CHADEMA inahitaji mabadiliko ila sio kwa mtu kama Lissu

CHADEMA inahitaji mabadiliko ila sio kwa mtu kama Lissu

Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Kun nchi iliwahi kuongozwa na Mgonjwa wa akili....sembuse Lissu!?
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Yeye na wanachama wamesema wakati wa busara umepita. Huu ni wakati wa mshikemshike.
Amandla...
 
Muda utaongea ila utakuja kujua kwamba Lissu ni kiongozi wa kupigiwa mfano. Ni vile hujajuwa bado, upe muda nafasi mkuu
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Inskuhusu nini wewe chawa? Toka lini ukaitakia mema cdm?
 
Pole san
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
A umechelewa, upo nje ya Muda, maoni yako yapo nje ya Muda
 
Tuliza komwe mkuu ikibidi nunua mzuzu ulihifadhi watajua ndo linakuongoza
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Waliomchagua ndiyo wanajua mabadiliko gani wanataka, na amekaa tayari, sema lingine broo
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
TULETEE WEWE HAYO MABADILIKO TAFADHALI.
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Kabla mlimsema ana wapiga kura wa JF. Hashindi au keyboard voters. Imekuwaje ameshinda. Tanzania hii hata akipewa darasa la 7 anaongoza sembuse Lissu kuongoza Chadema.
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.


Kiongozi wa upinzani lazima uwe na mambo kama lisu

Na sio unakuwa unapelekwa pelekwa tu
 
Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.

Ila sio kwa mtu kama Lisu.

Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.

Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.

Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.

Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Una mfano hata mmoja wa kile aloharibu?
Mnataka mkuharibu membelezwe?
 
Back
Top Bottom