazi wake uliotukuka na kuahidi kumuunga mkono katika kila hatua ya ujenzi wa Taifa letu.

Kwa Sasa Chadema Imepoteza ule mvuto na ushawishi iliokuwa nao kutokana na utendaji kazi wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kufanyia kazi kero na changamoto zote zinazogusa na kuwa kikwazo katika maisha yao,wameona chadema Ni watu wasio na misimamo na vigeu geu,wameona chadema Ni njaa tupu tu na mkusanyiko wa wasaka tonge,ndio sababu ya Kuendelea kuwa na Imani na CCM na serikali yake chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Mama Samia.

CHADEMA kimebaki Ni chama kisicho na dira Wala muelekeo,hakina ajenda Wala Sera kinayoisimamia yenye kuwashawishi watanzania kuwaunga mkono,Hakina watu Wala viongozi wenye ushawishi na wenye kuteka hisia za watanzania,Hawana kiongozi au viongozi wenye uwezo wa Kuiteka mioyo ya watanzania kuweza kuwaunga mkono katika harakati zao,Hakina ngome yoyote kutoka kundi lolote katika jamii yetu,

Ni chama Cha matukio,hakina watu au viongozi wenye uwezo wa kujenga hoja zenye kuvuta hisia za watu,kila mmoja anapuyanga kivyake,Hakuna Sera za pamoja Wala ajenda za pamoja Wala mikakati ya pamoja Wala muelekeo wa pamoja ,ndio maana mwingine anatumia muda wake wote kujitetea kuwa hajalamba asali ,huku mwingine akijitetea kuwa amepoteza mabillioni chamani kana kwamba Ni Saccos au kikoba ambacho wanaangalia nani mwenye Hisa nyingi,

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Namba ya simu ya nini?
 
Sasa kuna wenzio wapo mtaani wanasubiria ajira, ajira zimetoka Ila umri ni challenge, kwa hio nmetoa angalizo kwa wengine wenye umri huo wachangamkie fursa na waliozidi umri wachangamke kua boda boda mtaani wasahau masuala ya kuajiriwa,
Taifa haliwezi kuwa la bodaboda pekee,ndio maana Mimi nimejiajiri katika kilimo na kufaidika na juhudi za mh Rais katika kukipa thamani kilimo na kumuinua kiuchumi mkulima kwa kuhakikisha anafaidika na jasho lake kwa kauli mbiu ya kilimo Ni Biashara
 
Back
Top Bottom