Acha tu awapoteze, Mbowe mlikuwa mnampamba ana busara, kumbe sio busara, bali ni kukalia kimya chaguzi kunajisiwa. Cdm wasije wakaingia mtego wa mijadala na ccm/serekali isiyo na utekelezaji.Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Mtapata sana stroke mwaka huu mbwakoko nyieNi kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Si dawa tu, Lissu na Heche ni vichomi kwa CCM, wamebanwa vichomi na ngiri wanalia tuTulia dawa ianzee kufanya kazi π π π π π
Hebu tueleze:Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Atajifunza kupitia maoni ya watu mkuuLisu ana mihemko,
Hana busara
Bado hamjasema, mtasema tu, subiri, huyu alishakufa kifo kikamkataa. Huyu ndio next president. Magari na pikipiki mlizowahonga Polisi hazitasaidiaNi kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.
Yaani hapo ndo umemaliza kufanya analysis yako??? , wewe unamjua lissu kiasi gani? Ok Kuna nyakati utamuhitaji mtu kama Lissu ni muda wake Wala usiteseke, ndo maana CCM ulifika muda wakamuhitaji mtu kama Magufuri na Ali kivusha chama nyakti ambazo upinzani ulikuwa wa moto .........Ni kweli kwamba Chadema inahitaji uongozi mpya baada ya miaka 20 ya Mbowe.
Ila sio kwa mtu kama Lisu.
Tatizo la lisu ni mihemko isiyokuwa na mipaka.
Uongozi wa Taasisi unahitaji mtu mwenye tabia za kokoro, kwamba anauwezo wa kubeba kila uchafu , kuchuja na kubakia na product safi.
Sasa mtu wa kaliba ya Lisu ambaye hana uvumilivu , ni dakika sifuri tu kuharibu kila kitu.
Huyu asipotanguliza busara mbele , atawapoteza wenzake.