CHADEMA inahitaji mabadiliko ila sio kwa mtu kama Lissu

CHADEMA inahitaji mabadiliko ila sio kwa mtu kama Lissu

Stroke

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2012
Posts
37,630
Reaction score
47,434
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Acha tu awapoteze, Mbowe mlikuwa mnampamba ana busara, kumbe sio busara, bali ni kukalia kimya chaguzi kunajisiwa. Cdm wasije wakaingia mtego wa mijadala na ccm/serekali isiyo na utekelezaji.
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Mtapata sana stroke mwaka huu mbwakoko nyie
 
Ccm huyo huyo msiyemtaka ndiye mzuri. Tatizo lenu mnafikiri kama mnaiba kura siku zote basi watu wote ni wajinga na nyie ndio mna akili.

Popote pale hamtaki kuona uchaguzi ukifanyika kuanzia kwenye chama chenu hadi nchi nzima. Mbowe huyo huyo mlimbumbia kesi mkasema eti ni gaidi leo tena mnamuona eti anafaa. Ccm ghasia kabisa nyie.
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Hebu tueleze:

1. Mihemuko yenye mipaka ni ipi...

2. Mihemuko isiyo na mipaka ni ipi....

3. Unataka Tundu Lissu awe mvumilivu kwa namna gani na katika lipi hasa...

4. Unataka Tundu Lissu awe na busara ipi zaidi ya kuusema ubaya wa rushwa na wala rushwa ndani ya chama na serikalini hadharani...?
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Bado hamjasema, mtasema tu, subiri, huyu alishakufa kifo kikamkataa. Huyu ndio next president. Magari na pikipiki mlizowahonga Polisi hazitasaidia
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Yaani hapo ndo umemaliza kufanya analysis yako??? , wewe unamjua lissu kiasi gani? Ok Kuna nyakati utamuhitaji mtu kama Lissu ni muda wake Wala usiteseke, ndo maana CCM ulifika muda wakamuhitaji mtu kama Magufuri na Ali kivusha chama nyakti ambazo upinzani ulikuwa wa moto .........
 
Back
Top Bottom