CHADEMA ina watu wana akili sana

CHADEMA ina watu wana akili sana

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
 
Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM idiot na watu maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
Ccm ni janga la taifa
 
Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
CCM hakuna ubuni ni maelekezo ya Mwenyekiti na Mwenyekiti mwenyewe ana miaka 68 hana ubunifu wowote Makamo yeye ana miaka 107 ni kikongwe. Hovyo kabisa ndiyo maana wanategemea polisi pekee
 
Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele.

Leo tunashuhudia kuwa yale maneno ya CCM kuwa CHADEMA haina watu wanaoweza kuliongoza hili Taifa ni maneno ya kipuuzi ambayo kumbe kiuhalisia ni CCM iliyokosa watu wenye uwezo sqhihi maana CHADEMA ina watu na vijana smart sana.

Katika uzinduzi wa Kampeni ya Tonetone leo, tumeshuhudia vijana wa CHADEMA walivyo na maarifa ya kuweza kuiongoza nchi yetu katika dunia hii ya sayansi na teknolojia kwa kuonesha namna gani wanaweza kukusanya michango ya kuendesha chama chao kwa kutumia sayansi na teknolojia.

Hongereni sana CHADEMA. Mungu azidi kuwanyanyua.
Kama tu Failures akina Lucas Mwashambwa na ChoiceVariable ndiyo wana CCM, Washauri na Machawa Gegedu wa Mwenyekiti Taifa unategemea nini?
 
Yaani kutaka kuwatapeli watanzania na cryptocurrency sijui CHADEMA COIN ndio akili? We sema chadema kumejaa matapeli wakiongozwa na Godbless Lema
 
Yaani kutaka kuwatapeli watanzania na cryptocurrency sijui CHADEMA COIN ndio akili? We sema chadema kumejaa matapeli wakiongozwa na Godbless Lema
Tangu utatuliwe marinda akili zote zimehamia kwenye masaburi!
 
mke wa nje wa netamyahu
1000059701.jpg
 
Back
Top Bottom