Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Mihemko ni nini? Busara ni nini?Lisu ana mihemko,
Hana busara
Au kwako busara ni kupenda rushwa n kulamba asali?
Wehu sana nyie fisiemu.
Na bado! Lazima mchanganyikiwe mwaka huu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mihemko ni nini? Busara ni nini?Lisu ana mihemko,
Hana busara
Sindano ndo kwanza imegusa mfupa wanaanza kurukaruka kama popcornTulia dawa ianzee kufanya kazi 😅😅😅😅😅
Kun nchi iliwahi kuongozwa na Mgonjwa wa akili....sembuse Lissu!?Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Yeye na wanachama wamesema wakati wa busara umepita. Huu ni wakati wa mshikemshike.Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Inskuhusu nini wewe chawa? Toka lini ukaitakia mema cdm?Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Wewe busara unayo? Mbona we mwenyewe huna.Lisu ana mihemko,
Hana busara
A umechelewa, upo nje ya Muda, maoni yako yapo nje ya MudaNi kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Waliomchagua ndiyo wanajua mabadiliko gani wanataka, na amekaa tayari, sema lingine brooNi kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
TULETEE WEWE HAYO MABADILIKO TAFADHALI.Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Kabla mlimsema ana wapiga kura wa JF. Hashindi au keyboard voters. Imekuwaje ameshinda. Tanzania hii hata akipewa darasa la 7 anaongoza sembuse Lissu kuongoza Chadema.Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Una mfano hata mmoja wa kile aloharibu?Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.